Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Unaturudisha huko huko
 
Mbona makasiriko kama mtumishi wa umma

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Thatha mie! nikasirike nini?? wkt nyie ndo mnalia lia kuwa wenzenu wa yesu mzungu wanawatuhumu??...mie nawaelimisha Bure!! kuwa yesu mzungu wa RC kamwe hatakuja kuwanyakua! mtasubiri sana!!

mie nawasaidia bure! bado mnaniona, eti nina makasiriko pwiiiii!
 
Umepotea ndugu
sanaaaa!! yaani watu km huyo ndo kabisaaa!! watastukia wenzao tunarudi kutoka mbinguni!! kula Bata tunakuja kukata maviwanja tu! tuna miliki tunawasukuma hukoooo!! mabonde kwinama!! wanasubiria kupigwa kiberiti!
 
Zero. Yani kuna majitu hadi saa hizi yanaaamini conspiracy theories, Constantine alikuwa nani labda kwenye kanisa? Bwege kweli. Get your facts straight.
Mkiguswa basi ndo hivo mnakuwaga na mihasira km yote! emkooo!! na bado tutawapa za uso tuu mpaka mtie akili kenge nyie!! alikuwa nani? si ukasome unataka nani akumezeshe vya bure??

hapa unapewa njia tuu!! ukafie mbele na kayesu kenu hako kazungu tuta kapiga mitama mnooo! wee subiri tu si utakuwepo ndo utaona hatufai!
 
Manufaa makubwa sana
Nimesoma shule ya seminary mwanzo mwisho nimesoma chuo pale SAUT nimetibiwa pale Bugando kubwa zaidi ninapata huduma bora kabisa za kiroho katika Kanisa langu!
Hiki ni kipimo halisi cha mtu mjinga na asiyejitambuwa, nieleze ni huduma gani katika hizo ulizoorodhesha ulipata bure?
 
Unakariri mafungu mzee...Sanamu zilitumika katika mambo mengi tu usikariri..
 
Hatuhubiri dini Bali tunamhubiri Yesu
 
Endelea kuamini ukatoliki na mafundisho potofu. Sisi tunamwamini Yesu.
 
Roman Catholic church then akaja bwana Luther akaanzisha kkkt (Lutheran church) kwa sababu alkataaa kufuata mafunzo ya RC church then wachek Morovian church hawana difference sana na RC ayo ndo makanisa makubwa duniani Lutheran ilibase in America,RC in Italy then Morovian in Britain lakini source ya all church ni RC church iliopo pale Vatican City Rome ambyo Iko treated as inchi inside Italy

Sasa awa mwamposa,sjui T A G all wanachofanya ni kutfta pesa ndo maan weng wanafnya miijuza ya kununua nguvu hzo toka uko Nigeria and Ghana ambako ni kama center ya all mystic powers

Anyways tusiongee mengi Kila mtu na Imani ake wether ni mkirstu ama muislamu ama msabato deal nayo kivyako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…