Piston sio hoja labda naweza kukuelewa kwenye utofauti wa horsepower,rosa 4m inatembea kuliko coaster six 1hz.Sauli scania Ina piston 5 na valve 20 engine scania .Deer engine ni cummin piston 6 valve 24.Deer nyepesi scania nzito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piston sio hoja labda naweza kukuelewa kwenye utofauti wa horsepower,rosa 4m inatembea kuliko coaster six 1hz.Sauli scania Ina piston 5 na valve 20 engine scania .Deer engine ni cummin piston 6 valve 24.Deer nyepesi scania nzito.
Ubora zinao lakini scania inaonekana ni bora zaidi kwa kuonesha ushindani kwa hp yake ya 310 dhidi ya 360 ya cummins na 375 ya weichai ya kichina jaribu kufanya kinyume chake yaani scania iwe na 360hp.Mjomba unajua hio engine ya cummins watu wanaichukulia poa sana ila huyo ni mmarekani halisi hizo engine zipo kwenye magenerator makubwa i.e FGwilson, hata engine za meli zingine ni Cummins Service Kit zake ime Major Service Kit zinafika USD 15,000
Na hapo ubora wa scania unaonekana maana climber(cummins)kazidi piston,valve na horsepower lakini bado scania anachuana kwa karibu na zhongtong.Zhongtong 360 HP vs Scania 310HP
Tena sana maana mara zote wanafika muda mmoja...Hizo Scania sema zinabanwa na Vidhibiti mwendo tu...ila hizo Cummins hazifui dafu hapo japo hp ni 310 ya kwa hizo Gemilang.Na hapo ubora wa scania unaonekana maana climber(cummins)kazidi piston,valve na horsepower lakini bado scania anachuana kwa karibu na zhongtong.
Wanatatu tatizo la mikanda mifupi kwa sasa.Huyu suka ana allergy na seat belt[emoji41]
Naona unampigia promo kama yote. Siku akija kumwaga watu na huo ushindani wenu wa eti kufika mapema ndio mtajua mnajua kumbe hamjuiAnaitwa Waubani linyama AKA (wali nyani) ni dereva wa mabasi ya kampuni ya NEW FORCE & GOLDEN DEEER route ya Dar mbeya tunduma na kwa sasa anaendesha bus no. T712 DPK pia alishaendesha mabasi ya saibaba kabla ya kuendesha new force & golden deer...
Kwaiyo sehemu ya kufika saa kumi na mbili ulitaka afike saa nne? Unaota ww?? [emoji16]Naona unampigia promo kama yote. Siku akija kumwaga watu na huo ushindani wenu wa eti kufika mapema ndio mtajua mnajua kumbe hamjui
Hiyo route mna ushamba sana,yani mpaka leo bado mko na huu upuuzi wa kushabikia gari gani inayokimbia sana?patheticAnakiwasha sana dar mbeya hua kuna ligi gari gan inafika mapema mbeya na dar amet
Mwanzo mwanyilu ndo alikua anatrend sana ila saivi ndo huyu
Huyu jamaa analeta kujifanya mkuu wa Trafiki tanzaniaWewe mwenyewe "Road Master" halafu unajifanya hupendi speed! Kuna road master ananyata?
Hawa ligi zao mwisho wanatofautiana maximum dk20 tu tena ukute mmoja alikuwa na abiria wakushukia njiani na ana mizigo kwenye buti.Tena sana maana mara zote wanafika muda mmoja...Hizo Scania sema zinabanwa na Vidhibiti mwendo tu...ila hizo Cummins hazifui dafu hapo japo hp ni 310 ya kwa hizo Gemilang.
Scania engine inawahi ku attain maximum power compared to Cummins engine ambayo mpaka ifike 360 ni rpm ya juu sana.
Scania 93 280, au 94 230, 260, 310 hizi zote zinaweza kumkalisha mchina na hp 360 zake.
Au umpe bus yenye 113 320, 114 340, F330...mchina hagusi hapo.
Jamaa kapenya hapa salama na mia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1851916View attachment 1851917
Kuna Cummins ya marekani alafu kuna dongfeng Cummins ya china hii ndio utopolo pasua kichwa warant 1 year tuu ikimaliza mwaka ni mateso bila chuki [emoji23][emoji23][emoji23]Mjomba unajua hio engine ya cummins watu wanaichukulia poa sana ila huyo ni mmarekani halisi hizo engine zipo kwenye magenerator makubwa i.e FGwilson, hata engine za meli zingine ni Cummins Service Kit zake ime Major Service Kit zinafika USD 15,000
Mbona mara kibao hapa kibaha [emoji1662][emoji1662][emoji1662] anatangulia kupita wakiwa wanakuja DarSaulo weka mbali na wengine...alibahatidha labda siku hiyo...sauli wako fasta kila kitu, mwendo, umakini na hawapotezi muda...
Ndio basi langu hili.
Tofauti hapo ni kitu kinachoitwa Body to power ratio,Tena sana maana mara zote wanafika muda mmoja...Hizo Scania sema zinabanwa na Vidhibiti mwendo tu...ila hizo Cummins hazifui dafu hapo japo hp ni 310 ya kwa hizo Gemilang.
Scania engine inawahi ku attain maximum power compared to Cummins engine ambayo mpaka ifike 360 ni rpm ya juu sana.
Scania 93 280, au 94 230, 260, 310 hizi zote zinaweza kumkalisha mchina na hp 360 zake.
Au umpe bus yenye 113 320, 114 340, F330...mchina hagusi hapo.
Mwamba...Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER[emoji1662][emoji1662][emoji1662]T712DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI[emoji1631][emoji1631] za DAR -MBEYA - TUNDUMA
Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali
View attachment 1851880View attachment 1851881View attachment 1851884View attachment 1851882View attachment 1851883View attachment 1851885View attachment 1851886View attachment 1851887View attachment 1851888View attachment 1851889
Mkuu Ni Dongfeng Ndo Kaomba Kutengeneza Cummins na Ni Viwango vilevile Vya Us. Ni ushirikiano wa KibiasharaKuna Cummins ya marekani alafu kuna dongfeng Cummins ya china hii ndio utopolo pasua kichwa warant 1 year tuu ikimaliza mwaka ni mateso bila chuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Cummins og ya mmarekani warrant ni 5 years mkuu.