Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Imekuwa kero, wamejifunza kwa wagogo,Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwa kero, wamejifunza kwa wagogo,Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.
Nchi omba omba.Wengi wenu nahisi hamuhishi uswahilini wanawake kuomba omba imekuwa tabia yaani mtu huna mahusiano nae yeye akikuona tu kwa vile anakuona kizinga na ukimpa siku moja ndio utakoma punguzeni kuomba waombeni mabwana zenu, kaka zenu na ndugu zenu pesa ngumu mnaosema zamani ilikuwa hakuna shida rudini zamani tuacheni bhn
Mtaji wanao wafanye biashara, kama wakitaka kuomba waombe mabwana zaoNchi omba omba.
Wabunge akina Magige wadangaji mabwana za watu.
Wagogo-wamejazana Dar kwenye traffic light wanaomba.
Kwanini wanawake zetu wasiombe ombe?
Bwana naye omba omba , anadaiwa benki, bodi ya mikopo na jumuia ya ulaya wachilia mbali dukani kwa mangi.Mtaji wanao wafanye biashara, kama wakitaka kuomba waombe mabwana zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.
Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.
First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya
Kazi sana..mi mmoja juzi kaamka tu eti naomba elf 30, nikajiuliza kafanya kazi gani mpka nimpe hela?Juz kati nimekula mzigo,..baada ya siku moja kupita demu anataka nimpe elfu ishirini...nikasema duuuuu...anavyoitaja utafikiri anajua jinsi inavyotengenezwa
Ni tamaa zinazowaponza na kutaka kushow off kwa mashosti zao kuwa wana mtu anawaweka mjini, baada ya muda wanaanza kurogana wenyewe kwa wenyewe na kufungana ridhiki. Mademu wa kibongo ni uchwara tu siku hizi, ukipata unachapa tu na kusepa unawaacha kwenye mataa maana ukikaa naye hata wiki atakuroga tu uwe zezeta wake huku yeye likiwa limekaa tu halina la kufanya kazi kujichubua na kuteta wenzake.Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.
Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.
Ninazo nimewashona sana mpaka huruma inanijia nimejiuliza mara mbili mbona nawaumiza make nampa mahitaji yake na kumshonaa haswaa na kumtemaMzee acha tamaa. Waachie wenye nazo walee wabinti.
Akiniomba zaidi ya buku lazima anilipe,waacheni waendelee kuomba wanaturahishia sana sisi madomo zegeWengi wenu nahisi hamuhishi uswahilini wanawake kuomba omba imekuwa tabia yaani mtu huna mahusiano nae yeye akikuona tu kwa vile anakuona kizinga na ukimpa siku moja ndio utakoma punguzeni kuomba waombeni mabwana zenu, kaka zenu na ndugu zenu pesa ngumu mnaosema zamani ilikuwa hakuna shida rudini zamani tuacheni bhn
Kuwa na demu/hawara ni gharama sana,wenye akili zao wanacheza na madada poa tu,hawa mademu wanatuuzia kwa gharama kubwa sana ,tafakariSasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.
Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.
Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.
- Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
- Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
- Au je ndio wanauza kijanja?
- Au je ni nipe nikupe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.
Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.
Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.
- Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
- Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
- Au je ndio wanauza kijanja?
- Au je ni nipe nikupe?
Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.
Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.
First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya waume za watu afu mifuko yao haisomeki.
Second ni kwamba intially hajui anakupenda ama la lakini anakuomba Ili depth ya mfuko wako iongee apate kujua anakupenda ama la. Na hii inawakostigi sana wadada sababu wanaume ni wajanja mnooo. Watatoa na kama unapenda kulingana na pesa unayopewa basi wanasubiri unogewe wakugonge matukio kukukomesha ikiwemo kula line 2 ama kukuacha na kizygote na kusepa.
Thirdly, Ana shida kweli na Ana amini unampenda hivyo basi utamsaidia matatizo yake.
Fourthly, kabisa hako kanadanga tu hakana sababu manina zake. 🤭🤭🤭🤫🤫🤫
Ipo sanaa na inatokana na peer pressure na wanawake wanaomzunguka.Hiyo strategy ya nne nmecheka sana
Tupunguze kuomba jamani[emoji19]
Wenye nazo tupo wachache na mara nyingi hatutoi pesa hovyoMzee acha tamaa. Waachie wenye nazo walee wabinti.