Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Hakika mkuu umenikumbusha mbali sana,kiswele ilikua moto chini yale mabasi,Lukumburu pass ilikua kama wanapita kona za Iyovi...Kwacha mmm walikua na basi yao moja CD (Navolonge Swela)hii Leyland CD ilikua kiboko ya Scania,kipindi tumefunga chuo pale Mkwawa CNE tunapelekwa home na hii bus ilikua raha tupu,Navalonge Swela inaanza kushusha kuanzia pale makao makuu ya ccm mkoani sisi huku Makanyagio ni mziki mtupu kutoka kwenye engine ya CD hii,yeah nhe nimeishi maisha to the best..
Daah kuna mwamba Masia bus we Acha inaovertake kitonga au kushuka kitonga na 80
 
Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanini Kisbo aliacha route ya Dar-Mbeya kwa muda mfupi. Na route ya Mbeya-Mwanza apeleki gari?
 
Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA

Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali


View attachment 1851887View attachment 1851888View attachment 1851889
Hakuna dereva anaiweza BENZI.
Hakuna dereva anaeiwezs SAULI.

New Force, Golden Deer, Nganga, Majinja, Imani, Happy Nation, AL Saeed na wengine woteee WANASANDA MBELE BENZI.

Tukutane Mbeya Carnival..!!!

#YNWA
 
Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Acha kudanganya watu newforce alihamia shikilango muda mrefu tu kabla hata sauli hajaleta basi zake enzi ya
Kisbo dar-mbeya, ilasi newforce bado alikuwa anatokea shekilango
 
Anaitwa Waubani linyama AKA (wali nyani) ni dereva wa mabasi ya kampuni ya NEW FORCE & GOLDEN DEEER route ya Dar mbeya tunduma na kwa sasa anaendesha bus no. T712 DPK pia alishaendesha mabasi ya saibaba kabla ya kuendesha new force & golden deer.

Ukiachana na sifa yake ya kutunza muda kuwafikisha abiria mapema huko kusini pia ni mmoja wa madereva vipaumbele wa kampuni hiyo jamaa yuko vizuri sana ni mtu asie na makuu na ni mtu poa sana nje na ndani ya kazi yake.

Shusha meme nyingine kuhusu mwamba. View attachment 1852209View attachment 1852211View attachment 1852212View attachment 1852213View attachment 1852214View attachment 1852215

View attachment 1852210
Tumelala yooh! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha kudanganya watu newforce alihamia shikilango muda mrefu tu kabla hata sauli hajaleta basi zake enzi ya
Kisbo dar-mbeya, ilasi newforce bado alikuwa anatokea shekilango
Shekilango ya wapi unaizungumzia wewe,wengine pale ndio sehemu zetu za kutupatia ridhki mkuu,Newforce ana muda gani Shekilango mkuu?
Mbona unataka tuanze ligi nyingine kabisa?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwanini Kisbo aliacha route ya Dar-Mbeya kwa muda mfupi. Na route ya Mbeya-Mwanza apeleki gari?
Kisbo,kwa safari ya Mbeya alikuwa na gari moja tu hiyo Bombastic,iende,irudi,leo akimfukuza DFR ya Jaja,kesho anafukuza DJQ ya Linyama.
Ikawa ni mwendo wa ligi tu kumbuka wenzie wanapumzika yeye iende irudi,pumzi ikakata..!
Gari ikarudishwa Dar_Tabora T 101 DAA
MWANZA-MBEYA hapeleki gari.
Na kwa siku za hivi karibuni Kisbo anaanza kupotea taratibu mno kwenye ramani maana gari zake asilimia kubwa ni mbovu mbovu,kwasasa ana kama mbili tu,DCJ (Covid 19_Zamani iliandikwa Kangi Lugola na ile mpya ya Kahama DST ya Babu,rangi kama ya Happy Nation)

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1853511View attachment 1853512View attachment 1853513View attachment 1853514View attachment 1853515View attachment 1853516View attachment 1853517View attachment 1853518
Screenshot_2021-07-14-17-46-29.jpg
 
Back
Top Bottom