Waumini 15 wa Kanisa Katoliki Nchini Burkina Faso wauawa katika shambulio la kigaidi

Waumini 15 wa Kanisa Katoliki Nchini Burkina Faso wauawa katika shambulio la kigaidi

M

ashoga mengi Tanzania ni waislam
Wanaofirwa wengi hapa bongo wanawake ni waislam
Waislam wa Kibiti walitaka kuanzisha ugaidi yakawakuta yaliyowakuta wakahamia msumbiji
Inabidi ujitoe akili kuitetea dini ya munyazi
Una uhakika na unalozungumza!?
Arusha ndio mkoa unaoongoza kuwa na idadi kubwa ya mashoga Tanzania bara na idadi ya kule wengi wakristo.
Nimetembea sana nchi hii SASA HIVI WADADA WANAOPENDA KUFIRWA KAMA WACHAGA WA ROMBO,SIHA,MARANGU,WAMERU NA WAARUSHA.
Na hayo makabila sana sana ni wakristu.
Kama ulikaa ukashikilia Zanzibar umefeli,kule watu wanaelimika na kujielewa.
Pia uislam UMEKATAZA USHOGA,mtu akifanya hiko kitu ni yeye ila uislam haumtambui.
Ila wakristo viongozi wenu wa Anglican wameanza kuruhusu ndoa za jinsia moja.
Nchi za kiislam ukikamatwa shoga unafanyiwa excution.
HIVYO KATIKA UISLAM USHOGA NI HURKA YA MTU HAIHUSIANI NA DINI,BIMAANA DINI IMEKATAZA.
Unaweza ukanitajia nchi ya kikristu inayoadhibu mashoga na wasagaji kama Iran?
Jibu hapana huwezi pata.
Hao wa Kibiti wamefanya mambo kwa utashi wao UISLAM HAUHUSIKI MAANA HAUJAAGIZA HAYO MAMBO.
Utapata tabu sana kuusema uislam.
 
Kwahiyo gaidi asiyeutumia uislam kama Kongo ni wao bila kushinikizwa na mataifa mengine??

Kuna loophole gani huko kwenye uislam mpaka USA wawatumie kufanya ugaidi?
Kwanza katika migogoro inayohusishwa uislam umeifuatilia!?
 
Ni waislam, ni magaidi ya kiislam.

Yanaua watu ili kueneza dini yao, bado hawajabadilika kuendana na zama hizi, bado wanaamini kueneza dini kwa upanga.

Bado njoo huku Msumbiji, achana na hapo nenda pale Sudani kote huko ni majuha yasioelewa vema dini ya kiislam yanaua wenzao.

Juha mwenzao ambae ni wewe unayakana kwa kusema sio maislam kisa yanafanya maasi.

Wafundishe wanao dini vizuri wasijeangukia kua magaidi na kuua/kuchukia watu wa dini tofauti na yake.
We MSENGE usiniite mimi juha.
Kule juu niliuliza BAHRAIN,UAE,KUWAIT,QATAR,MALAYSIA,INDONESIA kote huko ni nchi za kiislam mbona husikii mauaji!?
HAO KWA MUJIBU WA SHERIA ZA DINI YA KIISLAM HAO SIO WAISLAM.
MIMI NINAJUA KULIKO WEWE MBWA JIKE MAANA NIMEISOMA HII DINI NA NAJUA SHERIA ZAKE.
KATIKA UISLAM HAKUNA KULAZIMISHA MTU DINI.
Kuhusu Sudan nilishaleta article vita za kule za madaraka kati ya jeshi la RSF na jeshi la RAF.
Au hujui kusoma!?
Uislam una sheria zake na taratibu zake ukizikiuka tu kama hao uliowataja basi wewe sio muislam tena.
Huujui uislam hivyo tulizu puru hilo.
Screenshot_2024-05-24-17-11-22-91_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
Unaishi na waislam Tanzania,je umewahi kufanyiwa vurugu!?
Naona ukristo UNAOBARIKI UFIRANAJI NAO NI BARAKA YA DUNIA.
Usipende kuhusisha tatizo la baadhi ya watu na dini nzima.
Uislam hauruhusu hicho wanachofanya hao.
Usitizame nini mtu kafanya bali tizama nini uislam unasema na unataka.
Mbona UAE,QATAR,BAHRAIN,KUWAIT hao wahindi wanaenda kufanya kazi na wanahudumiwa na kulipwa vizuri!?
Mbona kina Ronaldo wako Saudi Arabia na wanaishi kwa uhuru.
Msenge kabisa wewe.
Kwa hiyo uislam ndio hivyo unavyo wafundisha kutukana watu.
 
