Umemaliza nini kijana tafsir zote mpaka Aya inasema demons au majini yalitumwa na Allah kutengeneza masanamu na wakayaweka msikitiniSiku nyingine uache uongo. Umeona tafsir ilivyo tofauti kijana. Jitahidi ila najua ukristo bila uongo hauendi.
Walitengeneza pia mabeseni ya kutawazia
Swali ni kwanini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini? Usiangaike na tafsir wakati Aya ipo wazi