Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Wengi wenu nahisi hamuhishi uswahilini wanawake kuomba omba imekuwa tabia yaani mtu huna mahusiano nae yeye akikuona tu kwa vile anakuona kizinga na ukimpa siku moja ndio utakoma punguzeni kuomba waombeni mabwana zenu, kaka zenu na ndugu zenu pesa ngumu mnaosema zamani ilikuwa hakuna shida rudini zamani tuacheni bhn
Nchi omba omba.
Wabunge akina Magige wadangaji mabwana za watu.
Wagogo-wamejazana Dar kwenye traffic light wanaomba.
Kwanini wanawake zetu wasiombe ombe?
 
Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.

Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.

First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.

Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.
Ni tamaa zinazowaponza na kutaka kushow off kwa mashosti zao kuwa wana mtu anawaweka mjini, baada ya muda wanaanza kurogana wenyewe kwa wenyewe na kufungana ridhiki. Mademu wa kibongo ni uchwara tu siku hizi, ukipata unachapa tu na kusepa unawaacha kwenye mataa maana ukikaa naye hata wiki atakuroga tu uwe zezeta wake huku yeye likiwa limekaa tu halina la kufanya kazi kujichubua na kuteta wenzake.
 
Wengi wenu nahisi hamuhishi uswahilini wanawake kuomba omba imekuwa tabia yaani mtu huna mahusiano nae yeye akikuona tu kwa vile anakuona kizinga na ukimpa siku moja ndio utakoma punguzeni kuomba waombeni mabwana zenu, kaka zenu na ndugu zenu pesa ngumu mnaosema zamani ilikuwa hakuna shida rudini zamani tuacheni bhn
Akiniomba zaidi ya buku lazima anilipe,waacheni waendelee kuomba wanaturahishia sana sisi madomo zege
 
Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.

Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.

Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
  • Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
  • Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
  • Au je ndio wanauza kijanja?
  • Au je ni nipe nikupe?
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.
Kuwa na demu/hawara ni gharama sana,wenye akili zao wanacheza na madada poa tu,hawa mademu wanatuuzia kwa gharama kubwa sana ,tafakari
 
Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.

Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.

Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
  • Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
  • Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
  • Au je ndio wanauza kijanja?
  • Au je ni nipe nikupe?
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usipokua tayari kuliwa kidogo huli.
 
Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.

Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.

First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya waume za watu afu mifuko yao haisomeki.

Second ni kwamba intially hajui anakupenda ama la lakini anakuomba Ili depth ya mfuko wako iongee apate kujua anakupenda ama la. Na hii inawakostigi sana wadada sababu wanaume ni wajanja mnooo. Watatoa na kama unapenda kulingana na pesa unayopewa basi wanasubiri unogewe wakugonge matukio kukukomesha ikiwemo kula line 2 ama kukuacha na kizygote na kusepa.

Thirdly, Ana shida kweli na Ana amini unampenda hivyo basi utamsaidia matatizo yake.

Fourthly, kabisa hako kanadanga tu hakana sababu manina zake. 🤭🤭🤭🤫🤫🤫

Hiyo strategy ya nne nmecheka sana
 
Sredi nyingi zimekuwa za malalamiko kuhusiana na mizinga.

Kulikoni?
 
Back
Top Bottom