EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #141
ilikuwaje ukaachwa ni msosi uliknogea au ulikuwa unang'ang;ania namba ya demu 😎 😎😎25 ilinitoka, sitasahau kabisaaa yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwaje ukaachwa ni msosi uliknogea au ulikuwa unang'ang;ania namba ya demu 😎 😎😎25 ilinitoka, sitasahau kabisaaa yaan
Unakuwa kama PIERE LIQUID😎Unashangaa kaitwa kusaini mkataba
oKAYWala hata sisafiri route hiyo, ila huyu km ni yeye bas namfaham nje ya huko.
Sasa mkuu mimi naongelea cummins hayo ya dongfeng umeyasema wewe kwaio unategemea major service kit ya dongfeng itafika $15,000?Kuna Cummins ya marekani alafu kuna dongfeng Cummins ya china hii ndio utopolo pasua kichwa warant 1 year tuu ikimaliza mwaka ni mateso bila chuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Cummins og ya mmarekani warrant ni 5 years mkuu.
Kampuni yao ya Newforce walikuwa exclusive agents wa Zhongtong bus kwa muda mrefu hapa Tz. Now naona kama wameacha uwakala.Kwa Tanzania ilivyo utashangaa jamaa ni balozi wa kampuni ya ZhongTong mda sio mrefu 😂😂😂
Kwenye gari niliacha vitu vyangu vya thaman, afu kwenye boots za ndani ya gari mweeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaikimbizaje gari na boda boda mbali hivyo!? Mi niliikimbiza toka ubungo hadi Kimara Korogwe [emoji23] af mvua ilikuwa inanyesha balaa nikampa 10 jamaa nimeingia nimeloa chapa chapa
HahahahaKwenye gari niliacha vitu vyangu vya thaman, afu kwenye boots za ndani ya gari mweeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, nilienda maliwato nilikua naharisha siku hiyo sasa daaaah, kisanga kikanikuta mweeeeh.ilikuwaje ukaachwa ni msosi uliknogea au ulikuwa unang'ang;ania namba ya demu 😎 😎😎
YesoKAY
KUFIKKA mda ulopangwa na mamlaka haina kushindana. Mamlaka haziwez weka mda usiofikika mpk uongeze spidi kitonga.Kwaiyo sehemu ya kufika saa kumi na mbili ulitaka afike saa nne? Unaota ww?? [emoji16]
Ile siku nilimuambia driver Leo tunaikimbiza gari hadi tuikute, hata km ni dar tutafka tyuuh, na naul ntakupa ya gari kutoka songea had dar,Hahahaha
Hahhahaha boda boda kuikimbiz Youtong ilikuwa mziki mneneIle siku nilimuambia driver Leo tunaikimbiza gari hadi tuikute, hata km ni dar tutafka tyuuh, na naul ntakupa ya gari kutoka songea had dar,
Halafu akawq anajifanya kuendesha pole pole, nilimchapa kofi la mgongoni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akaubutua mwendo wenyewe sasa.
Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER[emoji1662][emoji1662][emoji1662]T712DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI[emoji1631][emoji1631] za DAR -MBEYA - TUNDUMA
Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali
View attachment 1851880View attachment 1851881View attachment 1851884View attachment 1851882View attachment 1851883View attachment 1851885View attachment 1851886View attachment 1851887View attachment 1851888View attachment 1851889
Pole sana mkuu ndio changamoto za usafiri hizo, yaani inamaana lilipita hadi mizani ya Nyololo??[emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, nilienda maliwato nilikua naharisha siku hiyo sasa daaaah, kisanga kikanikuta mweeeeh.
Karibu sana mkuuSubscribed
Hii wiki yake ku-trend na Deer yakeMpeni tuu kichwa....siku akiwamwaga....
Zinaenda wapi mkuu??Natamani sana hii njia angeongezwa kichaa mmoja hivi " COAST LINE"