EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #181
Huu Uzi unachekesha sana
Ongeza siku za kuishiJamiiforums idumu milele
Aminaaaa!
Ahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Uzi unachekesha sana
Ongeza siku za kuishiJamiiforums idumu milele
Aminaaaa!
Ahahahaha
Ukiona umebanwa,Anza kusimama mapema kabla gari haijapark..ile inasimama tu,unakuwa wa kwanza kushuka ili uwahi foleni chooni.Ile siku nilibanwa na haja cc, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie huwa sishuki hotelin kwa ajiri ya kula, natapika sana tena mno.
Hahahahh kumbe ulienda kupunguza uzito tu 😂😂😂Eti walijua mie ndo nimeshuka pale jumla, [emoji23][emoji23][emoji23]
Tupumzike kwa AMANI
Hahahha kwamba nani atafungua geti la TundumaMitandaoni? Watu wanabet kabisa Kuna ligi kila mkoa basi zinapoenda na kuna magroup ya watsp kabisa
Ndio maisha yanaenda ivo wau hatuna ajira tunaachaje kubet Trafiki wenyewe wanabetia haya magariMitandaoni? Watu wanabet kabisa Kuna ligi kila mkoa basi zinapoenda na kuna magroup ya watsp kabisa
Kuna watu wapo fasta sana sema watoto msipende kushobokea mayai ya kuchemsha na mahindi! MtaumbukaUkiona umebanwa,Anza kusimama mapema kabla gari haijapark..ile inasimama tu,unakuwa wa kwanza kushuka ili uwahi foleni chooni.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilimuambia boda, gari tutaifukuza hata km n dar tutafika tyuuh.Nilijua tu kudadEk maana konda angepiga hela sikuhio [emoji23][emoji23][emoji23] bora ulivyojiwahi nauli ya watu 20 kabisa hio level seat
Mtu uliyekaa naye pia hakuwa muungwana.Eti walijua mie ndo nimeshuka pale jumla, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaaah yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulienda toi ukahisi upo kwenu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee mie swezagi, nikiwa nashka nasubiri wote, mie nakua wa mwsho.Ukiona umebanwa,Anza kusimama mapema kabla gari haijapark..ile inasimama tu,unakuwa wa kwanza kushuka ili uwahi foleni chooni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahha kero kidogo sasa ni huu umaskini tu kwanza i really enjoy drivingKabisaaah yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila usafiri wa mabasi ni kero sometimes
Si ndo hapo sasa shem, [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahh kumbe ulienda kupunguza uzito tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaonea watu aibu eeh hasa ukiwanza tumbo limeshascratch designer😅[emoji23][emoji23][emoji23] wee mie swezagi, nikiwa nashka nasubiri wote, mie nakua wa mwsho.
Hahahahahahah kudadadek[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilimuambia boda, gari tutaifukuza hata km n dar tutafika tyuuh.
Mimi huwa siendi haja kubwa njiani na huwa ninakula sana tu,Kuna watu wapo fasta sana sema watoto msipende kushobokea mayai ya kuchemsha na mahindi! Mtaumbuka
Utaendelea kuchelewa kila siku.[emoji23][emoji23][emoji23] wee mie swezagi, nikiwa nashka nasubiri wote, mie nakua wa mwsho.
[emoji23][emoji23][emoji23] nilkua nawaza vyeti, PC, na fedha unadhan mchezo, ooooh, nkikumbuka PC angu ilitoka 1.2Mil tena nliagiza nje wee, acha nivurugweeeh mieHahahahahahah kudadadek