Watumishi wengi wa serikali mnatia huruma mno, ni katikati ya mwezi ila nimepokea zaidi ya simu 10 mkiomba msaada wa pesa

Watumishi wengi wa serikali mnatia huruma mno, ni katikati ya mwezi ila nimepokea zaidi ya simu 10 mkiomba msaada wa pesa

Hao watumishi nafikiri ni hawa WA kawaida ambao hawana michongo hata humo ndani ya serikali na inajulikana kwann wanakuwa hvyo Ila maboss wao wako poa Kwanza wakisikia unasema hvyo wanakushangaa utumishi wa umma Kwa wenye vyeo sehem kubwa kubwa huwa raha asikwambie mtu.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Hao watumishi nafikiri ni hawa WA kawaida ambao hawana michongo hata humo ndani ya serikali na inajulikana kwann wanakuwa hvyo Ila maboss wao wako poa Kwanza wakisikia unasema hvyo wanakushangaa utumishi wa umma Kwa wenye vyeo sehem kubwa kubwa huwa raha asikwambie mtu.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Umeahazungumzia ma boss, posho ya mkurugenzi huwezi linganisha na mtumishi wa kawaida mimi nawazungumzia watumishi wa taasisi kubwa kubwa ambapo pia wanalipwa pesa ndefu na posho zao bado ziko juu tofouti na hawa wa TAMISEMI
 
Pongezi za dhati kutoka kwangu, mna nidhamu ya fedha sana pia ndoa nyingi ambazo zinahusisha mwalimu huwa zinadumu sana sijajua mna siri gani ya kipekee kiasi hicho?
Kuhusu ndoa hapo tuna %chache sana....ila sababu kuu ya kudumu kwa baadhi ya ndoa ni wenzi kuwaza sana namna ya kupata pesa than kufikiria mapungufu ya mwenzio eti sijui kachepuka,oo Mara bajeti ya kuku imetoka wapi wakati niliacha ya dagaa(kikubwa ushibe) ....kiufupi mmoja lazima ajifanya bwege.Ha ha haaa,ndoa hiz
 
Sijawasema kwa ubaya huwa nawasaidia sana, sena leo simu zimekuwa nyingi sana sijui huwa wanaambiana kwamba fulani ukimtafuta atakusaidia.

Pia kuna watumishi wengine sio waaminifu kuna wakati unawaazima kwa moyo mmoja ila mwisho wa siku kurudisha deni inakuwa shida.

Hivyo nimeweka azimio ya kwamba sitowakopesha pesa nyingi tena.
We tukopeshe tu bwana, maisha kusaudiana. Tusipokulipa atakulipa Mungu.
 
Ni watumishi wa serikali kutoka idara tofouti tofouti nyeti na zisizo nyeti, watumishi hawa wa Mama Samiah Suluhu Hassani wanatia huruma mno kila ifikapo katikati ya mwezi.

Na kwa hili ilivyo kwa sasa ya vitu kupanda bei, kuna kufanya maendeleo kweli ukiwa mtumishi wa serikali?

Niwaase watumishi, pindi mnapopata mishahara yenu muache kutumia hovyo kwenye mabaa na kuhonga wanawake hovyo pasipo kufanya seaving ya 40% ya kile unachopata mwisho wa mwezi, maana kwa simu za leo nimejisikia vibaya mno na mwisho nimeshindwa kuwaelewa? Kama hiyo mishahara mnayolipwa inawatosha kweli au ni vile mmeridhika na maisha ya mishahara kwamba mna uhakika wa kuupata kila mwisho wa mwezi, na imewapelekea nyie kubweteka pasipo kufikiria kuwa na kitu cha ziada cha kuwaingizia kipato?

Ushauri kwenu mjitahidi kubadilika muishi kulingana na kipato chenu, hizi starehe mnazofanya mjini mkumbuke zina mwisho mbaya mtakuja kukumbuka umri umewatupa mkono na hakuna cha maana mlichofanya pindi mkiwa watumishi.

