cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ila wanakosea dk 10 ni ndogo mno jaman, [emoji23][emoji23][emoji23]Utaendelea kuchelewa kila siku.
Dk 10 zinakaribia kuisha,wewe bado hujashuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanakosea dk 10 ni ndogo mno jaman, [emoji23][emoji23][emoji23]Utaendelea kuchelewa kila siku.
Dk 10 zinakaribia kuisha,wewe bado hujashuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dk zikiongezwa tutafika usiku wa manane tuendako.Ila wanakosea dk 10 ni ndogo mno jaman, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie staki ujue, nacheka km mwehu mweeeh.Unaonea watu aibu eeh hasa ukiwanza tumbo limeshascratch designer[emoji28]
Hapo "Wamba" tunasubiri kusoma mkeka,Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Boda alikula makofi ya mgongo kama farasi au punda![emoji23][emoji23][emoji23] nilkua nawaza vyeti, PC, na fedha unadhan mchezo, ooooh, nkikumbuka PC angu ilitoka 1.2Mil tena nliagiza nje wee, acha nivurugweeeh mie
Hiv dar - tunduma, na Dar - songea mbali wapi?Dk zikiongezwa tutafika usiku wa manane tuendako.
Mm natamani zingekuwa 5 tu,Safari ya Tunduma/Mbeya-Dar ni ndefu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman kumbe wanafanya kusud kutembea pole pole ili wafke mbali wapate pakubwa, nlimchapa kofi 1 hilo, [emoji23][emoji23][emoji23]Boda alikula makofi ya mgongo kama farasi au punda!
Hahahahahah akachanganya gia 😅😅😅Jaman kumbe wanafanya kusud kutembea pole pole ili wafke mbali wapate pakubwa, nlimchapa kofi 1 hilo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Dar-Songea mbali japo tofauti yake ni ndogo tu.Hiv dar - tunduma, na Dar - songea mbali wapi?
Dadeki, wee analeta utani watu akati uhai uko kwenye, pale tupo screpa tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahah akachanganya gia [emoji28][emoji28][emoji28]
Wahuni mnasubiria mpige helaHapo "Wamba" tunasubiri kusoma mkeka,
Uyole-MbeyaView attachment 1852932View attachment 1852933
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wee hapana cc mmmh, songea mbali jaman
Kama kawaida,ngoja nitaipost hapa video baadaeWahuni mnasubiria mpige hela
Kwa kweli songea mbali jaman, yaan nikiwazaga safari ya home had kichwa kinauma, unakaa kwa seat had makalio yanaomba poooh. [emoji23][emoji23][emoji23]Dar-Songea mbali japo tofauti yake ni ndogo tu.
Nadhani hazifiki kilometa 70 zilizozidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wanaenda na muda unakula nini muda wote huo beba lia kwenye gariIla wanakosea dk 10 ni ndogo mno jaman, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji848]Wee hapana cc mmmh, songea mbali jaman
Utaenda Bukoba sasa wewe?Kwa kweli songea mbali jaman, yaan nikiwazaga safari ya home had kichwa kinauma, unakaa kwa seat had makalio yanaomba poooh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Plus kutapika nafika final destination sina hali, na homa juu ya siku 2 kwani. Aaaaah.