Waumini wa kikristo mnafuata muongozo gani? Nijibu maswali haya

Waumini wa kikristo mnafuata muongozo gani? Nijibu maswali haya

IMEANDIKWA
Yohana 8:58
[58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Jesus said unto them, Verily, verily, I say unto you, Before Abraham was, I am.

YESU ALIYEANDIKWA KATIKA INJILI YA YOHANA ANASEMA ALIKUWAKO KABLA YA IBRAHIMU.
NABII ISA KWA YEYE ALIUMBWA NA MWENYEZI MUNGU TOKEA TUMBONI KWA MAMA YAKE.
UTASEMAJE HAWA WATU WAWILI TOFAUTI NI MTU MMOJA?
YESU KRISTO NA ISA BIN MARIAM NI WATU WAWILI TOFAUTI.
Yesu wa kwenye biblia ninae mjua mimi ni sawa na nabii Issa aliyeumbwa na Mungu tokea tumboni mwa mama yake Mariam.
Huyo mwingine aliyekuwepo kabla ya Ibrahim sijawahi msikia, na kama alikuwepo basi hakuwa anaonekana.
 
Bro bwana unasikitisha sana, binafsi nimeoa muislam na dada yangu kaolewa na muislam ila nawadharau sana waislam kwa kuwa wengi upeo wao wa kujua na kuchanganua mambo ni mdogo sana. Hoja zao nyingi ni mfu sana. Mbona jamaa wamekuleza vizuri kuhusu Biblia.

Biblia linatokana na Neno la kigiriki "Biblos" likimaanisha "Muunganiko wa Vitabu" . Vitabu hivi vimeandikwa na watu 40 tofauti waluoishi miaka 1600 tofauti. Vitabu vya Mwanzo vitano vya Musa(Penta books) viliandikwa na Musa mwenyewe kwa kuambiwa cha kuandika na Mungu mwenyewe. KUTOKA 17:14. Vitabu vingine vimeandikwa 8 vya awali agano la kale vimeandikwa na Waandishi, Manabii, Wafalme na Makuhani kwa kuambiwa na Mungu mwenyewe na vilikusanywa na kuwekwa kwenye Gombo la Chuo na Nehemia. Vitabu vingine vya agano la kale pia viliandikwa na Manabii, Makuhani, waandishi na vilohifadhiwa toka vizazi hadi vizazi vya wana wa Israel na vilikuwa vikisomwa kila Sabato na ndio maana Yesu alisoma kwenye Sinagogi Isaya 61:1-4. Agano la kale liliandikwa kwa lugha ya kiebrania na lufha ya kale ya "kiaramic" wakati Agano jipya liliandikwa kigiriki na Mitume na Manabii wa Agano jioya kwa uobgozi wa Mungu wenyewe maana Mungu alisema na wanadamu pitia vinywa vya wanadamu. 2 Timotheo 3:16-17, 2Samweli 23:2, 2 Petro 1:20-21, Yeremia 36:2-8. Watu hao 40 wote walikuwa nq Ujumbe unaofanana yaani toka Anguko la Mwanadamu, Ukombozi wa mwanadamu na Nchi mpya na mbingu Mpya.

Baada ya kusambaa kwa ukristo dunia nzima, ilipaswa Biblia iandikwe kwa watu wa kila lugha na jamaa kwani ukumbozi wa Mwanadamu uliwahusu watu wa kila lugha, jamaa na mataifa(Ufunuo 7:9-10) na agizo la Yesu ni sharti injili ihubiriwe ulimwenguni kote (Mathayo 24:14) hivyo ni vyema Mataifa yahubiriwe kwa lugha zao na sio kiebrania, kiaramic ambacho kimeshapotea duniani na kigiriki cha kale ambacho nacho hakipo. Mimi mmasai ni sharti nihubiriwe kimasai na ndipo Biblia ikatafsiriwa kwenda kiswahilo, kichaga, kihehe, kisukuma n.k. kwani Mungu wetu ndio muanzilishi wa lugha zote duniani pale alipozichafua lugha wakati wa kujenga mnara wa Babeli[Mwanzo 11:9] hata mitume wa mwanzo wa Yesu walipokea nguvu ya Roho Mtakatifu nao waluongea lugha za wanadamu tofauti na zao kwa ajili ya kwenda kuhubiri kwa kila Lugha na Mataifa.[Matendo 2:5-13]