We MSENGE usiniite mimi juha.
Kule juu niliuliza BAHRAIN,UAE,KUWAIT,QATAR,MALAYSIA,INDONESIA kote huko ni nchi za kiislam mbona husikii mauaji!?
HAO KWA MUJIBU WA SHERIA ZA DINI YA KIISLAM HAO SIO WAISLAM.
MIMI NINAJUA KULIKO WEWE MBWA JIKE MAANA NIMEISOMA HII DINI NA NAJUA SHERIA ZAKE.
KATIKA UISLAM HAKUNA KULAZIMISHA MTU DINI.
Kuhusu Sudan nilishaleta article vita za kule za madaraka kati ya jeshi la RSF na jeshi la RAF.
Au hujui kusoma!?
Uislam una sheria zake na taratibu zake ukizikiuka tu kama hao uliowataja basi wewe sio muislam tena.
Huujui uislam hivyo tulizu puru hilo.View attachment 2999257
Unawakama kisa ni magaidi eeeh.

Unajua maana ya juha? Ukiijua wala hutokasirika nikuita juha mkuu maana unastahili hilo.

Wale ni ndgu zenu katika imani kama walivyo Hamas. Na wao wanakitumia kitabu hichohicho na wanamtaja Mungu Allah huyo huyo, utawakataaje sasa? Au kuna Allah wangapi??
 
Makundi ya kigaidi yamekosesha watu raha na yamenyanganya uhai wa watu wasio na hatia.Mungu mwenyewe anajua malipo yao.
 
Kutenda kwao dhambi hakuuondoi ukristo wao, bado ni wakristo wanachopaswa ni kutubu.

Unaandika kwa jazba mpaka hueleweki unachokiandika, shusha pumzi kisha andika kwa tuo.

Kwahiyo mtu akivunja hizo sheria zenu anakua sio muislam? Anakua kajitoa ?
Na vipi yale magaidi ya uni Nigeria yanayoteka wanafunzi na kuua watu hovyo.

Kubali kataa hao ni ndgu zako katika imani, ila mna mapokeo tofauti. Ni kama huo mfano wa baadhi ya madhehebu ya kikristo kufungisha ndoa mashoga, ni wakristo na wanatambulika hivyo ila wao wana mapokeo tofauti na wakristo wengine.

Hizo sheria zinatumika kwako wewe unaeamini hivyo uaminivyo na sio kwa waislam wenzio ambao ni magaidi.
Naeleweka nachokiandika ila wewe unayesoma UNA KICHWA KIGUMU.
Uislam hauna madhehebu kama ukristu na hauna MAPOKEO TOFAUTI,Uislam una mapokeo mamoja kwaajili ya waislam wote.
UISLAM UNA SHERIA MOJA NA UNA HUKUMU MOJA KWA WAISLAM WOTE.
Ambavyo vinatokana na Qur'an na sunnah.
Na atakayekiuka basi sio katika sisi ima atubu na kutamka shahada tena ikibidi.
Kuna makosa ya kutubu kwa Mungu ingali bado muislam na kuna makosa ya kuukufuru uislam kiasi unatoka katika uislam na sharti ili urudi utamke shahada upya na utubu baada ya kutamka shahada upya.
Na miongoni mwa hayo makosa ni kudhulumu nafsi ya mtu pasi na sababu(kuua),uislam umekemea ugaidi na hauukubali ugaidi.
Sasa wewe sijui kipi unabisha!?
Nilichokisema ni sheria ya uislam ilokuwepo toka kuanza kwa uislam.
Sio matakwa yangu wala sio itikadi yangu binafsi.

