wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Handidi handadaaa
Nawapa pole zao. Baada ya kukosa mishahara miezi miwili bado hawajui hatima yao. Sikuona kosa lao kujaribu bahati zao kisiasa kama Watanzania wengine waliotia nia mwaka huu. Kama kungekuwa na waraka wa kuwakumbushia / kuwaonya wasijitumbukize huko (Endapo wangekuwa wanavunja sheria) , wengi wao wasingethubutu kutia nia ila kwa sababu ilizoeleka chaguzi zilizopita hakukuwa na tatizo baada ya kuomba ruhusa, nao wakajaribu bahati zao.
Siasa inalipa nchi hii kuliko taaluma yeyote ile ndiyo maana mwamko wa watendaji wa Serikali kwa ngazi mbalimbali kutimkia huko ni mkubwa sana.
Lakini kwanini haya yamejitokeza mwaka huu? Sheria ya Utumishi wa Umma inasemaje? Je watumishi wa Umma waliotia nia walifuata sheria, kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma? Mbona wanasiasa wengi wenye majina makubwa walikuwa watumishi wa umma na wakabadili mwelekeo na kujiunga na siasa, waliwezeshwa na sheria gani?
Naomba nisaidiwe na wataalamu wa sheria za kazi ili kukuza ufahamu wangu.
Ameshangilia wapi?Hakuna kitu kibaya kama kuwa maskini wa akili, unashangilia wenzako kufukuzwa kazi badala ya kusikitika na kushauri, sisi maskini huwa tunaombea aliyenacho akose tukose wote badala ya kuomba uwe kama yeye.
Wanasiasa huwa wanasikiaga sasa? Wale ni mpaka damu itoke masikioni kwa kipigo ndio wanasikia.Walionywa na waraka!
Eti ndo apeche alolo kwa mujibu wa doc kumbuka. Au na yeye humjui?Umenichekesha, ndo nini Dada?
Wanasiasa huwa wanasikiaga sasa?
Wale ni mpaka damu itoke masikioni kwa kipigo ndio wanasikia
TUCTA hivi Tz kuna vyama vya wafanyakazi? Naona wafanyakazi bado hawajotambui.wangejitambu wangetafuta plan B ya kuachana na hivyo vyama na watafute jinsi ya kutafuta mbadala wa hivyo vyama.TUCTA ipo likizo
Kweli chalii yanguVijana waliozaliwa mwaka 1982 wanae tamaa
Hapo sasa wapambane tu.Walionywa na waraka!
Haiko likizo tu bali iko mfukoni mwa Magu!TUCTA ipo likizo
Hili ni shina la CCM kweli maana hata hawasemi chochoteHaiko likizo tu bali iko mfukoni mwa Magu!
Halafu bado kuna mapumbavu yanamwunga mkono!Huyu Jamaa mnyanyasaji kinyama
Nawaonea huruma hapa kazini kwangu wapo kama 5 saivi wanasota home wakisubiri hatma yako kwa KMK
Wakati wengine wanasota na yeye pia alikuwa anashangiliaHakuna kitu kibaya kama kuwa maskini wa akili, unashangilia wenzako kufukuzwa kazi badala ya kusikitika na kushauri, sisi maskini huwa tunaombea aliyenacho akose tukose wote badala ya kuomba uwe kama yeye.
Roho ya kichawi hiyo, akifukuzwa wewe utalipwa mshahara wake?Wakati wengine wanasota na yeye pia alikuwa anashangilia
kwani hilo tamko limetoka tayari??