Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Yeah sureUnadhani wana hisia basi mkuu ni vile tu hua wanazuga tu,wale wote wanawaza kujipendekeza na kupata vyeo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah sureUnadhani wana hisia basi mkuu ni vile tu hua wanazuga tu,wale wote wanawaza kujipendekeza na kupata vyeo tu.
Mkuu watumishi wa umma wamegawanyika kwenye matabaka mbalimbali, mfano wanajeshi wote haruhusiwi kugoma wala kuwa wanachama wa chama chochote na ndiyo maana polisi, JTWZ, magereza na Uhamiaji hawana vyama vya wafanyakazi, soma vizuri stand order utaelewaInawezekana,ila nijuavyo nasisitiza mtumishi wa umma hatakiwi kuwa na kadi ya chama au kugombea ndani ya utumishi wake......ndiyo maana kamanda Shana watu walimpigia kelele sana
Hakuna kitu kibaya kama kuwa maskini wa akili, unashangilia wenzako kufukuzwa kazi badala ya kusikitika na kushauri, sisi maskini huwa tunaombea aliyenacho akose tukose wote badala ya kuomba uwe kama yeye.
HahahahaUnamsema jiwe sio!?
Kuwaongezea wananchi wa sekta zote hasira?Hongera sana Serikari ya Awamu ya Tano mnafanya vizuri.
Kaa kimya wewe! au uzalendo unakusumbua? mbona yule shemeji yako hujamsema hapaMbona mimi kaka yangu ni mtumishi wa uma na aligombea ubunge amekosa na bado yupo kazini? Au mnazungumzia watia nia wa wapi
Uko sahihi,ila nitaendelea kusisitiza kwa sheria za kazi za Tanzania,any public servant should be apolitical.........haruhusiwi kuwa member wa chama cha siasa,pamoja na hao majeshini........popote alipo mtumishi wa Umma haruhusiwi kuwa na upande wowote wa Siasa......cos anawatumikia wananchi woteMkuu watumishi wa umma wamegawanyika kwenye matabaka mbalimbali, mfano wanajeshi wote haruhusiwi kugoma wala kuwa wanachama wa chama chochote na ndiyo maana polisi, JTWZ, magereza na Uhamiaji hawana vyama vya wafanyakazi, soma vizuri stand order utaelewa
Aisee!Kaa kimya wewe! au uzalendo unakusumbua? mbona yule shemeji yako hujamsema hapa
OkayMishahara hakuna(from July-haijulikani)