Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Hahahaha sawa mkuu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah lol.
 
Swali la ufahamu toka Dar hadi Kitonga kuna milima ningapi??

Toka kitonga hadi Igurusi kuna milima mingapi

Toka hapo hadi Tunduma kuna mipando mingapi


Ili Hoja yako iwe VALID
Tunapozungumzia milima sio lazima iwe miiiingi ila kiuhalisia toka Morogoro kuja Mikumi its almost unapanda tu,toka mikumi pia unapanda panda tu kwa kiwango kikubwa,pia utapanda kitonga then ukitoka Changalawe (Majinja) unapanda kwa kiasi fulani utakaa sawa uwanda wa Makambako,ukitoka pale kuja Mpakani pia unapanda,ukitoka Igawa utapanda pia kwa kiasi fulani kuna vimilima milima vya hapa na pale hadi kuitafuta Mlima Nyoka pale relini kwa Tenende,toka pale unakuja unapanda tena hapo Tazama kuitafuta Uyole>Mbeya hiyo mkuu.
Na ndio maana bajeti ya mafuta kwa njia ya Mbeya inaizidi bajeti ya mafuta ya Mwanza kwenye mabasi.
Ukitoka Dar kwenda Mwanza unapanda Saranda tu na Muhalala pale unainukia Sheli ya Afro Oil Manyoni.
Ukitoka hapo unatambaa na zote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa unatafuta sababu so unataka [emoji1662][emoji1662][emoji1662][emoji1662][emoji1662] ashuke tuuu
 
Hahahahaha ama kweli JF ni full BURUDANI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…