Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
...Waishaanza kulindana! Eti Ammeunda tume kufanya Uchunguzi!Fukuza wauguzi wote walioko wilaya hai
Hebu tupee kidogo bibie. Halafu most wa kg 5 wanazaliwa wana kisukari
Ni hospital Fulani hapa mbeya nilienda nikiwa na uchungu,nilipofika walinipeleka leba kule walinilaza kitandani kama kawa ili wanihudumie lakini uchungu ukakata ghafla,so ukawa unakuja unakata...pembeni yangu alikuwepo mwanamke Mwingine,nae akawa anasema uchungu unakuja kas unakata...lakini alikuwa ni MTU amechoka sana nadhani kwa sababu alikaa sana mule ndani....sasa si unajua tena hospitali za serikali tunaokwenda ni wengi....ivo vitanda vikafull wakaanza kulaza watu wawili wawili huko kwenye wodi la kujisubiria,so MTU uchungu ukikolea waingizwa leba...sasa kuna dada uchungu ulimfika akaingizwa mule tulimokuwa,kwa sababu tumejaa wakaanza kuwashusha wale waliokaa leba kwa muda mrefu ili wapande wengine wenye uchungu wa chap,yakamkuta jirani yangu,muda huo uchungu umemkolea na akawaambia anajisikia kunya lakini hawakumsikiliza,wakawa wanajisemesha eti.."huyu tunae tangu asubuhi" yule Dada akawa anashuka chini yaan kile kitendo cha kuanza kushusha mguu mmoja utue chini... Maji pwaa,mtoto ndii....wakaanza kuhudumia hapohapo chini but it was too late...kidume alikata moto.Nililia kama mtoto yatima aliyenyimwa chakula na bado huwa naumia. witnessjHebu tupee kidogo bibie. Halafu most wa kg 5 wanazaliwa wana kisukari
Ni kwanini Wana maroho hayo sasa?Hakuna watu wenye roho mbaya kama manesi kila mahali duniani,
Wengi wao wamevuka ubinadamu na kuwa wanyama tena wala nyama
Huku [emoji636] kuna mwanamke nurse aliuwa vichanga 7 na wengine 10 aliokusudia kuwauwa
Tena anasema I am evil bila huruma
Kuna mama alijifungua mapacha alienda kufanyiwa vipimo kurudi anamkuta anamuuwa mwanae mmoja wa siku 5
Alipiga kelele akaambiwa Trust me I am a nurse
Kuna nurses wengi wauwaji halafu mtu anauwa mke badala ya hawa washenzi wanaostahili shaba
Huwa nikiona nesi ana bully mgonjwa huwa anaipata kwangu sina huruma kwa wenye roho mbaya kama hawa
Hata kama mnachoka ila sio kwa ukatili huu
Shame on you guys
Hawa ni zaidi ya sheitani View attachment 2413699
Mungu wangu duuuh[emoji24][emoji24]...I feel pityd daaah!Ni hospital Fulani hapa mbeya nilienda nikiwa na uchungu,nilipofika walinipeleka leba kule walinilaza kitandani kama kawa ili wanihudumie lakini uchungu ukakata ghafla,so ukawa unakuja unakata...pembeni yangu alikuwepo mwanamke Mwingine,nae akawa anasema uchungu unakuja kas unakata...lakini alikuwa ni MTU amechoka sana nadhani kwa sababu alikaa sana mule ndani....sasa si unajua tena hospitali za serikali tunaokwenda ni wengi....ivo vitanda vikafull wakaanza kulaza watu wawili wawili huko kwenye wodi la kujisubiria,so MTU uchungu ukikolea waingizwa leba...sasa kuna dada uchungu ulimfika akaingizwa mule tulimokuwa,kwa sababu tumejaa wakaanza kuwashusha wale waliokaa leba kwa muda mrefu ili wapande wengine wenye uchungu wa chap,yakamkuta jirani yangu,muda huo uchungu umemkolea na akawaambia anajisikia kunya lakini hawakumsikiliza,wakawa wanajisemesha eti.."huyu tunae tangu asubuhi" yule Dada akawa anashuka chini yaan kile kitendo cha kuanza kushusha mguu mmoja utue chini... Maji pwaa,mtoto ndii....wakaanza kuhudumia hapohapo chini but it was too late...kidume alikata moto.Nililia kama mtoto yatima aliyenyimwa chakula na bado huwa naumia. witnessj
Kwani kakosea nini? (kuna lipi baya alilozungumza kuhusu huyo mama?)Comment ya ovyo sana hii emu jaribu kuvaa viatu vya huyo mama alafu ndio ungekuwa mume wake na huyo mtoto ndio mlikuwa mnamtarajia kwa hamu ungeandika hivi kweli?
Sasa kama mtu amekuja Labour akiwa na Previous scar kiukweli hapo ilibidi aende Ceaserean section nahisi pia walikuwa indication nyingine iliyowafanya wakimbilie Kutaka kumfanyia Hivyo.Walimwambia tu samahani,mtoto ametushinda.....yeye ni C-section....alipojisikia uchungu akakimbilia hospital njian alijisikia kupush,lakini Mwenyezi Mungu alimfikisha hospital salama,wauuguz wakampokea ingali anaendelea kupiga kelele kuwa anataka kupush,kumwingiza leba nesi mmoja akasema huyu ni C-section akapasuliwe nadhani baada ya kuona ule mshono....wakaleta kitanda chao apelekwe chumba husika ...kile kitendo cha kunyanyua mguu apande mtoto akazaliwa na kudondoka chini kwa kuangukia kichwa(mwisho wa siku wakaishia kusema sema "samahani mtoto ametushinda).....ukitaka kisa kingine nikuhadithie nilichoshuhudia mtoto wa kilo 5 alivyokufa mbele ya macho yangu kwa uzembe wa manesi wakati nikijisubiria leba(usiwe mkali tu,kila sekta haikosi watu wazembe ndugu)
Hai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.
Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.
Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.
“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.
Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.
Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.
Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”
Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”
Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.
“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”
“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”
Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.
Mwananchi
Kuna baadhi ya manesi wana roho mbaya sana majungu wao unafiki wao,umbea waoHai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.
Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.
Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.
“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.
Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.
Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.
Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”
Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”
Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.
“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”
“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”
Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.
Mwananchi
Utashangaa wanatolewa hapo wanahamishiwa pengine ili waendelee kuua watoto wengine.Hai. Mkazi wa Wilaya ya Hai, Happiness Massawe (39), amegoma kuchukua mwili wa kichanga hospitalini kwa wiki moja akidai kifo cha mtoto wake kimetokana na uzembe wa baadhi ya wauguzi.
Happiness, aliyejifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro alisema Oktoba 31 mwaka huu alipohisi dalili za uchungu alikwenda hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua na alipofika alipokewa na wauguzi.
Hata hivyo, alisema alipopata uchungu hakupewa ushirikiano badala yake alijifungulia sakafuni.
Juzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Itikija Msuya alithibitisha kuwapo kwa tukio hilo akisema ameunda kamati ya kuchunguza ili kubaini kilichotokea siku hiyo.
“Kwa taarifa nilizopewa mtoto alizaliwa zero beating (akiwa amekufa) japo kuna dalili za uzembe ulifanywa na watoa huduma. Nimeunda kamati kuchunguza na watakaobainika hatua za kisheria zitachukuliwa,” alisema Dk Msuya.
Akizungumzia hali ilivyokuwa, Happiness alisema baada ya kupokewa hospitalini hapo alifanyiwa vipimo vyote ikiwamo ultra sound na kuambiwa itabidi alazwe asubiri wiki moja iishe kama hatojifungua kawaida, basi atafanyiwa upasuaji.
Hata hivyo, alisema Novemba 2 mwaka huu hali ilipobadilika alitoa taarifa kwa muuguzi aliyekuwa zamu, alimpima na kumjibu hasikii mapigo ya moyo ya mtoto na kumpeleka kwenye chumba cha ultra sound tena.