Una kichwa kigumu sana aisee.

Usipoelewa hapa naku block,maana mimi hupenda majadiliano sipendi mabishano yasiyo na tija.
 
Nchi ikijaa wakristo, waislam hupewa haki zao za kiimani

Nchi hio hio ikishajaa waislam, wakristo wanaanza kukandamizwa na kushambuliwa..

NI tatizo kubwa San Hili, lack of religious tolerance
Ni ngumu sana muislam kukubali kwamba ana matatizo kichwani,ila ni jambo rahisi sana kuyaona matatizo yake ukikaa naye karibu.

Huko europe wamewapokea wakitumia kanuni ile ile ya usamalia,saa hizi wanajuta.majamaa yanazaana kama kunguni na ni mwendo wa kuvuruga utaratibu,yanasali mpaka barabarani.

Wasipobadili sheria zao haraka juu ya hilo la wahamiaji,miaka 20 mingine wametiwa kidole jumla.
 
Naeleweka nachokiandika ila wewe unayesoma UNA KICHWA KIGUMU.
Uislam hauna madhehebu kama ukristu na hauna MAPOKEO TOFAUTI,Uislam una mapokeo mamoja kwaajili ya waislam wote.
UISLAM UNA SHERIA MOJA NA UNA HUKUMU MOJA KWA WAISLAM WOTE.
Ambavyo vinatokana na Qur'an na sunnah.
Na atakayekiuka basi sio katika sisi ima atubu na kutamka shahada tena ikibidi.
Kuna makosa ya kutubu kwa Mungu ingali bado muislam na kuna makosa ya kuukufuru uislam kiasi unatoka katika uislam na sharti ili urudi utamke shahada upya na utubu baada ya kutamka shahada upya.
Na miongoni mwa hayo makosa ni kudhulumu nafsi ya mtu pasi na sababu(kuua),uislam umekemea ugaidi na hauukubali ugaidi.
Sasa wewe sijui kipi unabisha!?
Nilichokisema ni sheria ya uislam ilokuwepo toka kuanza kwa uislam.
Sio matakwa yangu wala sio itikadi yangu binafsi.

Una kichwa kigumu sana aisee.

Usipoelewa hapa naku block,maana mimi hupenda majadiliano sipendi mabishano yasiyo na tija.
UIslam haujakataa kuua,infact umeruhusu kuua kama tu kulipa kisasi.

Gaidi yeyote anaua kwa sababu anadai pia ameuliwa nduguze ama jamaa zake.
 
UIslam haujakataa kuua,infact umeruhusu kuua kama tu kulipa kisasi.

Gaidi yeyote anaua kwa sababu anadai pia ameuliwa nduguze ama jamaa zake.
We uongo huu umeupata wapi!?
Labda nikurekebishe.
Muislam ameruhusiwa kuua sehemu mbili kama sio tatu;
1)Akiwa vitani(vita ya dini,vita ya kutetea taifa lako)
2)Akiwa anajihami ambapo hana budi.
3)Kisasi,na hiki kisasi haukilipi wewe bali kadhwi,hukmu ya mtuhumiwa aliyeua naye ni kuuliwa,hivyo kama umeuliwa nduguyo mtuhumiwa akikamatwa anapelekwa mahakama ya kadhwi kesi husikilizwa,na ikithibitika kadhwi ndio anamhukumu,laa sivyo mwaweza dai fidia ya ngamia mkamsamehe.
Kwa kisasi upande wa askari kinalipwa na wenyewe ila kinalipwa directly kwa waliohusika na vifo vya hao askari.
Mathalan Iran ilivyolipa kisasi kwa Israel kwa kurusha makombora directly kwenda kambi ya jeshi la anga la Israel.
Ila sio kwa kuua raia wasio na hatia ambao hawashiki silaha,hili katika UISLAM halikubaliki.
Hao magaidi hawana sababu ya msingi ya kuua,uislam umekatazwa kuua watu ambao hawajihami na silaha na hawana mapigano na wewe.
Huu ndio uislam brotheee.
Hao uliowataja MAGAIDI SI KATIKA SISI WAMEKIUKA MIIKO YA UISLAM.
 
