Wauguzi walimwambia anawasumbua akajifungua sakafuni, kichanga chafariki

Umeongea kweli yot
Umeongea kweli yote

Uishi Maisha marefu
 
Report ya Dr iliandika Hivyo au mama yako ndo alikuambia.

Unajua issue ya maternal and fetal complications.

Unajua abnormal labour zinazojitokeza mwanamke akiwa Labour.
Mkuu hizo code kama hufungui unatuacha njiani
 
Hospitali ni ya wilaya, nesi anayetuhumiwa kufanya uzembe ni wa hospitali ya wilaya, anayeunda tume ni mganga mkuu wa hospitali ya wilaya....!!! Yaani mtuhumiwa anaunda tume kujichunguza..!! Halafu kabisaa tunangoja majibu ambayo yakiwa mabaya yanaweza yakala kichwa cha muunda tume..!!! AJABU NA KWELI
 
Mkuu naomba kuuliza hivi unaweza kusikia mapigo ya moyo kupitia ultrasound?
 
Ni kuona mkuu sio kusikia
Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.

Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake.

inafikirisha
 
Hela kila kitu ni hela ni Hilo tu kama wolper atapataje shida na anahela ??

Mnasema oh wanawake hawataki kutolewa na watu wakawaida ona Sasa shida ndio hizi unacheza na maisha je angeenda??
Kama ndio mawazo yako haya basi ndowa kwako itakuwa ni fungu la kukosa....ila pia siwezi kukuraumu kwa sababu ndio maisha uliyoyachgua,,chondechonde haya mawazo uliyonayo usiwaambukize wanao wa kike utatengeneza kizazi cha ma single mother.........
 
Haisee kuna majimama yuko pale dodoma kwenye ofisi za baraza la wakunga ni shida...mbaya zaidi elimu zao ni ndogo na mengi yamepata zile nafasi kwa kubebwa
 
Kama ndio mawazo yako haya basi ndowa kwako itakuwa ni fungu la kukosa....ila pia siwezi kukuraumu kwa sababu ndio maisha uliyoyachgua,,chondechonde haya mawazo uliyonayo usiwaambukize wanao wa kike utatengeneza kizazi cha ma single mother.........
Mungu aliyehai atadili nawewe nahutokaa kuongea huo ujinga Tena
 
Hebu tupee kidogo bibie. Halafu most wa kg 5 wanazaliwa wana kisukari
 
Haisee kuna majimama yuko pale dodoma kwenye ofisi za baraza la wakunga ni shida...mbaya zaidi elimu zao ni ndogo na mengi yamepata zile nafasi kwa kubebwa
Yanajiona Yamemaliza maisha...

Na ndo Yanafanya hii kada ionekane utumbo.
 
Mkuu naomba kuuliza hivi unaweza kusikia mapigo ya moyo kupitia ultrasound?
Kwenye ultrasound unaona ila ukipima local itabidi usikilize kwa kutumia kifaa maalum unachoweka tumboni mwa mama mjamzito kinaitwa Fetal scope.

So kama Unasikia mapigo ya mtoto chini ya 120b/min unaweza kugundua ni Dalali ya mbaya inayoashiria mapigo ya mtoto yako chini sana so mara zote huyu mama ataishia Ceaserean section...au kama Yuko stage ya Pili ya Labour unaweza kumzalisha ila lazima uandae Resuscitation machine mapema maana Anaweza kuzaliwa na Shida ya upumuaji
 
Unajua shida mtu anakimbilia kulalamika ..

Mimi nishawahi kuzalisha mtu sakafuni ni circumstances zinatokea bila kuplain yaani mwanamke amekuja labour namwambia apande kitandani kwa ajili ya kumpima suddenly nakuta mtoto anaanguka chini shukuru Mungu Akuanguka nilimdaka maana nilikuwa tayari nina Gloves
 
Pole sana kwa huyo dada.

Ila kuna saa wanakuwaga sana na kauzembe hao manesi.
 
Hatari sana
 
Huyo wa kilo tano ilikuwaje mkuu
 
Abnormal labour ni zipi mkuu?
 
Kwa maelezo hayo mtoto alifia tumboni 90% japo ngoja tusubir uchunguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…