Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kwa mwaka huu kwasabab makada wengi ambao ni watumishi bila shaka watarejeshwa. Ole kwa wale wenye kadi ya kile chama kingine mwajiri anaweza sema sina nia ama nafasi yako tena subiri mpaka utakapo itwa.Unaweza ukaipa definition yoyote ile, hata wabunge lakini ukishapokea pesa toka serikalini lazima utii conflict of interests. Hiyo sheria undani wake ilikuwa ni kukomoa watumishi wa serikali wanaoingia opposition parties.
Hesabu ni wangapi wameingia opposition? Dr Lukanima aligombea Chato baada ya hapo hakuopewa tena nafasi ya kurudi utumishi wa umma. That is how we go! Hakuna sheria wala logic ni mapenzi ya watu.
Hapo ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno