Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unafikiri gari za kichina haziwezi kupanda huo mlima zikiwa 80km/h ?

Na kwanini zisiweze?
 
Wabongo noma
FB_IMG_16262773515074367.jpg
 
Hakuna dereva anaiweza BENZI.
Hakuna dereva anaeiwezs SAULI.

New Force, Golden Deer, Nganga, Majinja, Imani, Happy Nation, AL Saeed na wengine woteee WANASANDA MBELE BENZI.

Tukutane Mbeya Carnival..!!!

#YNWA
Nani kavunja geti la uyole leo Kati ya mchina na msweeden
 
Miaka zaidi ya mitano wengine tunaishi hapa mjini ujue
Shekilango pale karibu na taa ukitokea Soko la kuku kuelekea Ubungo business Park,hapo kwenye kona Newforce/Deer ameanza kuweka gari pale baada ya Sauli kuja kwenye ligi,na ndio maana kaacha gari nyingine zoote ndani enzi za ubungo.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Shekilango pale karibu na taa ukitokea Soko la kuku kuelekea Ubungo business Park,hapo kwenye kona Newforce/Deer ameanza kuweka gari pale baada ya Sauli kuja kwenye ligi,na ndio maana kaacha gari nyingine zoote ndani enzi za ubungo.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Mkuu nimefanyia UBUNGO PLAZA FOR 7 YEARS

Tukiachia hapo mi mzaliwa wa UBUNGO MAZIWA hii yote ni mitaa acha ugeni mtoto wa mjini
 
Mkuu tunaongelea uhalisia ghafla umeingiza mambo ya simulation!

Nilifikiri ungekuja na sababu kwanini zhongtong isipande huo mlima ikiwa 80km/h..
Kiuwezo wa kimahesabu yaani kuangalia uwezo wake wa engine na uzito anauobeba kimahesabu inakubali kabisa kupanda na 80km/hr.
Kwenye uhalisia haiwezi ikashindana na benz au scania kwa power (uwezo) wa kuinuka na zote mlimani hapo ndipo Sauli anapowaacha zaidi,ukija kukaa sawa mwenzio ameshafika mbali kutokana na uwezo wake wa kuinuka mlimani.
Kila gari ina sifa zake kwa maeneo yake,achana na scania mlimani labda umvizie sehemu za tambarale hapo kamtafutu tu na hiyo michana sehemu hizo za tambarale nayo iache iende mkuu,inamwagika sio kitoto na ndio maana Kureed/Hunters ya Mwanza japo ni gari lenye uwezo mkubwa au Phonex DVD wote hao wanageuka/wanaagukia kwenye kundi la mizaha kwa njia ya Mwanza,Kureed kuwamwaga watu Nyegezi saa tisa za usiku kawaida sana kwake wakati Ally's anawaleta chini ya saa sita usiku tena hadi saa 4 akivurugwaga vizuri sababu njia ya kati sehemu kubwa ni tambarale,pale michina ina shine mkuu kwakuwa hawana miinuko mingi inayowafanya washindwe kuchanganya haraka.
Kureee hiyo hiyo ingeenda Mbeya ingekuwa kwenye topthree za juu kila siku.
Hiko ndicho kilicho kwenye Sauli

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kiuwezo wa kimahesabu yaani kuangalia uwezo wake wa engine na uzito anauobeba kimahesabu inakubali kabisa kupanda na 80km/hr.
Kwenye uhalisia haiwezi ikashindana na benz au scania kwa power (uwezo) wa kuinuka na zote mlimani hapo ndipo Sauli anapowaacha zaidi,ukija kukaa sawa mwenzio ameshafika mbali kutokana na uwezo wake wa kuinuka mlimani.
Kila gari ina sifa zake kwa maeneo yake,achana na scania mlimani labda umvizie sehemu za tambarale hapo kamtafutu tu na hiyo michana sehemu hizo za tambarale nayo iache iende mkuu,inamwagika sio kitoto na ndio maana Kureed/Hunters ya Mwanza japo ni gari lenye uwezo mkubwa au Phonex DVD wote hao wanageuka/wanaagukia kwenye kundi la mizaha kwa njia ya Mwanza,Kureed kuwamwaga watu Nyegezi saa tisa za usiku kawaida sana kwake wakati Ally's anawaleta chini ya saa sita usiku tena hadi saa 4 akivurugwaga vizuri sababu njia ya kati sehemu kubwa ni tambarale,pale michina ina shine mkuu kwakuwa hawana miinuko mingi inayowafanya washindwe kuchanganya haraka.
Kureee hiyo hiyo ingeenda Mbeya ingekuwa kwenye topthree za juu kila siku.
Hiko ndicho kilicho kwenye Sauli

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
And on top of that,Rungwe na zile DNN zake anao uwezo mkubwa sana wa kwenda ligi sawa na huyo Sauli,sema nafikiri madereva wake ndio sio wachangamfu ukimtoa yule aliyeenda kolikoli nae ile siku pamoja na HappyNation,DMG,mwisho alikaa Talent (Kinyooooooooooooooooooooonge) wenzie wanakula tuta yeye akaweka mguu kati.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nimefanyia UBUNGO PLAZA FOR 7 YEARS

Tukiachia hapo mi mzaliwa wa UBUNGO MAZIWA hii yote ni mitaa acha ugeni mtoto wa mjini
Sawa jirani,service zangu nafanyia hapo kwenye garage ya N'shomile opposite kabisa na Ofisi za Rungwe express,karibu na huo uzio wa Tanesco hapo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kiuwezo wa kimahesabu yaani kuangalia uwezo wake wa engine na uzito anauobeba kimahesabu inakubali kabisa kupanda na 80km/hr.
Kwenye uhalisia haiwezi ikashindana na benz au scania kwa power (uwezo) wa kuinuka na zote mlimani hapo ndipo Sauli anapowaacha zaidi,ukija kukaa sawa mwenzio ameshafika mbali kutokana na uwezo wake wa kuinuka mlimani.
Kila gari ina sifa zake kwa maeneo yake,achana na scania mlimani labda umvizie sehemu za tambarale hapo kamtafutu tu na hiyo michana sehemu hizo za tambarale nayo iache iende mkuu,inamwagika sio kitoto na ndio maana Kureed/Hunters ya Mwanza japo ni gari lenye uwezo mkubwa au Phonex DVD wote hao wanageuka/wanaagukia kwenye kundi la mizaha kwa njia ya Mwanza,Kureed kuwamwaga watu Nyegezi saa tisa za usiku kawaida sana kwake wakati Ally's anawaleta chini ya saa sita usiku tena hadi saa 4 akivurugwaga vizuri sababu njia ya kati sehemu kubwa ni tambarale,pale michina ina shine mkuu kwakuwa hawana miinuko mingi inayowafanya washindwe kuchanganya haraka.
Kureee hiyo hiyo ingeenda Mbeya ingekuwa kwenye topthree za juu kila siku.
Hiko ndicho kilicho kwenye Sauli

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Swali la ufahamu toka Dar hadi Kitonga kuna milima ningapi??

Toka kitonga hadi Igurusi kuna milima mingapi

Toka hapo hadi Tunduma kuna mipando mingapi


Ili Hoja yako iwe VALID
 
Back
Top Bottom