- Thread starter
- #521
Wakati wa ajira nilijaza kila kitu. Nachozungumza ni hii inafayika kwa watumishi (watu waliopo kazini tayari).
Unaelewa?!
Unaelewa?!
Hivi wewe ulipitia michakato ya ajira au kuna mtu alifanya hiyo michakato kwa niaba yako?
Hetu tuletee mtu humu na taasisi aliyopo ambayo katika mchakato wa ajira/ utumishi hakujaza ni Dini au Kabila gani.
Kama wewe ni kijana wa juzi basi uliza hata Wazee wako.
AU KUNA KITU UNAHOFIA HAPO ULIVYOONA DETAILS ZA UTUMISHI ZINAHITAJIKA