Watunzeni na kuwalea vizuri mabinti, wanaharibikiwa

Huwa nikisikia "isaac my nikuambie ...mimi ni**
me: πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 

Mtuonee huruma jamani
Kisa kukojoa tu
 
mkuu ebu na wewe badilika bana!
achana na vibinti shughulika na mama zao. wale hawana njaa kiu yao ni moja tu.
 
nimeipenda sana. Na hii umeiweka vizuri sana kwa sisi wanaume kuweza kuwaelewa wanawake.
 
Kuna hawa wakuomba pesa kwa kitumia Suffix "Kilo" au "Dollar"

Akiwa anahitaji Laki tano(Hapo anashida kabisa) utasikia;

Babe, Nahitaji 500k au Dollar kama 250 hivi, hapo kamaliza.

Ukija kwangu omba pesa vizuri, " Babe naomba shilingi LAKI TANO. Pesa ijulikane ni nyingi na ipewe heshima pia
 
Mdada akianza kuniomba omba vitu vya kijinga jinga kila mda. namuweka kwenye kundi la matumizi namtoa kwenye future
 
Wengine ni washua kwao Ila utaskia wakisema pesa sio zao Ni za wazazi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…