We uongo huu umeupata wapi!?
Labda nikurekebishe.
Muislam ameruhusiwa kuua sehemu mbili kama sio tatu;
1)Akiwa vitani(vita ya dini,vita ya kutetea taifa lako)
2)Akiwa anajihami ambapo hana budi.
3)Kisasi,na hiki kisasi haukilipi wewe bali kadhwi,hukmu ya mtuhumiwa aliyeua naye ni kuuliwa,hivyo kama umeuliwa nduguyo mtuhumiwa akikamatwa anapelekwa mahakama ya kadhwi kesi husikilizwa,na ikithibitika kadhwi ndio anamhukumu,laa sivyo mwaweza dai fidia ya ngamia mkamsamehe.
Kwa kisasi upande wa askari kinalipwa na wenyewe ila kinalipwa directly kwa waliohusika na vifo vya hao askari.
Mathalan Iran ilivyolipa kisasi kwa Israel kwa kurusha makombora directly kwenda kambi ya jeshi la anga la Israel.
Ila sio kwa kuua raia wasio na hatia ambao hawashiki silaha,hili katika UISLAM halikubaliki.
Hao magaidi hawana sababu ya msingi ya kuua,uislam umekatazwa kuua watu ambao hawajihami na silaha na hawana mapigano na wewe.
Huu ndio uislam brotheee.
Hao uliowataja MAGAIDI SI KATIKA SISI WAMEKIUKA MIIKO YA UISLAM.
Ukiitwa gaidi ktk harakati ya kutekeleza yote hayo 3 kosa lako liko wapi??

Si unatakiwa useme tu ishallah dini ya mnyaazimngu na hakhi imetendeka???
 
Ukiitwa gaidi ktk harakati ya kutekeleza yote hayo 3 kosa lako liko wapi??

Si unatakiwa useme tu ishallah dini ya mnyaazimngu na hakhi imetendeka???
Kwa hayo niloleta kuna lipi la kuitwa gaidi??
Mbona unajikanganya mkuu?
Tukianza na la kwanza,je wanajeshi hawauani vitani!?
USA ilivyopigana na UK kudai uhuru je US hawakuua wa UK?
Kwahiyo US ni magaidi kisa wameua vitani?

Tukija lapili je hakuna watu wanaoua kisa kujitetea labda kama wamevamiwa na mtu mwenye silaha?
Na sindio mahakamani wana degree of murder ambazo zingine huchukuliwa sio uhalifu mfano killing for selfdefence!?

Tukija suala la kumhukumu muuaji kwa kuuliwa(eidha kwa kunyongwa au kukatwa shingo) je mahakama hazihukumu watu hukumu ya kunyonga wale wauaji waliokubuhu!?

Je wanajeshi wa mataifa hawalipizi kisasi kwa wale wanaowaulia askari au raia wao!?
Tuchukulie mfano wa Israel,je huwa hailipizi kisasi Lebanon?
Israel si mnaliita TAIFA TEULE?
Je USA hailipizagi kisasi kwa wanaogusa usalama wa raia na askari wao!?
Je,hivi vinafanana na walichofanya hao wa Burkinafaso kuua raia wasio na hatia tena wakiwa katika ibada zao!??


Kaka tunabishana nini hapa!?
Mbona ubishani hauna mantiki!?
 
