Umeahazungumzia ma boss, posho ya mkurugenzi huwezi linganisha na mtumishi wa kawaida mimi nawazungumzia watumishi wa taasisi kubwa kubwa ambapo pia wanalipwa pesa ndefu na posho zao bado ziko juu tofouti na hawa wa TAMISEMIHao watumishi nafikiri ni hawa WA kawaida ambao hawana michongo hata humo ndani ya serikali na inajulikana kwann wanakuwa hvyo Ila maboss wao wako poa Kwanza wakisikia unasema hvyo wanakushangaa utumishi wa umma Kwa wenye vyeo sehem kubwa kubwa huwa raha asikwambie mtu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Kuhusu ndoa hapo tuna %chache sana....ila sababu kuu ya kudumu kwa baadhi ya ndoa ni wenzi kuwaza sana namna ya kupata pesa than kufikiria mapungufu ya mwenzio eti sijui kachepuka,oo Mara bajeti ya kuku imetoka wapi wakati niliacha ya dagaa(kikubwa ushibe) ....kiufupi mmoja lazima ajifanya bwege.Ha ha haaa,ndoa hizPongezi za dhati kutoka kwangu, mna nidhamu ya fedha sana pia ndoa nyingi ambazo zinahusisha mwalimu huwa zinadumu sana sijajua mna siri gani ya kipekee kiasi hicho?
Kuna mwisho usio Kifo ?Mwisho ni kifo.
Ngono mbaya sana
We tukopeshe tu bwana, maisha kusaudiana. Tusipokulipa atakulipa Mungu.Sijawasema kwa ubaya huwa nawasaidia sana, sena leo simu zimekuwa nyingi sana sijui huwa wanaambiana kwamba fulani ukimtafuta atakusaidia.
Pia kuna watumishi wengine sio waaminifu kuna wakati unawaazima kwa moyo mmoja ila mwisho wa siku kurudisha deni inakuwa shida.
Hivyo nimeweka azimio ya kwamba sitowakopesha pesa nyingi tena.
Wewe ni mjinga na mshamba!!! Yan unadhalilisha watu?? Kwan MTU akitaka msaada ndio upeperushe mitandaoni!??amakweki wahenga walusema masikini akipata matako huliaaa mbwataaaaaNi watumishi wa serikali kutoka idara tofouti tofouti nyeti na zisizo nyeti, watumishi hawa wa Mama Samiah Suluhu Hassani wanatia huruma mno kila ifikapo katikati ya mwezi.
Na kwa hili ilivyo kwa sasa ya vitu kupanda bei, kuna kufanya maendeleo kweli ukiwa mtumishi wa serikali?
Niwaase watumishi, pindi mnapopata mishahara yenu muache kutumia hovyo kwenye mabaa na kuhonga wanawake hovyo pasipo kufanya seaving ya 40% ya kile unachopata mwisho wa mwezi, maana kwa simu za leo nimejisikia vibaya mno na mwisho nimeshindwa kuwaelewa? Kama hiyo mishahara mnayolipwa inawatosha kweli au ni vile mmeridhika na maisha ya mishahara kwamba mna uhakika wa kuupata kila mwisho wa mwezi, na imewapelekea nyie kubweteka pasipo kufikiria kuwa na kitu cha ziada cha kuwaingizia kipato?
Ushauri kwenu mjitahidi kubadilika muishi kulingana na kipato chenu, hizi starehe mnazofanya mjini mkumbuke zina mwisho mbaya mtakuja kukumbuka umri umewatupa mkono na hakuna cha maana mlichofanya pindi mkiwa watumishi.
Mwisho kabisa niwapingeze waalimu, katika watumishi wa serikali hawa wanaongoza kuishi ndani ya mishahara yao, sijawahi kuwasikia wakililia shida kama watumishi wengine, popote mlipo walimu pokeeni pongezi zangu za dhati.
Mimi ni mtumishi wa umma na hapa nina akiba, na tena kuna allowance nyingine iko bado uhasibu inakuja, ni ya kuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku sita, si haba. Sasa sijui unazungumzia akina nani haoNi watumishi wa serikali kutoka idara tofouti tofouti nyeti na zisizo nyeti, watumishi hawa wa Mama Samiah Suluhu Hassani wanatia huruma mno kila ifikapo katikati ya mwezi.
Kwema mtumishiMimi ni mtumishi wa umma na hapa nina akiba, na tena kuna allowance nyingine iko bado uhasibu inakuja, ni ya kuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku sita, si haba. Sasa sijui unazungumzia akina nani hao
Unajitambua, hongera sana ukiendelea hivyo utafika mbali sanaMimi ni mtumishi wa umma na hapa nina akiba, na tena kuna allowance nyingine iko bado uhasibu inakuja, ni ya kuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku sita, si haba. Sasa sijui unazungumzia akina nani hao
Mkuu, au unakopesha kwa riba?!!Sijawasema kwa ubaya huwa nawasaidia sana, sena leo simu zimekuwa nyingi sana sijui huwa wanaambiana kwamba fulani ukimtafuta atakusaidia.
Pia kuna watumishi wengine sio waaminifu kuna wakati unawaazima kwa moyo mmoja ila mwisho wa siku kurudisha deni inakuwa shida.
Hivyo nimeweka azimio ya kwamba sitowakopesha pesa nyingi tena.
Tena nyie ndio wajinga mnaweka kadi kwa mruga chacha Myra mnakopa kwa riba.Walimu tuna haiba ya ustaha na aibu kuombaomba lakini siyo kwamba hatuishiwi ni ile tu tunatumia kwa level yetu ya salary ndogo yenye kulengwa na machoz
Dsh, hizi taarifa zingine zinatutesa sisi wengine tunaopokea 500k isiyo na posho yoyote katikatiVijana wanatia huruma mno, unakuta kijana anapokea zaidi ya 2M posho humo humo ila katikati ya mwezi hana kitu na hapo wiki mbili alikuwa anakunywa pombe za laki 7 kwenye lounge huku akizungukwa na wanawake wa mjini.
Wanasikitisha sana
Weye ndiyo wanakupigia simu uwakopeshe?Hao watumishi ni hopelesses!Ukija nitakupa kazi halafu nitakulipa ujira kidogo, muogope sana mtu anaekupa pesa bure huyo hakutakii mema katika maisha yako.
Nani asiyengonoka na hajafa duniani hapa.Mwisho ni kifo.
Ngono mbaya sana
Mkuu unajua mshahara wa VEO aliyefanya kazi kwa miaka 10 ana mshahara gani na unajua ukisema 45% savings atabakiwa na kiasi gani? Hongera kwa kuwa wewe unazo baada ya kupora na kupiga dili fulani.Maisha ya watumishi wa umma hasa wa serikali za mitaa waliopo katika ofisi za kata, vijiji na Miata ni Mungu ndo anajua wanavyoishi.Huwa ninawaoneaga huruma sana ila Sina namna nawatia moyo tu.Wengi wa wadada katika hayo maeneo ni chakula cha wafanyabiashara na viongozi fulani.Mungu awasaidie na akuhurumie na wewe kwa kujitutumuaMkuu kuna watu wako taasisi fulani fulani huwa wanaposho nzuri na safari nyingi tu ila ndio hao wananipigia simu kuomba msaada.
Pongezi kwako kwa kufanya kazi kwenye mamlaka, jitahidi sana kufanya saving hawa vijana na maisha yao ya mjini wasikuhadae kabisa