Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Katoka leo anaenda Tunduma apo 11:21 out kashatoka aljazeera toka Dar bado anayaswaga mabehewa ya Sauli


Acha kbsa L360 Cummins [emoji119][emoji119] hii 95 F310 (Sauli) hawezi kufata huu moto

Siku ya 6 hii leo wanavutwa tokea Dar to uyole mbeya [emoji28][emoji28]

Asa Mkuu kuna ile ya ostadhi Rama 711[emoji119]
Hahahaha mabehewa ya sauli..[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Katoka leo anaenda Tunduma apo 11:21 out kashatoka aljazeera toka Dar bado anayaswaga mabehewa ya Sauli


Acha kbsa L360 Cummins [emoji119][emoji119] hii 95 F310 (Sauli) hawezi kufata huu moto

Siku ya 6 hii leo wanavutwa tokea Dar to uyole mbeya [emoji28][emoji28]

Asa Mkuu kuna ile ya ostadhi Rama 711[emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1662][emoji1662]
 
Katoka leo anaenda Tunduma apo 11:21 out kashatoka aljazeera toka Dar bado anayaswaga mabehewa ya Sauli


Acha kbsa L360 Cummins [emoji119][emoji119] hii 95 F310 (Sauli) hawezi kufata huu moto

Siku ya 6 hii leo wanavutwa tokea Dar to uyole mbeya [emoji28][emoji28]

Asa Mkuu kuna ile ya ostadhi Rama 711[emoji119]
Kuna jamaa mmoja aliwahi kuniambia hp si kigeza cha speed nikamuuliza kwanini 1hz-129hp na 1hd-165hp zikiwa kwenye body sawa mbn 1hd inaizid 1hz?majibu yake hayakuwa yakuridhisha,mwenye utaalamu atupe elimu plse.
 
Wadau endeleeni basi kuweka caption za mwamba,hakika hazichoshi.
[emoji851][emoji851]
Screenshot_20210722-094023_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom