Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Sasa hivi tuna wahitaji wapya mtaani wenye shida zisizo isha omba omba.

Hawa ni mabinti wadogo kwa wakubwa. Wamejishusha thamani sasa hivi huwezi ukadunu nae tena maana yake anageuka kikwazo.

Anakuomba hela kila dakika ili mradi una mawasiliano nae. Sio hela ya vocha kusuka, simu, kodi, nguo na nauli.
  • Je tuseme ngazi ya familia imeshindwa kuwatunza hawa mabinti?
  • Au je ni tamaa zao kutaka vitu vilivyo nje ya uwezo wao?
  • Au je ndio wanauza kijanja?
  • Au je ni nipe nikupe?
Kuna kitu hakipo sawa basi tuangalie ni namna gani ya kuwasaidia hawa watu maana yake hiki kitu kawashusha sana thamani ya utu wao.

Mbona vyepesi Sana ya nn ulalamike , wewe akikuomba mwambie ijia , akitaka umtumie Kwa simu mwambie pesa yangu yakarungu yeye haitumwi mpaka uijie .

Sasa akija lazima atikiswe kwelikweli yaani tikisa tikisi lote mpaka akitaka pesa anakumbuka tikiso ajue kijasho kule hahahahha.
 
Ngoma Nzito!! Mwendazake aliharibu nchi ,enzi za JK kulikuwa hakuna malalamiko haya!! Anampa mama wakati mgumu sana.

Mabinti hawawezi kumuomba hela mtu ambaye hawamjui hata kidogo ,atamuomba mtu wa karibu ambaye amezoeana naye! Kama ni mpenzi wako hauna budi kumpa na iwe moja ya majukumu yako sio mpaka uombwe,weka ratiba ya kumpa kihasi fulani kwa mwezi kama mshahara.

Kwasisi tulioa hatuombwi pesa bali tunajua majukumu yetu na yapo kwenye dairy! Wakati binti akiwa hana uhusiano mahitaji yote aliyapata kwa wazazi wake ,kwasasa amekua hadi na wewe ukamshobokea hivyo ulitakiwa utoe barua na kumweka ndani na kumuhudumia.
 
Mbona vyepesi Sana ya nn ulalamike , wewe akikuomba mwambie ijia , akitaka umtumie Kwa simu mwambie pesa yangu yakarungu yeye haitumwi mpaka uijie .

Sasa akija lazima atikiswe kwelikweli yaani tikisa tikisi lote mpaka akitaka pesa anakumbuka tikiso ajue kijasho kule hahahahha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnatikisa kwel kwel hakuna hela ya Bure
 
Mahusiano ya sahv yana hitaji Uwe mjanja sana kusoma Alama za nyakati na akili ya mwenzako ...bila ya hivyo utaumia sana ..hawa wanawake wanaendekeza show off na tamaa za kijinga so unaweza ukawa unahudumia fresh lakini kumbe kawapanga mko kama wa tano kote anachuma tuu ...
 
Kuna mijitu humu inataka kujifanya yenyewe Ndio inahela ....kumbe njaa tupu.

Kifupi wanawake Wa sasa ni kichefu chefu yaani wenyewe na pesa pesa na wenyewe hadi kufukia kuuza utu wao kisa vipesa ambavyo vinachosha na kutanua maungo yao bila sababu za msingi.

Kila mwanamke anataka kupendeza bila kufanya kazi mwisho wake wanaambulia kupigwa pipe tu bila mafanikio yoyote.

Asipo kuomba lazima akukope ....basi tufanye wanaombwa ni wanaume walio watonhiza . je hawa wanaokopwa alafu hawalipwi nao wanakosa gani ........?

Nyie vijamaa mnao jifanya mnahela
Na kutetea upuuzi Wa wanawake wanao taka haki za Mke huku wao hawataki kuwa wake .
 
Kuna mijitu humu inataka kujifanya yenyewe Ndio inahela ....kumbe njaa tupu.

Kifupi wanawake Wa sasa ni kichefu chefu yaani wenyewe na pesa pesa na wenyewe hadi kufukia kuuza utu wao kisa vipesa ambavyo vinachosha na kutanua maungo yao bila sababu za msingi.

Kila mwanamke anataka kupendeza bila kufanya kazi mwisho wake wanaambulia kupigwa pipe tu bila mafanikio yoyote.

Asipo kuomba lazima akukope ....basi tufanye wanaombwa ni wanaume walio watonhiza . je hawa wanaokopwa alafu hawalipwi nao wanakosa gani ........?

Nyie vijamaa mnao jifanya mnahela
Na kutetea upuuzi Wa wanawake wanao taka haki za Mke huku wao hawataki kuwa wake .
Jamaa wanajigamba kama wamiliki wa GSM kumbe mmoja displin master na mwenzie kajitolea Mchambawima Secondary
 
Sredi nyingi zimekuwa za malalamiko kuhusiana na mizinga.

Kulikoni?
Ni ukweli ambao umekithiri sana! Tatizo hili halikuwepo kabla ya utandawazi na maisha kuwa ya gharama kama ilivyo sasa! Zamani mke anasuka twende kilioni uani kwake gharama sh.300 tu!

Akipaka na hina gharama hazifiki buku, ila hawa wa sasa Saloon msusi tu 40,000 wigi ni 150,000 yani ni balaa! Hapo sio mke wa mtu ila ana mataa ya kupendeza lazma apige mizinga apate hizo hela za kuendea saluni na kubadika kope na kucha. Lazma atembeze virungu take away kwa mabaharia kadha wa kadha!
 
Mbona wanawake wote walishakubaliana kuacha kupiga mizinga mwaka huu kwa imekuaje tena
 
Ni tatizo complex hili na utatuzi wake unahitaji major changes kwa wanawake na wanaume pia.

Wanawake kuomba huwa ni very strategic labda hamjui tu.

First scenario ni anakuomba Ili uchoke kutoa usepe zako huko kwa vile hajakupenda. Hii ni category sana ya waume za watu afu mifuko yao haisomeki.

Second ni kwamba intially hajui anakupenda ama la lakini anakuomba Ili depth ya mfuko wako iongee apate kujua anakupenda ama la. Na hii inawakostigi sana wadada sababu wanaume ni wajanja mnooo. Watatoa na kama unapenda kulingana na pesa unayopewa basi wanasubiri unogewe wakugonge matukio kukukomesha ikiwemo kula line 2 ama kukuacha na kizygote na kusepa.

Thirdly, Ana shida kweli na Ana amini unampenda hivyo basi utamsaidia matatizo yake.

Fourthly, kabisa hako kanadanga tu hakana sababu manina zake. [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2958][emoji2958][emoji2958]
Daah!! Mkuu hoja ya nne umemaliza na kuvunja mbavu [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Back
Top Bottom