Watumishi wengi wa Serikali hawana tija. Mishahara inapotea bure

Watumishi wengi wa Serikali hawana tija. Mishahara inapotea bure

Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake. Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Sasa unavyosema hivyo nchi wanaofanya asana kazi ni akina nani? Wewe au?
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake. Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Acha Wivu,,
 
Watu wanateuana kwa kujuana,Halmashauri nyingi zimejaa watu wasio na sifa,Watumishi wengi hata wajitume vipi juhudi zao hazizai matunda (ni kupongezwa kwa maneno tu),hata wajitume vp jamii haiwaelewi,Acha wafanye wawezalo maana serikali haina shukran na maboss zao hivohvo
 
Tafuta MIHELA acha lawama chalii wenzio wanachomekea we unalia...Sonona inakili jamaa!!
 
You are right..

Lakini pia kuna utofauti Mkubwa wa challenges & motivation factors kati ya mfanyakazi wa sekta binafsi na ya umma...

Hebu twende na mifano michache. Hapa tuna mfanyakazi (askari) wa kikosi cha Zimamoto. Gari la maji ya kuzimia moto liko pale. Kunatokea emergency ya moto somewhere near where you are living. Wafanyakazi wapo lakini vitendea kazi hakuna. Gari halina mafuta ya kuliendesha. Au haliwezi kabisa kutembea kwa sababu halijawa serviced kwa muda mrefu. Ukiuliza unaambiwa hakuna fedha ya mafuta wala service kwa sababu serikali haijatoa hela....!!!

Katika mazingira haya mfanyakazi akilala tu kazini au akienda kutafuta chakula kwa masaa 6 utamshangalia nini? Na hata ukimpa KPI bila vitendea kazi utapata matokeo gani...?

Aidha, katika sekta ya umma ni ngumu sana kuwa na wafanyakazi wenye moyo wa kujituma kwenye public sector kama kunakuwa na utofauti mkubwa wa viwango vya madaraja ya malipo kwa watu walio na kiwango sawa cha elimu tofauti ikiwa ni huyu ni mwalimu, mwingine askari na mwingine daktari nk nk...

Nenda kwa wanasiasa kuanzia ngazi ya mawaziri, wakuu wa idara, maDC, MaRC, wabunge nk nk yaani wamejipangia mishahara na marupurupu makubwa kiasi cha mara 100 au hata 200 cha kiwango cha mshahara wa mwalimu Grade A au Nesi mwenye stashahada...

Na wakati mwingine huyu mbunge au DC au RC anazidiwa kwa mbali sana kielimu na hawa ambao anawasimamia na kuwatungia sheria na sera mbalimbali....

Kinachotakiwa siyo hiki cha kulalamika. Ni kufanyika kwa mageuzi makubwa ktk sekta ya utumishi wa umma. Kusiwe na tofauti kubwa kivile kwa malipo kama ilivyo sasa, kwamba kuna mwingine analipwa 400,000 kwa mwezi na kuna wengine wanavuta hadi 30,000,000....!!

This is completely not fair at all. Katika mazingira haya lazima tu kuwe migogoro mingi msingi wake ukiwa ni tofauti ya kimaslahi miongoni mwa watumishi wa umma...
Kweli kabisa ! You nailed it !!!
 
Utapeli huu bora waeekewe target ya Mwezi au Robo Mwaka
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Toa mfano hai isije kuwa shetani kapanda kichwani
 
Sahihi kabisa. Tatizo watu wana ajiriwa hawapewi their job descriptions, kwamba nini kinategemewa kutoka kwao kama afisa fulani. Hivyo unakuta watu wanaenda enda tu.

Kingine hakuna targets za watumishi wa umma , na kama zipo basi hakuna follow up ya nn kimefanywa na nani na nani hajafanya nini.

Ushauri wangu, HR departments za utumishi wa umma wa ige kwenye private companies suala la performance management process.

Hili litabadilisha kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua Auditors wanapita mara ngapi kwenye sector za umma mura
 
Sawa tu mi naona maana wanalipwa mishahara midogo sana
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
ndiyo uzuri wa serikali ya CCM, kulipa mishahara watu ili wasifanye kazi. Ndiyo sababu watumishi wote wa serikali ni makada wa ccm
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Mishahara ama ipunguzwe, au watumishi wapunguzwe. Ni kada mbili tu ambazo walau wanafanya kazi kwa muda mrefu, walimu na nurses. Hata madaktari wanaenda kusign vitabu vya mahudhurio, kusimamia vipimo vya wagonjwa wenye ahadi nao na kuwahi kwenye zahanati au maduka yao ya dawa.
 
wivu utawaua washenzi nyie.


kesho j3 naenda kusaini na kwenda kukaa kwenye mwembe kumpongeza mwigulu kwa kuandaa bajeti ya 41t na mei mosi ijayo mama anatoa neno na hakika hakuna atakayepunguliwa take home ya 50,000!!!
 
Ila kweli pesa Ni kiduchu sna mnazopokea
Yaani unamkuta mtu lets say kama Afisa Maendeleo anasimamia Tarafa nzima.au Kuna kata kubwa kweli hata tatu.

Mtu huyo Hana usafiri na hata kama amejjienunulia mwenyewe mafuta hapewi.

Kama Hilo halitoshi mazingira yenyewe ya kazi hayakaliki, hata nyumba za kupangisha Watumishi Ni kwa.mbinde halafu eti unalazimisha kazi iliyotukuka.

Kwani Utumishi Ni Jela?

Kuna ka kituo ka Afya Fulani hapa, ( kama ujuavyo huduma Ni masaa 24) sasa kina CO wawili tu.

Yaani maana yake kazi wanazofanya kama Ni haki haitakiwi.

Watu WANAJITOLEA sana.

Tena hizi kazi za serikali Mara kibao watu wanatoa pesa mfukoni mwao kufanya kazi ziende.
 
Back
Top Bottom