road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Hivi unaweza kuwa na akili timamu akashabikia magari yanayoenda kwa kasi na kuhatarisha maisha!?? Ama kweli ujinga mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsuushambaHawa watoto hawamsumbui huyo mwambaView attachment 1851894
Wewe mwenyewe "Road Master" halafu unajifanya hupendi speed! Kuna road master ananyata?Hivi unaweza kuwa na akili timamu akashabikia magari yanayoenda kwa kasi na kuhatarisha maisha!?? Ama kweli ujinga mzigo
Ni meme tuu huwa haongei ivyo hata sio mcheshi kivile[emoji23][emoji23][emoji23] na je ni kweli huwa anasema hivo kwani? Kuna hii niliona "" anatangaza eti abiriaa breki zimefeli"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ahaaa ok na why yeye ndiye atumike kwa meme na si wengine? Just thinking out loud tu😂Ni meme tuu huwa haongei ivyo hata sio mcheshi kivile
Picha ni za muda wakati anaendesha T227DJQ imetokea tuu.Ahaaa ok na why yeye ndiye atumike kwa meme na si wengine? Just thinking out loud tu[emoji23]
Anakiwasha sana dar mbeya hua kuna ligi gari gan inafika mapema mbeya na dar ametKwanini picha yake ina trend namna hiyo?? Ilikuaje hadi wakamtengenezea MeMe???