Watumishi waagizwa kumtafutia kura Rais Samia 2025

Watumishi waagizwa kumtafutia kura Rais Samia 2025

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241006-135509.jpg
    Screenshot_20241006-135509.jpg
    449.4 KB · Views: 3
Rais Samia atavuna kura nyingi sana za ndio hapo mwakani na kuweka historia ya kupata kura nyingi katika Historia ya Taifa letu.
 
Sioni tatizo,labda Kama wewe umeitafsiri kiupinzani zaidi.

Nilichoelewa, watumishi wakizembea kutekeleza wajibu wao WA wahudumia wananchi

Ni lawama Kwa serikali ya raisi Samia kutotimiza wajibu wake

Matokeo yake uchaguzi ujao hawatompa Tena dhamana kuwaongoza kwenye sanduku la kura.

Hebu tutangulize maslahi ya nchi Kwanza na TUPUNGUZE NEGATIVITY.

Si vema Kila jambo likajadiliwa kiupinzani
 
Kwanini atafutiwe kura?

Uwezo utajieleza wenyewe, ukiona habari za kutafutiana kura na kuiba kura jua mgombea hauziki kisera na watu hawamuelewi.

Samia ukimuweka na Prof Lipumba wa 2005 kiushawishi wakati huo hata mitandao ya kijamii haijashika kasi bado haoni , Samia ana timu inayotumia kodi za wananchi vibaya kulipa wapambe/machawa kumsifia ila kiuhalisia haeleweki miongoni mwa wananchi wengi.
 
Rais Samia atavuna kura nyingi sana za ndio hapo mwakani na kuweka historia ya kupata kura nyingi katika Historia ya Taifa letu.
Unamkumbuka aliyembeba SSH mwaka 2020 wakati anamuombea kura Gwajima kule Kawe? Mpaka alikuwa analia, na alijitahidi sana kuwa upande wa Wanyonge na alifanya vitu vinavyoonekana, Je kwanini alikuwa anaomba aletewe Gwajima mpaka anataka kulia? Acha kujifariji na kuwa na matarajio yasiyokuwa na tumaini subiri wakati wa kampeni.
 
Yaani dktari huyu hakopi benki
Anakopa but si pesa nyingi. Serikali inamfumo ambao si rafiki kwa watumishi. Ndo maana wakipata nafasi ya kupiga wanapiga kweli au wakipata sehemu ya ulaji wanabaki kumsifia anayewalisha. Njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom