Google.miwani za kuendeshea gari usikuNistue niongeze nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google.miwani za kuendeshea gari usikuNistue niongeze nyingine
Ooooh ouk sawa.Yaaahp uko sawa kiujumla wake.
Ni mafinga hapo panaitwa Changalawe,alipowaweka Majinjah special
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah nimecheka had kupaliwa mweeehKwa wanaoishi Mbezi ya kimara wengi watamfahamu mwamba ..anaishi malamba mawili pia ana wake sita pamoja masuria kumi na mawili
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unayemzungumzia ni don nalimison au nani?😂😂😂Eti mto wami anawamwaga yaani kubebwa na dereva kama huyo afadhali kuwa kwenye ndege ambayo rubani ni Deo Kisandu
Bado [emoji1662][emoji1662][emoji1662] anawakalisha [emoji1631][emoji1631][emoji1631]Shughuli ya DMG siku ikikaa barabarani,Sauli anaijua vizuri hii mashine ya Tunduma.
Ndio maana waliitia chumvi kuua engine hii gari,mchina akafunga kibuyu kipya.
Mkeka wa leo huoView attachment 1856392
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shughuli ya DMG siku ikikaa barabarani,Sauli anaijua vizuri hii mashine ya Tunduma.
Ndio maana waliitia chumvi kuua engine hii gari,mchina akafunga kibuyu kipya.
Mkeka wa leo huoView attachment 1856392
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu tena kama zOooteKumbe rungwe ana scania?
HizoKumbe rungwe ana scania?
Waza positive mdau achana na haya mawazo ya kimasikiniNaona unampigia promo kama yote. Siku akija kumwaga watu na huo ushindani wenu wa eti kufika mapema ndio mtajua mnajua kumbe hamjui
Basi hapo askari wa usalama anajiona jembe balaa.......watu wanachomeana sana humu barabarani yote hii ni roho za kimasikini tu zimetutawalaDah, jamaa nyavuni[emoji2299][emoji2299]View attachment 1856773View attachment 1856772
Ngome boy auHuwezi amini,kuna watu wa kila aina,wapo askari,walimu,madokta,bodaboda uliowasema na kila aina ya watu wenye kupenda mabasi.
Yupo mmoja alikuwa anafanya kazi Hospitali pale Iringa mjini,ikifika mida ya mabasi anaenda Ipogolo kupiga picha na kwasasa alipewa tender ya kuitangaza basi mpya ya Kureed/Hunters ya Dar_Mwanza,alilipwa mkwanja mrefu sana kuliko hata hela ambayo angeweza kuikopa kwa kazi yake
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app