Mwisho kabisa niwapingeze waalimu, katika watumishi wa serikali hawa wanaongoza kuishi ndani ya mishahara yao, sijawahi kuwasikia wakililia shida kama watumishi wengine, popote mlipo walimu pokeeni pongezi zangu za dhati.
Wewe ni mjinga na mshamba!!! Yan unadhalilisha watu?? Kwan MTU akitaka msaada ndio upeperushe mitandaoni!??amakweki wahenga walusema masikini akipata matako huliaaa mbwataaaaa
 
Miaka saba hao watumishi mishahara haijapanda na wengine hawajapandishwa madaraja kutokana na roho mbaya za maafisa utumishi, kumbuka mtumishi akibaniwa na afisa utumishi kuwekwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kupandishwa daraja hayo maumivu atayasikilizia kwa mwaka mzima kabla ya kusubiri bahati nyingine ya kuingia kwenye orodha......watumishi hao hao wanabanwa na waajiri kutumia muda wao wote kazini, huo muda wa kusimamia biashara zingine atautoa wapi? na nyie mnaowananga watumishi mkija kupata huduma mkakuta ofisi hazina watu mnaanza kutoa mapovu utafikiri sabuni ya omo.............waacheni watumishi wapumue, hii ya kuwananga mitandaoni kisa wameomba uwaazime pesa kidogo siyo poa........​
 
Ni watumishi wa serikali kutoka idara tofouti tofouti nyeti na zisizo nyeti, watumishi hawa wa Mama Samiah Suluhu Hassani wanatia huruma mno kila ifikapo katikati ya mwezi.
Mimi ni mtumishi wa umma na hapa nina akiba, na tena kuna allowance nyingine iko bado uhasibu inakuja, ni ya kuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku sita, si haba. Sasa sijui unazungumzia akina nani hao
 
Mimi ni mtumishi wa umma na hapa nina akiba, na tena kuna allowance nyingine iko bado uhasibu inakuja, ni ya kuwa nje ya kituo cha kazi kwa siku sita, si haba. Sasa sijui unazungumzia akina nani hao
Unajitambua, hongera sana ukiendelea hivyo utafika mbali sana
 
Sijawasema kwa ubaya huwa nawasaidia sana, sena leo simu zimekuwa nyingi sana sijui huwa wanaambiana kwamba fulani ukimtafuta atakusaidia.

Pia kuna watumishi wengine sio waaminifu kuna wakati unawaazima kwa moyo mmoja ila mwisho wa siku kurudisha deni inakuwa shida.

Hivyo nimeweka azimio ya kwamba sitowakopesha pesa nyingi tena.
Mkuu, au unakopesha kwa riba?!!
 
Walimu tuna haiba ya ustaha na aibu kuombaomba lakini siyo kwamba hatuishiwi ni ile tu tunatumia kwa level yetu ya salary ndogo yenye kulengwa na machoz
Tena nyie ndio wajinga mnaweka kadi kwa mruga chacha Myra mnakopa kwa riba.
 
Vijana wanatia huruma mno, unakuta kijana anapokea zaidi ya 2M posho humo humo ila katikati ya mwezi hana kitu na hapo wiki mbili alikuwa anakunywa pombe za laki 7 kwenye lounge huku akizungukwa na wanawake wa mjini.

Wanasikitisha sana
Dsh, hizi taarifa zingine zinatutesa sisi wengine tunaopokea 500k isiyo na posho yoyote katikati
 
Mkuu kuna watu wako taasisi fulani fulani huwa wanaposho nzuri na safari nyingi tu ila ndio hao wananipigia simu kuomba msaada.

Pongezi kwako kwa kufanya kazi kwenye mamlaka, jitahidi sana kufanya saving hawa vijana na maisha yao ya mjini wasikuhadae kabisa
Mkuu unajua mshahara wa VEO aliyefanya kazi kwa miaka 10 ana mshahara gani na unajua ukisema 45% savings atabakiwa na kiasi gani? Hongera kwa kuwa wewe unazo baada ya kupora na kupiga dili fulani.Maisha ya watumishi wa umma hasa wa serikali za mitaa waliopo katika ofisi za kata, vijiji na Miata ni Mungu ndo anajua wanavyoishi.Huwa ninawaoneaga huruma sana ila Sina namna nawatia moyo tu.Wengi wa wadada katika hayo maeneo ni chakula cha wafanyabiashara na viongozi fulani.Mungu awasaidie na akuhurumie na wewe kwa kujitutumua
 
Back
Top Bottom