Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Hahahaha mabehewa ya sauli..[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nina Uhakika is ingekuwa Ving'amuzi Coast Line angeshauwa Sana .. Vile vigari bodi Nyembamba Arusha - Kigoma Ni Balaaa... Vinateleza Kama nyoka...
Kuna siku tumetoka Kigoma tukaingia saa tisa na nusu Singida tukapelekwa kituo cha polisi tukaka masaa mawili ndo wakatuachia! Coast line balaaa
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1662][emoji1662]
 
Kuna jamaa mmoja aliwahi kuniambia hp si kigeza cha speed nikamuuliza kwanini 1hz-129hp na 1hd-165hp zikiwa kwenye body sawa mbn 1hd inaizid 1hz?majibu yake hayakuwa yakuridhisha,mwenye utaalamu atupe elimu plse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…