Naeleweka nachokiandika ila wewe unayesoma UNA KICHWA KIGUMU.
Uislam hauna madhehebu kama ukristu na hauna MAPOKEO TOFAUTI,Uislam una mapokeo mamoja kwaajili ya waislam wote.
UISLAM UNA SHERIA MOJA NA UNA HUKUMU MOJA KWA WAISLAM WOTE.
Ambavyo vinatokana na Qur'an na sunnah.
Na atakayekiuka basi sio katika sisi ima atubu na kutamka shahada tena ikibidi.
Kuna makosa ya kutubu kwa Mungu ingali bado muislam na kuna makosa ya kuukufuru uislam kiasi unatoka katika uislam na sharti ili urudi utamke shahada upya na utubu baada ya kutamka shahada upya.
Na miongoni mwa hayo makosa ni kudhulumu nafsi ya mtu pasi na sababu(kuua),uislam umekemea ugaidi na hauukubali ugaidi.
Sasa wewe sijui kipi unabisha!?
Nilichokisema ni sheria ya uislam ilokuwepo toka kuanza kwa uislam.
Sio matakwa yangu wala sio itikadi yangu binafsi.

Una kichwa kigumu sana aisee.

Usipoelewa hapa naku block,maana mimi hupenda majadiliano sipendi mabishano yasiyo na tija.
Acha ukiazi unanitisha kuniblock na usilazimishe niamini unachokisema ati ndio kuelewa.
Kama hiyo ndio maana yako ya kuelewa basi mimi sio kukuelewa tu bali sikubaliani na wewe...

Waislam mna namna ya ibada zenu? Kwanini mnatofautiana na baadhi ya misikiti? Kuna Shia kuna Sunni?

Kuna wale wanaofata ratiba na matangazo ya Bakwata, kuna wale wasioyaamini wala kufuata maagizo yao.
Kwenye mfungo pia mnatofautiana za kuanza na kumaliza ,hapa hapa bongo, kuna wale hivi na wengine vile ila nyote mnaamini katika kitabu kimoja.

Kuna uzi humu mdau (muislam) aliuleta kua hakuelewa jinsi watu wanaswali baadhi ya misikiti na wadau wakamshauri misikiti anayopaswa kwenda isiyo na mkanganyiko kwake kwa jinsi yeye anavyoswali (nautafuta huu uzi nikiupata nakuletea au si ajabu hata wewe ulichangia)
 
Acha ukiazi unanitisha kuniblock na usilazimishe niamini unachokisema ati ndio kuelewa.
Kama hiyo ndio maana yako ya kuelewa basi mimi sio kukuelewa tu bali sikubaliani na wewe...

Waislam mna namna ya ibada zenu? Kwanini mnatofautiana na baadhi ya misikiti? Kuna Shia kuna Sunni?

Kuna wale wanaofata ratiba na matangazo ya Bakwata, kuna wale wasioyaamini wala kufuata maagizo yao.
Kwenye mfungo pia mnatofautiana za kuanza na kumaliza ,hapa hapa bongo, kuna wale hivi na wengine vile ila nyote mnaamini katika kitabu kimoja.

Kuna uzi humu mdau (muislam) aliuleta kua hakuelewa jinsi watu wanaswali baadhi ya misikiti na wadau wakamshauri misikiti anayopaswa kwenda isiyo na mkanganyiko kwake kwa jinsi yeye anavyoswali (nautafuta huu uzi nikiupata nakuletea au si ajabu hata wewe ulichangia)
Sikutishi nakuelewesha na kukuambia ukweli POPOMA wewe.
Suala la mwezi muandamo ni suala pana linahitaji maelezo mapana.
Ila kiufupi wale wanaofuata BAKWATA wako sahihi na wale wanaofuata mwezi wa kimataifa wako sahihi.
Tanzania BAKWATA ndio chombo cha kiislam,na sheria ya uislam kiongozi ndio anaetakiwa atoe tamko kuhusu na masuala ya kidini ila akiwa ndani ya mstari wa dini.
Qur'an surah ya 2 inasema"ukionekana mwezi basi na watu wafunge,na ukionekana na watu wafungue".
Katika kuuona mwezi inahitajika watu/mashahidi watakaothibitika mwezi kuwa umeonekana,kesha mwenye haki ya kuutangaza mwezi sio mtu yeyote isipokua ni MUFTI wa eneo husika.
Hivyo MUFTI hajakosea na pia wale wanaofuata mwezi wa kimataifa pia hawajakosea wote wamefunga kwa ithbati ya kuuona japo yupo anaetaka kuuona ndani ya mipaka na yupo ambae hata akiuona nje ya mipaka anaukubali.
HIVYO SUALA LA MWEZI HAKUNA SHAKA WOTE WAMEFUATA QUR'AN INAVYOSEMA.
Walipotofautiana wao ni kuwa wapo wanaufuata mwezi muandamo wa kimataifa(Answar) na wapo wanaotaka mwezi wa kitaifa ndio waukubali(BAKWATA).
Hawajatoka nje ya maandiko wote wako sahihi maana miandamo yote inakubalika.

