Wauguzi walimwambia anawasumbua akajifungua sakafuni, kichanga chafariki

Wauguzi walimwambia anawasumbua akajifungua sakafuni, kichanga chafariki

Chanzo zaidi huwa nini mtoto kufia tumboni? Na je mama anaweza kujua kua mtoto kafa tumbon? I.mean zile movements za mtoto
Yes, mtoto asipocheza within 8 hours tu unatakiwa uende hospitali haraka..

Vyanzo vya watoto kufia tumboni ni vingi tuu ikiwemo kasoro za kimwili za kichanga, damu kubadili mkondo kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama (feto-maternal hemorrhage), maambukizi ya kichanga,ugonjwa wa maumbile ya kichanga, maambukizi ya mama, placenta iliyotenganishwa na ukuta wa ndani wa uterasi nk.
 
Hii kada imevamiwa na watu wenye tamaa wakidhani Kuna tofauti kubwa na kada nyingine shida inaanzia hapo wakikuta walivyo dhani sio
 
Kuna wauguzi wenye roho mbaya, sijui ni kwa nini wanampa cheti mtu wa namna hiyo. Maelezo yanasikitisha, ona mtoto alivyoanguka kwenye sakafu. Ni unyama uliopitiliza. Wachukuliwe hatua kali.
 
Aisee ziko nyingi sana nakutajia baadhi.

Multiple pregnancy
Placenta preavia
Placenta abruption
Malpresentation
Fetal Distress and maternal
Previous scar
Opp
Transverse lie.
Obstructed labour.
Prolonged labous
Mismanagement of second stage of labour
Mismanagement of Third stage of labour.
Eclamsia.
PPH
Cervical Tear.
Shoulder dystocia



Hizi kuna zinaonekana kabisa kuanzia wiki ya 37..na nyingi zinakuja kujitokeza mwanamke akiwa labour.

Hivyo ukiona mwanamke amefanyiwa operations lazima iwepo indication hakuna mtu atafanyia procedure bila sababu ila mara zote uwa ni Emergency
Hii cervical tear ni kuchanika msamba?

Naomba unieleweshe kwenye hizo mismanagement
 
Kwa hii case ya huyu ni wazi mtoto alikua ameshafariki akiwa tumboni, lakini, hakuna watu wapumbavu kama manesi wa hospitali na zahanati za umma. Huwa wana wa mistreat sana wanawake wenzao wajawazito na matusi juu. Wawe manurse vijana au watu wazima wote ovyo, wana matusi na kuwafanyia ushenzi wajawazito.
Hivi sababu ni nini hasa?
 
Wengi wanauwa kwa sababu wanaowauwa hawawezi kujitetea na hata wakishtukiwa vichanga havisemi maskini

Na wengine wanaingia hii kazi wakijua wana roho mbaya na wanakuja kuonyesha roho zao mbaya

Kuna majala ujisomee utaona mengi ndani yake mpaka unaogopa kuhusu hawa viumbe

Na pia unaweza kumjua mbaya kwa kuwafuatilia kidogo sana maana wa kwetu wanaonyesha wazi roho zao mbaya
Tofauti na wenzetu
Wengi wanauwa na hawajulikani mpaka kushtukiwa kwenye kitengo na kuonekana mbona kwake tu wanakufa?

Hapo ndio wanaanza kuwafuatilia hata Doctors wapo wauwaji na wanauwa sana pia View attachment 2413720View attachment 2413721
Ni evil spiritual au?
 
Yes, mtoto asipocheza within 8 hours tu unatakiwa uende hospitali haraka..

Vyanzo vya watoto kufia tumboni ni vingi tuu ikiwemo kasoro za kimwili za kichanga, damu kubadili mkondo kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama (feto-maternal hemorrhage), maambukizi ya kichanga,ugonjwa wa maumbile ya kichanga, maambukizi ya mama, placenta iliyotenganishwa na ukuta wa ndani wa uterasi nk.
Duuh [emoji24][emoji24]so many complications
 
Ni hospital Fulani hapa mbeya nilienda nikiwa na uchungu,nilipofika walinipeleka leba kule walinilaza kitandani kama kawa ili wanihudumie lakini uchungu ukakata ghafla,so ukawa unakuja unakata...pembeni yangu alikuwepo mwanamke Mwingine,nae akawa anasema uchungu unakuja kas unakata...lakini alikuwa ni MTU amechoka sana nadhani kwa sababu alikaa sana mule ndani....sasa si unajua tena hospitali za serikali tunaokwenda ni wengi....ivo vitanda vikafull wakaanza kulaza watu wawili wawili huko kwenye wodi la kujisubiria,so MTU uchungu ukikolea waingizwa leba...sasa kuna dada uchungu ulimfika akaingizwa mule tulimokuwa,kwa sababu tumejaa wakaanza kuwashusha wale waliokaa leba kwa muda mrefu ili wapande wengine wenye uchungu wa chap,yakamkuta jirani yangu,muda huo uchungu umemkolea na akawaambia anajisikia kunya lakini hawakumsikiliza,wakawa wanajisemesha eti.."huyu tunae tangu asubuhi" yule Dada akawa anashuka chini yaan kile kitendo cha kuanza kushusha mguu mmoja utue chini... Maji pwaa,mtoto ndii....wakaanza kuhudumia hapohapo chini but it was too late...kidume alikata moto.Nililia kama mtoto yatima aliyenyimwa chakula na bado huwa naumia. witnessj
Bad experience. Dah pole na pole kwa huyo mama jamani inauma sana kukosa mtoto wakati angezaliwa vzr tuu
 
Hai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.

Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.

Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.

“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.

Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.

Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.

Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”

Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”

Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.

“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”

“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”

Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.

Mwananchi
Hospital za serikali hizi hazifai kabisa. Mke wa kaka angu na yeye mtoto ake alifariki hivo hivo yeye alitereza akadondokea ndoo ya maji machafu, nesi akamwambia deki mpumbavu ww akadeki.
Akamuomba nesi apande kitandani nesi akamwambia em nitoleee ujinga basi mim. Yule dada akaenda kupanda kitanda kibovu akadondoka nacho..
Ile kusimama tu anaomba msahada nesi amsaidie apande kitandani nesi hata ageuzi shingo kumuangalia mtoto akadondoka akavunjika shingo.
Nesi akaja akaanza kusema unaona umeua mtoto ako mwenyewe. Yule dada alilia eeeeh akuweza hata kuongea yule nesi akampa kitanda akamuacha na maiti ya mtoto wake usiku mzima.

Kesho yake kesi ikawa kesi
 
Hospital za serikali hizi hazifai kabisa. Mke wa kaka angu na yeye mtoto ake alifariki hivo hivo yeye alitereza akadondokea ndoo ya maji machafu, nesi akamwambia deki mpumbavu ww akadeki.
Akamuomba nesi apande kitandani nesi akamwambia em nitoleee ujinga basi mim. Yule dada akaenda kupanda kitanda kibovu akadondoka nacho..
Ile kusimama tu mtoto analia anaomba msahada nesi amsaidie apande kitandani nesi hata ageuzi shingo kumuangalia mtoto akadondoka akavunjika shingo.
Nesi akaja akaanza kusema unaona umeua mtoto ako mwenyewe. Yule dada alilia eeeeh akuweza hata kuongea yule nesi akampa kitanda akamuacha na maiti ya mtoto wake usiku mzima.

Kesho yake kesi ikawa kesi
Ni Tanzania au?🙌 mie nadhan.labor wangeruhusiwa kuingia na waume zao ujinga ujinga ungepungua..maana wangekatwa kelebu za kutosha na waume zao
 
Ni Tanzania au?🙌 mie nadhan.labor wangeruhusiwa kuingia na waume zao ujinga ujinga ungepungua..maana wangekatwa kelebu za kutosha na waume zao
Ni hapa hapa TZ kwanza hyo hospital niliwai enda muona mtu kajifungua yani ni chafu sijawai ona aiseh. Alaf kitanda kimoja wazazi wawili na watoto wao hapo uchague kulaza mtoto au kulala ww.
 
Hai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.

Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.

Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.

“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.

Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.

Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.

Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”

Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”

Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.

“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”

“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”

Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.

Mwananchi
Zamani wakunga walifanya kazi ya kuzalisha akina mama kwa mafanikio makubwa na hizi aibu ilikuwa nadra kuzisikia.
 
Hai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.

Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.

Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.

“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.

Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.

Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.

Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”

Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”

Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.

“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”

“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”

Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.

Mwananchi
Hawa manesi oldschool, bado hawa wapenda insta wanaomalizia huku semester zao.
 
Kwani kakosea nini? (kuna lipi baya alilozungumza kuhusu huyo mama?)

Mbona mimi naona kama kaenda kujipanga kuwasema vibaya hao manesi au wewe mwenzetu umeelewaje?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ukimsoma vizur utagundua kwamba amemaanisha hao manesi huenda Wana maslahi madogo hivyo hawez kuwalaumu Sana kwa hicho walichkifanya.
 
Kwa hii case ya huyu ni wazi mtoto alikua ameshafariki akiwa tumboni, lakini, hakuna watu wapumbavu kama manesi wa hospitali na zahanati za umma. Huwa wana wa mistreat sana wanawake wenzao wajawazito na matusi juu. Wawe manurse vijana au watu wazima wote ovyo, wana matusi na kuwafanyia ushenzi wajawazito.
Inaelekea ni hivyo mkuu, manesi mara nyingi sana wanaponzwa na kauli zao na kwenye hilo hawajifunzi, very poor customer care and unnecessary arguments na wagonjwa, sijui kwa vile wengi wao ni wanawake bse wanawake wenyewe kwa wenyewe huwa wanazinguana katika hali ya kawaida. Ukishamjibu mama mjamzito vibaya then yakatokea hayo lazima moto uwake. Kitu kingine ni ishu ya DENIAL, incase mtoto amefariki kwa mama ni ngumu kuadmitt kwamba amechangia chochote may be hakutoa ushirikiano inavyostahili so atatafuta loophole yoyote iliyojitokeza lawama ziende kwa manesi na hapo unakuta mtu ameshaongea utumbo wake kwa mgonjwa.
 
Daah nimesoma hii habar mpaka mwili umenisisimka Kuna baadhi YA manesi Ni mashetan Ila wako kwenye umbo la binadamu.Imagine dada wa watu kateseka na mimba miez 9 alafu anakuja kupoteza mtoto kizembe namna hiyo.

Hili litapita kama mengine tu na wala hakuna hatua yoyote itachukuliwa maana nchi haieleweki iko kwenye muelekeo upi kila mtu Ni bosi kwa nafasi yake hakuna uwajibikaji kabisa.
Manesi hua wanateteana sana...!!!hao watahamishwa tu wanapelekwa vijijini hukooo baasi hakuna kufukuzwa
 
Back
Top Bottom