Ndio hapo sasa.Asante Maserati.
Nashukuru kwa short and clear answer.Nijifanye Zuzu tu mimi, wakati vitu viko very open.
Sawa. From the moment, No Call No Sms[emoji134]Hapana usimchane live atapata cha kuongea
Mpigie Kimya ktk hilo
Kama ataamuwa kutoka na wewe jukumu lako ni kumbadilishia maeneo ya kukutania
Safi, but Hili Goma zuri mzee. Yaani Daah!
Ndo uache kujipendekeza sasa. Tafuta akupendae!It seems like.
Very True.
Nakubali.
Asante Dada yangu, Asante kwa kuShare your views na siri zenu za Wanawake. Nimekuelewa sana.Ndio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.
Hizo ni dalili za kuteswa mapenzi.
Haya unapomuuliza anakujibu nini?
Hakuna haja ya kumpa vipande vyake. Ni kimove on kimya kimya. Atajishangaa mwenyewe!Ameen, but kabla ya yote[emoji134] nataka kumpa vipande vyake.
Na nikiacha[emoji134] ndo basi au imetoka au![emoji134] [emoji24]Ndio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.
Hahaa. Sio wote braza.Nyie mnatutesa sana , unakuta li mtu lipo online lakini halijibu ndo maana huwa sina huruma na nyie
Anasema "alikuwa mbali na simu"Hizo ni dalili za kuteswa mapenzi.
Haya unapomuuliza anakujibu nini?
Hahaa. Sio wote braza.
Ila msiamini sana hizo last seen na kuwa online saa nyingine mambo yanakuwa mengi. [emoji124] [emoji124]
Sawa Mkuu, Enough is Enough.
Not to that Extent.