Watumishi wengi wa Umma tumeachwa Kimaisha na Wajasiriamali wadogo

Unenifungua kitu mkuu.. lakini ukiishi maisha mtaani, na ukiwa kwenye familia za hali ya kawaida tu, Kitaa ni kugumu sanaa mkuu... mimi kabla sijapata ajira nilipambana sanaa mtaani but changamoto ilikua pesa/Mtaji kufanya mishe za mtaa.. But nipo job now ninamishe mtaa ila mishe/Biashara, pesa yake haina uhakika wa %, Yaani unaweza pata leo elfu 3 kesho elfu50..
Kuna kauli niliambiwa na mfanyabiashara mmoja alisema "Bora nyie walau mnaokota senti kila mwisho wa mwezi" But hajui nyakati ngumu zinampata kila mtu, haijalishi entrepreneurs au Mtumishi wa umma. Wote tunapitia changamoto.. kikubwa mkuu ni kuishi unacho kiishi...
 
Uongo
 
Kamdanganye anae MLA 0713 mazaako
 
Kudhibitisha kuwa husemi.uongo ambatanisha ushahidi wa malipo yake ya Mapato ya Kodi ya TRA sababu Kodi huendana na kipato ukitupa tu document ya Kodi anazolipa TRA tutajua unachoongea sahihi


Lete ushahidi wa Kodi za Mapato analipa TRA
Amesema halipi kodi TRA
 
Kifupi wahi tu mirembe hospitali ya vichaa Kwa kuandika vitu vya kuota .Eti nipige hesabu uchwara.Nitapigaje hesabu wakati huhaweka bei za vitu .Kuwa mfano hizo boda boda zinatumia mafuta shilingi ngapi? Mkaa bei Gani na anatumia kiasi Gani Kwa siku,Hao kuku na viazi, ,kabichi nk ananunua shilingi ngapi na kuuza anauza shilingi ngapi Kwa sahani Kwa wateja wangapi Kwa siku?

Hujaweka hizo bei kwenye maelezo Yako uchwara
Kifupi wahi hospitali ya mirembe kichaa Huwa kinaanza hivyo hivyo mtu unaanza kuwaza vitu hewa visivyokuwepo
 
Kuna jamaa anauza miguu ya kuku na vichwa huku mbagala anaingiza laki sita kwa siku
Asante motivation speaker Kwa uongo Kuna mwingine huko huko mbagala tuliambiwa na motivation speaker kuwa alianza biashara ya ujasiriamali Kwa kuuza punje moja ya Mchele ulioiva akauza na kuwa mvumilivu Sasa hivi biashara imekua na ana mahoteli makubwa Jiji zima la Dar es salaam na mengine ulaya😂🤩🤩
 
Weeee bwana! Unajua faida ya laki 2 hadi 3 kwa siku? Nenda ukalale!
Si ndio hapo mkuu?!!,Ina maana kwa mwezi ni km 6,000,000 hadi 9,000,000;Mara miezi 12 ni km Milioni 72 hadi Mil.108.Kwa miaka mitatu tu huyu mtu anakiwa awe anamiliki Hotel yake kubwa tu na Vitega uchumi kibao.Kweli za kuambiwa changanya na zako.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Japo faida ulizoziweka ni kubwa sana labda unazungumzia mauzo...
Lakini mtaani kweli pesa ipo ukiwa mchapa kazi...
Wengi faida ni 20k-50k...sasa mtu anaepata 20k per day( bodaboda) kwa mwezi si ana 600k..huu ni mshahara wa mtumishi kabla ya matumizi
Mjini panahitaji akili, ukiwa mvivu utakuwa mtu wa makasiriko
 
Weeee bwana! Unajua faida ya laki 2 hadi 3 kwa siku? Nenda ukalale!
Ni kweli halijui hilo mkuu,, kwa faida hiyo atakuwa ametumia mtaji wa sh ngapi!? Wengine wana vyanzo vingine vya mapato tofauti na hizo chips inabidi afanye uchunguzi wa kutosha!
 
Ila kweli kuna mama ni mjasiriamali anuza tu supu hii ya kongoro na ndizi plus chapati n vikorokoro vyingine vya kula faida. yake si chini ya 30_40 kwa siku toa kila kitu ila ukiwaangalia hivi kama hawana hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…