Sasa kwanini Uislam na kiarabu tu. Kwa sababu allah hajui lugha nyingine wala hawezi jibu maombi nje ya Lugha ya kiarabu
Kaujue uislamu baada ya kuujua ukristo
 
Na pia kwenye mihadhara ya kiislamu wale mashekhe huhusianisha biblia na quran.
Ni yapi maoni ya waislam juu ya hilo?? Comments nyingi jf waislam huikandia biblia kua ina mkanganyiko na wakati huohuo wale mashekhe huitumia!!.

Tena wanaitumia vizuri na wameiweka kichwani kwelikweli, swali ni je waislam mnaiamini biblia?

Huwa mnafundishwa kuhusu biblia huko madrasa?

Mnaiheshimu biblia kama mnavyoiheshimu Quran??
Cc FaizaFoxy
Sio marufuku kusoma biblia... ila wakristo kusema Qur'an kipengere
 
Yesu wa kwenye biblia ninae mjua mimi ni sawa na nabii Issa aliyeumbwa na Mungu tokea tumboni mwa mama yake Mariam.
Huyo mwingine aliyekuwepo kabla ya Ibrahim sijawahi msikia, na kama alikuwepo basi hakuwa anaonekana.
So huyu Yesu anayeongea kwenye injili ya Yohana ni yupi? Na amesema kwa ujasiri mkubwa kuwa ALIKUWEPO kabla ya Ibrahimu.
Tena anaendelea kusema hivi
Yohana 6:61-62
[61]Naye Yesu akafahamu nafsini mwake ya kuwa wanafunzi wake wanalinung’unikia neno hilo, akawaambia, Je! Neno hili linawakwaza?
When Jesus knew in himself that his disciples murmured at it, he said unto them, Doth this offend you?
[62]Itakuwaje basi, mmwonapo Mwana wa Adamu akipaa huko alikokuwako kwanza?
What and if ye shall see the Son of man ascend up where he was before?

YESU ANATHIBITISHA KWA MARA YA PILI KUWA ALIKUWAKO KABLA YA KUJA HAPA DUNIANI.
ISA HAKUWEPO KABLA YA KUJA DUNIANI ILA ALIUMBWA KAMA ADAMU KATIKA TUMBO LA MAMA YAKE.

BIBLIA IKO WAZI, MARA MBILI YESU ANATHIBITISHA KUWA NI TOFAUTI NA ISA BIN MARIAM, UKISOMA PIA SURAT MARIAM UTAGUNDUA HILI.
 
So huyu Yesu anayeongea kwenye injili ya Yohana ni yupi? Na amesema kwa ujasiri mkubwa kuwa ALIKUWEPO kabla ya Ibrahimu.
Tena anaendelea kusema hivi
Yohana 6:61-62
[61]Naye Yesu akafahamu nafsini mwake ya kuwa wanafunzi wake wanalinung’unikia neno hilo, akawaambia, Je! Neno hili linawakwaza?
When Jesus knew in himself that his disciples murmured at it, he said unto them, Doth this offend you?
[62]Itakuwaje basi, mmwonapo Mwana wa Adamu akipaa huko alikokuwako kwanza?
What and if ye shall see the Son of man ascend up where he was before?

YESU ANATHIBITISHA KWA MARA YA PILI KUWA ALIKUWAKO KABLA YA KUJA HAPA DUNIANI.
ISA HAKUWEPO KABLA YA KUJA DUNIANI ILA ALIUMBWA KAMA ADAMU KATIKA TUMBO LA MAMA YAKE.

BIBLIA IKO WAZI, MARA MBILI YESU ANATHIBITISHA KUWA NI TOFAUTI NA ISA BIN MARIAM, UKISOMA PIA SURAT MARIAM UTAGUNDUA HILI.
We umbishi aisee. Acha kusoma biblia kama gazeti. Umezaliwa kwa ukristo so ujui chochote
 
Mleta mada ivi ushawahi jiuliza kwanini vitabu vya wanasayansi wakubwa au vitabu vya sayansi havijawahi kutafsiriwa katika lugha yako lakini vitabu vya dini mpaka lugha za makabila wanavyo...
 
Mleta mada ivi ushawahi jiuliza kwanini vitabu vya wanasayansi wakubwa au vitabu vya sayansi havijawahi kutafsiriwa katika lugha yako lakini vitabu vya dini mpaka lugha za makabila wanavyo...
Kama kitabu gani hakina tafsri na wanasayansi wote wamekopy kwenye Quran.
 
We umbishi aisee. Acha kusoma biblia kama gazeti. Umezaliwa kwa ukristo so ujui chochote
Ok sawa unayejua mambo yote.
Ila Mimi Yesu ni wa mwisho na hakuna mwingine.
Maandiko yako wazi kabisa, haitaji uingie Rohoni Ili uelewe, Injili ya Yohana sio kama Ufunuo wa Yohana, au kitabu Cha Danieli.
YESU WA INJILI YA YOHANA NI TOFAUTI NA ISA BIN MARIAM.
MIMI SITABISHA KAMA UTATUMIA KITABU CHA QUR'AN TAKATIFU KUFUNDISHIA, MAANA HAINIHUSU.
ILA MAANDIKO MATAKATIFU YA BIBLIA NILIYOYASOMA KWA ZAIDI YA MIAKA 10 TOKEA NIKIWA MDOGO YAKITUMIKA VIBAYA, NITASIMAMA KUITETEA.
I END MY CASE, NO MORE ARGUMENTS.
YESU ANAKUITA LEO AKUOKOE, USIFANYE MOYO WAKO KUWA MGUMU, NYAKATI ZINAKUJA UTAJUTA KWANN HUKUAMINI HABARI SAHIHI ZA YESU NA HAKUTAKUWA NA MSAADA.
 
Waliotuletea dini walituweza kwakweli
Imani ni bora kuliko dini.

Maoni yangu!
 
alitumwa kwa Wayahudi na hakutumwa kwa mataifa, lakini baada ya ufufuo wake, mitume wake walianza kusambaza ujumbe huo kwa mataifa yote duniani.
He kumbe!! Basi hapa ngoja niingie chimbo ila nitarudi
 
Wakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?

5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?

6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?

7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?

8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?

Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.

Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
Unateseka nini labda? Acha kuwashwa na imani za watu, kama unaona yako ni bora kaa nayo. Ata mashoga wanaona wanachofanya ni sahihi kwa akili zao, na nyie mnaona mpo sahihi sasa ni hivi ishi na li imani lako kimpango wako, wala hakuna mtu atakusumbua labda wala uwalazimishe wewe.
 
Sawa kwa hiyo tushike lipi?? La kristo mtume au mungu?
Kwa Wakristo, Yesu Kristo si tu mtume, bali pia ni Mungu aliyekuwa na mwili wa kibinadamu. Kwa mujibu wa imani ya Kikristo, Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu, aliyekuwa na asili ya kimungu kabla ya kuzaliwa kama mwanadamu. Wakristo wanakiri kuwa Yesu ni Mungu aliyejifunua kwa mwanadamu na alitolea dhambi za ulimwengu. Hivyo, Yesu Kristo anachukuliwa kama Mungu na mtume kwa pamoja katika imani ya Kikristo.
 
Back
Top Bottom