[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vip jamaa yangu umetoka job?Maisha kwangu ni kupanda na kushuka hasa kwa rijali yoyote wanaelewa, kuna kipindi nimemaliza chuo nilikua desperate kuwa na pesa.
Nilitaka fanya kila kitu kwa wakati mmoja Mshana Jr shahidi nishamfata mara nyingi kumuomba ushauri nashukuru ushauri yake ulizaa matunda.
Joseph James ndio jina langu
Umri mzee Mshana Jr shaidi.
Kwanini sijasimamia biashara za kwetu check me 0714 036595.
Namuomba Mungu nisije kuwa baba kama wewe a dick rider father.
Eheee... Hapa ndio napenda sasa.....You're so desperate to ride this dick bitch ass.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu kumbe unajua kiingereza?Unifate tena?? Wakati umeleta mrejesho nimekuja PM?? Clout chaser
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeona sasaaaa...Wakuu humu kwenye jukwaa kuna watu ni kama wanakuja haribu biashara ya watu wengine.....
Kuna mtu anaclaim ananijua nafanya kazi kwa mhindi mara napost bidhaa facebook, huo ni uongo.
Naamini wale watu ambao nimefanya nao biashara wana ushaidi.
Hii hapa ni screen shot ya mteja wa simu anasema ana mashaka na biashara yangu kutokana na maneno ya jamaa, kwenye hili kashinda.....
MBONA UNABADILISHA MADA MZEE AU UNATAKA TUU UTUME PICHA....Kwa mteja yoyote mwenye mashaka na mimi hizi ni info zangu
Joseph James
0714 036595
Sinza Madukani, Msikitini street.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umetumia app gani ya Photo shop?Kwa mteja yoyote mwenye mashaka na mimi hizi ni info zangu
Joseph James
0714 036595
Sinza Madukani, Msikitini street.
Hello you 2 Guys, naona mmegeuzi hili jukwaa kama sehemu ya kugombania, kupeana mipasho, mimi naona kwamba wote nyinyi ni wambea, tafuteni sehemu nyingine ya kupeana mipasho, mada hii ilikuwa ikizungumzia simu sasa mmeanza kuleta story za maisha yenu, hakuna mtu anahitaji kujua story zenu, they are non of our business, kuweni wastaarabu, yapo majukwaa yanayowafaa kama Fb na insta, hapa tuna discuss issues sio mtu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeona sasaaaa...
Wapi nimesema nina mashaka na biashara yako?
Mm point yangu kubwa kwako ni lugha CHAFU HUMU...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe bana huwezi biashara acha brah brah hapa....
Hoja huwezi, Biashara huwezi unachojua ni maneno ya shombo.....
Naomba specifications ya hii simuhuyo sio muuza simu
ni mtumiaji wa simu mana hiyo bei yake hata mm nimeshangaa mana hata dukani mpya hawauzi hvyo
A3 2017 ninayo nataka 165000/= ipo very cleanView attachment 1371362
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]we bana umekunywa chai?Hello you 2 Guys, naona mmegeuzi hili jukwaa kama sehemu ya kugombania, kupeana mipasho, mimi naona kwamba wote nyinyi ni wambea, tafuteni sehemu nyingine ya kupeana mipasho, mada hii ilikuwa ikizungumzia simu sasa mmeanza kuleta story za maisha yenu, hakuna mtu anahitaji kujua story zenu, they are non of our business, kuweni wastaarabu, yapo majukwaa yanayowafaa kama Fb na insta, hapa tuna discuss issues sio mtu.
Hello Jossiest, nahitaji Samsung 2 za kiwango kwa 150K each, ninayo laki 3 hapaLet me put smile on your face, let me take care of your device......
Sina za bei hiyo boss wangu kwa bei yako utapata used na used me sina.Hello Jossiest, nahitaji Samsung 2 za kiwango kwa 150K each, ninayo laki 3 hapa