Hahahah! Nimeachwa kwenye mataaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] Nimeachwa Solemba[emoji23]Mimi uwa natumia mbinu hyo nikiwa nataka kumpiga chini dem, kifupi apo mkuu umeshaachwa
Nikuulize swali hivi mara ya mwisho kupewa mzigo ilikuwa lini?Ina maana hivi anavyofanya,ndo ana send meseji kwangu?
Khaaa! Si ndo nitapata Presha![emoji134] live tena Mkuu!
Hahhah. Utafikiri nimekuwaje asee?!?!? Hadi nimejishangaa!Mbona umeshaamka usingizini tayari mkuu. Yaani namba huzisomi herufi huzisimi hata alama za ishara nazo huzielewi??
Absolute Bosi.
Hapana usimchane live atapata cha kuongeaBosi, ushauri mzuri sana. Nimeupokea. But nataka kumchana live kidogo.
Afu ndo niache kumtafuta kwa njia yoyote.
Unaonaje hii?
Hahahahhha. Mzee baba, goma la hivi linafaa mtu uwe na Mchepuko pembeni, yaan lenyewe unalimega alafu mtoto mwingine pembeni undo unaamishia majeshi ya true love na kujaliana.Mzee baba goma la hivyo ndiyo zuri unamega na hakuna kufuatiliana