Tetesi: Watumishi waliogombea Ubunge roho mkononi

Yeah,ukiamua kuingia kwenye siasa,lazima ujiuzulu nafasi yako ya kazi ya umma,ubaki na siasa tu......wengi hawakuzingatia na kupitia pitia sheria za kazi na kujua status yao baada ya kwenda kugombea
Anajihuzulu akiteuliwa mkuu, hiyo ilikuwa ni kuomba ridhaa na siyo kugombea
 
Hio mishahara inaenda kumalizia SGR,tuwe wazalendo mkuu.
 
Pole yao
 
Sheria ya utumishi iko wazi kwamba unaomba likizo isiyo na malipo. tatizo utekelezaji wale ni mgumu kwa sababu, kama ilivyotokea mwaka huum mawaziri walikuwa kazini na bado wako kazini na waligombea nafasi ya ubunge. Kwa maana nyingine ni hasira ya wanasiasa kutotaka watumishi wengine waingie kwenye mchakato huo.

Kama ni likizo, basi hata mawaziri waliogombea ambao pia hulipwa mishahara, wote wangeondoka na kuwa nje hadi uthibitisho wa wagombea.
 
Kwenye muundo wa utumishi mawaziri wanatambulika kama public servants?
 
Kwenye muundo wa utumishi mawaziri wanatambulika kama public servants?
Unaweza ukaipa definition yoyote ile, hata wabunge lakini ukishapokea pesa toka serikalini lazima utii conflict of interest. Hiyo sheria undani wake ilikuwa ni kukomoa watumishi wa serikali wanaoingia opposition parties.

Hesabu ni wangapi wameingia opposition? Dr Lukanima aligombea Chato baada ya hapo hakupewa tena nafasi ya kurudi utumishi wa umma. That is how we go! Hakuna sheria wala logic ni mapenzi ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…