Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Kiuwezo wa kimahesabu yaani kuangalia uwezo wake wa engine na uzito anauobeba kimahesabu inakubali kabisa kupanda na 80km/hr.
Kwenye uhalisia haiwezi ikashindana na benz au scania kwa power (uwezo) wa kuinuka na zote mlimani hapo ndipo Sauli anapowaacha zaidi,ukija kukaa sawa mwenzio ameshafika mbali kutokana na uwezo wake wa kuinuka mlimani.
Kila gari ina sifa zake kwa maeneo yake,achana na scania mlimani labda umvizie sehemu za tambarale hapo kamtafutu tu na hiyo michana sehemu hizo za tambarale nayo iache iende mkuu,inamwagika sio kitoto na ndio maana Kureed/Hunters ya Mwanza japo ni gari lenye uwezo mkubwa au Phonex DVD wote hao wanageuka/wanaagukia kwenye kundi la mizaha kwa njia ya Mwanza,Kureed kuwamwaga watu Nyegezi saa tisa za usiku kawaida sana kwake wakati Ally's anawaleta chini ya saa sita usiku tena hadi saa 4 akivurugwaga vizuri sababu njia ya kati sehemu kubwa ni tambarale,pale michina ina shine mkuu kwakuwa hawana miinuko mingi inayowafanya washindwe kuchanganya haraka.
Kureee hiyo hiyo ingeenda Mbeya ingekuwa kwenye topthree za juu kila siku.
Hiko ndicho kilicho kwenye Sauli

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahahaha sawa mkuu!
 
Huwezi amini,kuna watu wa kila aina,wapo askari,walimu,madokta,bodaboda uliowasema na kila aina ya watu wenye kupenda mabasi.
Yupo mmoja alikuwa anafanya kazi Hospitali pale Iringa mjini,ikifika mida ya mabasi anaenda Ipogolo kupiga picha na kwasasa alipewa tender ya kuitangaza basi mpya ya Kureed/Hunters ya Dar_Mwanza,alilipwa mkwanja mrefu sana kuliko hata hela ambayo angeweza kuikopa kwa kazi yake

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah lol.
 
Swali la ufahamu toka Dar hadi Kitonga kuna milima ningapi??

Toka kitonga hadi Igurusi kuna milima mingapi

Toka hapo hadi Tunduma kuna mipando mingapi


Ili Hoja yako iwe VALID
Tunapozungumzia milima sio lazima iwe miiiingi ila kiuhalisia toka Morogoro kuja Mikumi its almost unapanda tu,toka mikumi pia unapanda panda tu kwa kiwango kikubwa,pia utapanda kitonga then ukitoka Changalawe (Majinja) unapanda kwa kiasi fulani utakaa sawa uwanda wa Makambako,ukitoka pale kuja Mpakani pia unapanda,ukitoka Igawa utapanda pia kwa kiasi fulani kuna vimilima milima vya hapa na pale hadi kuitafuta Mlima Nyoka pale relini kwa Tenende,toka pale unakuja unapanda tena hapo Tazama kuitafuta Uyole>Mbeya hiyo mkuu.
Na ndio maana bajeti ya mafuta kwa njia ya Mbeya inaizidi bajeti ya mafuta ya Mwanza kwenye mabasi.
Ukitoka Dar kwenda Mwanza unapanda Saranda tu na Muhalala pale unainukia Sheli ya Afro Oil Manyoni.
Ukitoka hapo unatambaa na zote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tunapozungumzia milima sio lazima iwe miiiingi ila kiuhalisia toka Morogoro kuja Mikumi its almost unapanda tu,toka mikumi pia unapanda panda tu kwa kiwango kikubwa,pia utapanda kitonga then ukitoka Changalawe (Majinja) unapanda kwa kiasi fulani utakaa sawa uwanda wa Makambako,ukitoka pale kuja Mpakani pia unapanda,ukitoka Igawa utapanda pia kwa kiasi fulani kuna vimilima milima vya hapa na pale hadi kuitafuta Mlima Nyoka pale relini kwa Tenende,toka pale unakuja unapanda tena hapo Tazama kuitafuta Uyole>Mbeya hiyo mkuu.
Na ndio maana bajeti ya mafuta kwa njia ya Mbeya inaizidi bajeti ya mafuta ya Mwanza kwenye mabasi.
Ukitoka Dar kwenda Mwanza unapanda Saranda tu na Muhalala pale unainukia Sheli ya Afro Oil Manyoni.
Ukitoka hapo unatambaa na zote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa unatafuta sababu so unataka [emoji1662][emoji1662][emoji1662][emoji1662][emoji1662] ashuke tuuu
 
Haa haa haaa.
ila kiukweli barabarani kuna raha yake mkuu.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hapa kama gari yako haijawahi kumaliza 180km/hr basi haifiki tena popote duniani.
255676527250_status_927759bbfa7e4657a682b54cbc19d1d3.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha ama kweli JF ni full BURUDANI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom