Waumini wacharazwa fimbo za upako na Mchungaji kanisani ili kupokea Roho Mtakatifu!

Ifike mahali taasisi za kidini zikemee na kutoa adhabu kwa sababu hii ni mbaya kwa vizazi vinavyokuja ...Kuchezea dini kiutani baadae inakuwa mazoea kabisa na kupoteza mvuto wa maandiko halisi.
Mkuu Dini ni imani sio sheria wala ithibati
 
Ushirikina Una mawanda mapana
Unaweza kua mshirikina ukafikiri uko Sawa
Maana Harish ya ushirikina ni kumhusianisha MUNGU nguvu zake na MTU kitu au Jambo lolote litakalo simama kama MUNGU hiyo ndiyo ushirikina (shiriki)
MUNGU ni mwenye wivu hafananishwi na yeyote au chochote

Hukumu ni ya MUNGU

MUNGU ndiye hulipa kisasi

Acha magugu na Nagano yakue pamoja siku ya mavuno Ngano itatengwa na magugu nayo magugu yatachomwa Moto
Huko ni kutisha kuogofya kutweza Kwa faida binafsi
Isijekua tabu ukihitaji takwa furani
 
Mkuu Dini ni imani sio sheria wala ithibati
Sawa ila hii inapelekea katika upotovu na pia imani ya mtu inaendana na matendo ,huwezi kuwa na imani halafu mzinzi ,unavaa uchi ,unafanya mambo ya hovyo ,kuchapa watu kama hivyo ni kudhalilisha watu.
 
Sawa ila hii inapelekea katika upotovu na pia imani ya mtu inaendana na matendo ,huwezi kuwa na imani halafu mzinzi ,unavaa uchi ,unafanya mambo ya hovyo ,kuchapa watu kama hivyo ni kudhalilisha watu.
Je na yeye akikwambia kuwa roho mtakatifu aliyemtokea yohana kumwambia adumbukize watu kweny maji ndo kamtokea kamwambia awacharaze utamwamini? Kwamba ili kuondoa uovu lazima ucharazwe?
 
 

Attachments

  • Screenshot_20230927-111542.jpg
    79.9 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…