Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Huwa nikisikia "isaac my nikuambie ...mimi ni**
me: 👇👇👇

images.jpeg
 
IMG_2339.jpg

Mtuonee huruma jamani
Kisa kukojoa tu
 
Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.

Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.

Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
  • Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
  • Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
  • Au je ndio wanauza kijanja?
  • Au je ni nipe nikupe?
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.

mkuu ebu na wewe badilika bana!
achana na vibinti shughulika na mama zao. wale hawana njaa kiu yao ni moja tu.
 
Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.

Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.

First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya waume za watu afu mifuko yao haisomeki.

Second ni kwamba intially hajui anakupenda ama la lakini anakuomba Ili depth ya mfuko wako iongee apate kujua anakupenda ama la. Na hii inawakostigi sana wadada sababu wanaume ni wajanja mnooo. Watatoa na kama unapenda kulingana na pesa unayopewa basi wanasubiri unogewe wakugonge matukio kukukomesha ikiwemo kula line 2 ama kukuacha na kizygote na kusepa.

Thirdly, Ana shida kweli na Ana amini unampenda hivyo basi utamsaidia matatizo yake.

Fourthly, kabisa hako kanadanga tu hakana sababu manina zake. [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2958][emoji2958][emoji2958]
nimeipenda sana. Na hii umeiweka vizuri sana kwa sisi wanaume kuweza kuwaelewa wanawake.
 
Kuna hawa wakuomba pesa kwa kitumia Suffix "Kilo" au "Dollar"

Akiwa anahitaji Laki tano(Hapo anashida kabisa) utasikia;

Babe, Nahitaji 500k au Dollar kama 250 hivi, hapo kamaliza.

Ukija kwangu omba pesa vizuri, " Babe naomba shilingi LAKI TANO. Pesa ijulikane ni nyingi na ipewe heshima pia
 
Mdada akianza kuniomba omba vitu vya kijinga jinga kila mda. namuweka kwenye kundi la matumizi namtoa kwenye future
 
Wengine ni washua kwao Ila utaskia wakisema pesa sio zao Ni za wazazi wao
 
Back
Top Bottom