Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HTC one max, 16gb, 5.9 full HD screen....TZS 550,000.
Nipe # yako nkutumie htc yangu nnayo iuza 260,000/ kwa whatsap, ni used toka denmark iko na hali nzuri sana na sijatuma kabisa hapa tzIna muda gani tangu ununue mkuu..
Halafu fanya mapicha basi
Nipe # yako nkutumie htc yangu nnayo iuza 260,000/ kwa whatsap, ni used toka denmark iko na hali nzuri sana na sijatuma kabisa hapa tz
Mpya kwa 650000
715378899
Mkuu ofisi zako zipo wapi.....na tunaweza kubadilishana kwa Samsung S4 GT-19505....na nikakuongezea kiasi kidogo cha pesa...?
#nikitakasinyimwi tutaona hapa kama hutonyimwa...
Ina maana mkuu unataka kuninyima....??
Hapana kaka nilikua nakufurahisha baada ya stress za dodoma..
Sina maana hiyo mkuu
Nmeshakutumia0716 403 314
Za biashara mkuuu,nipo kariakooMkuu ofisi zako zipo wapi.....na tunaweza kubadilishana kwa Samsung S4 GT-19505....na nikakuongezea kiasi kidogo cha pesa...?