“Tulipofika huko yule muuguzi alimwambia mwenzake nisaidie kumpima huyu mama kwa kuwa sisikii mapigo ya mtoto na ana dalili za kujifungua. Akamjibu mnasumbua; huyu jana si alikuja hapa na nilimpima,” alisimulia Happiness.
Alidai muuguzi aliyempeleka akamwambia, “wewe mpime nataka uhakika, ndio yule muuguzi akanipima huku akisema mnasumbua. Akamuita (muuguzi) njoo usikilize si mtoto anacheza na unasikia mapigo yake. Yule (muuguzi) niliyeenda naye akaniambia nifanye mazoezi ya kutembea, nikawa nafanya hivyo, baadaye hali ikabadilika damu zikawa zinatoka mabongebonge huku nikiwa na uchungu mkali.”
Alisema alipoona hali hiyo alikwenda chumba cha kujifungulia na kumwambia muuguzi aliyekuwepo kuwa anasikia kusukuma mtoto na anatokwa damu nyingi. “Yule muuguzi alinijibu umeweka pamba usije chafua kitanda, nikamwambia ndio nimeweka pamba lakini akaniambia niache kusumbua niendelee kutembea.”
Alisema wakati anarudi wodini kwenye kitanda alichokuwa amelala alishindwa kutembea na kumlazimu kukaa chini huku akiomba msaada kwa kuwa alikuwa akisikia dalili zote za mtoto kutoka na damu ziliendelea kumtoka.
“Manesi walikuja wakaanza kuniambia sukuma huku nikiwa chini sakafuni, nilijitahidi lakini nikawa nasikia nguvu zinaniishia, mmoja wa wauguzi akawa anamwambia mwenzake pokea mtoto si unaona kichwa kile pale.
“Mwenzake akamjibu hapana huyu hasukumi napokea nini? Nikiwa nimelala pale chini wao wako kwa pembeni wananiangalia huku wakiniambia sukuma kwa zaidi ya nusu saa nikajitahidi mtoto akatoka akaanguka chini ndipo wakamnyanyua na kuniwekea kifuani huku wakiniambia niheme kwa kuwa mtoto hakulia alivyotoka ila alianguka chini sakafuni.”
“Baada ya dakika tano bado nikiwa chini sakafuni wakaenda kumuita daktari, huku wanaendelea kumkagua yule mtoto baada daktari kuja ndio akawambia wanitoe pale chini ndipo wakaniweka kitandani na kuanza kunifanyia usafi.”
Mwanamke huyo aliiomba Serikali kuwachukulia hatua wauguzi hao akidai kifo cha mwanaye ni uzembe wa wakunga na angepewa msaada wangeokoa mtoto huyo.
Mwananchi
Aisee ziko nyingi sana nakutajia baadhi.Abnormal labour ni zipi mkuu?
Sawa mkuuSasa kama mtu amekuja Labour akiwa na Previous scar kiukweli hapo ilibidi aende Ceaserean section nahisi pia walikuwa indication nyingine iliyowafanya wakimbilie Kutaka kumfanyia Hivyo.
Maana Kuanguka Kwa mtoto ni Unplanned So hakuna nurse amepanga hilo litokee.
Tena Trial of labour kwa mwanamke aliyefanyiwa operations mwanzo inafanyika nowadays zamani moja kwa mona ilikuwa kisu.
Wengi wanauwa kwa sababu wanaowauwa hawawezi kujitetea na hata wakishtukiwa vichanga havisemi maskiniNi kwanini Wana maroho hayo sasa?
Chanzo zaidi huwa nini mtoto kufia tumboni? Na je mama anaweza kujua kua mtoto kafa tumbon? I.mean zile movements za mtotoYes, umejuaje?[emoji3]
Unaposikiliza mapigo ya mtoto unasikia na ya mama pia, hivyo inapaswa uwe makini kudifferentiate.
Mtoto alikuwa kashafia tumboni, ndiyo maana hakulia.