Kuhusu ibada ya swalah kuna nguzo za swalah ambazo wote tunatakiwa tuzifuate,na kama ikatokea kuna kundi likaenda kinyume na nguzo za swalah basi WAMEKUFURU.
Mfano SHIA na AHMADIA wamekufuru kwasababu tatu mpaka nne zifuatazo;
1)Shahada wameongezea maneno yao ambayo hayatakiwi,shahada ya uislam inasema"Hakuna Mola apasaye kuabudiwa isipokua Mungu,na Muhammad ndiye mja wake na Mtume wake".Shia shahada yao wanasema"Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokua Mungu,na Ally ni mjumbe wa Mungu na Muhammad ni mtume wa Mungu".
Shahada ya mashia ni shahada YA UONGO NA KUKUFURU.
2)Mashia wanapinga viongozi wakubwa walioongoza baada ya mtume ilhali uislam umewatukuza hao viongozi na atakayewapinga ji sawa kampinga Mungu na Muhammad.
3)Mashia wanakosea kwenye ibada zao hawafuati nguzo za swalah ambazo Muhammad alizielekeza.
Na hao AHAMADIA ndio MAKAFIRI kabisa kwasababu wamemkataa mtume MUHAMMAD wanaamini wana mtume wao anaitwa AHMAD.
Ndio maana wanajiita AHMADIA.

Tukija kwa sunni hili ni dhehebu ambalo wao wamejinasibisha na kuzitunza na kuzihifadhi sunnah za MUHAMMAD ambazo ni Hadithi na historia yake kwa ukamilifu.
Hivyo hawa hawana shinda yoyote hawajakufuru.

Point yangu iko palepale,uislam una sheria zake za kila kitu hadi za KUABUDU,ukizikiuka basi UMEKUFURU.
Na huyo jamaa hajakosea kuuliza maana ametaka kujua ili asije akafanya vitu ambavyo vitamkufurisha na akatoka katika uislam bila ya yeye kujua.
 
Lete ushahidi wa hayo maandiko unaoyasema!?
Unataka kusema unajua uislam kuliko sisi wenyewe tulousoma!?
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."


Je kisa kundi la watu wanaofanya mambo yao kinyume na uislam wakijinasibisha kuwa waislam inafaa kuutusi uislam wote!?
I don't judge people, I judge the ideology mnayobeba na ideology ya Pedophilic warlord wenu Muhammad, naomba uelewe hicho kitu.
 
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."



I don't judge people, I judge the ideology mnayobeba na ideology ya Pedophilic warlord wenu Muhammad, naomba uelewe hicho kitu.
Umeelewa hizo Qur'an verse zina maana ipi na zilishushwa kwa mlengwa gani!?
Katika Qur'an kila ayah ilishushwa kwa sababu maalum,kizungu tunaita CONTEXT OF REVELATION.
Je unajua CONTEXT OF REVELATION ya hizo verses!?
Nitakufahamisha nitapita ayah moja baada ya ingine.
 
Back
Top Bottom