Inaudhi sana tena sana.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
View attachment 348016
msichana mzuri huyu ee.nitaweka na yako tuone wajinga wanapenda yupi.
swissme
Ahsante, mie biashara ya wala sina shida nayo tatizo huo uongo tuSikuhizi hata adv zao hawasemi kama meeting za forever,utaona tu sijui women empowerment blah blah blah kibaoo,afu wanamalizia kiingilio 10k au mara book your seat kwa email,seats are limited
Basi unajikoki unavaa official na CV + Certificates unabeba,unajua yess huko moto tu unaweza kupata kazi
Ukifika sasaaa unakuta walewaleeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hawaangalii na aina ya wateja wao wanatumia nguvu tu, sasa mie nlivojichokea uje kuniuzia dawa ya meno elf 20. Wakati hiyo ni bajeti yangu ya whitedent 20 ha ha ha wauza forever wakasome sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa usawa huu wa JPM zile Dawa za meno za forever watauza buku buku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bishara ya uongo uongo tu, nguvu nyiiiingi na uongo mwingi, maneno kibaoo hadi uje kuambiwa ni forever hapo Muuzaji kishakuambia historia ya maisha yake tangu kuzaliwa mfyuuu nawachukiaEvelyn salt pole dadayangu.
Huo mchezo unaitwa Piramidi.
Mwenye faida alie anzisha.
Kwa mfano muanzilishi ananunua bidhaa za Million 2 Halafu anamuuzia mmoja Na huyu naye anamuuzia mwingine nakila mmoja anapata 10% yake.
Uongo wao kukuambia Mafanikio Yao.Tamaa Ni chanzo chake.
Huo mchezo Ni balaaaaa
Umeniudhi sana kama wauza foreverNi watu wa hovyo sana hawa, nawachukia kama nichukuavyo kitimoto
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Hata hawaangalii na aina ya wateja wao wanatumia nguvu tu, sasa mie nlivojichokea uje kuniuzia dawa ya meno elf 20. Wakati hiyo ni bajeti yangu ya whitedent 20 ha ha ha wauza forever wakasome sasa
Hiyo ndo biashara lazma uangalie na aina ya wateja, ndo maana kuna tecno ya elf 20 na tecno ya laki 5..... Wote tunafaidika kulingana na kipato[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mama weeee!
hahahaha bibi bwana.Kama si ujinga huo ni nini?
Ungeweka ya mama'ko tulinganishe ingekuwa vyema sana.
Punguani wahed.
makanisa ya kiroho yameingiaje hapo?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji85] [emoji15] na watu kama kila siku kuwa block sitaki kuwaona wapo km Majamaa wa makanisa ya kiroho ndimi zao zimejaa hadaa na maneno matamu Wakati mioyo inawazia uovu
Yameingia kiroho[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]makanisa ya kiroho yameingiaje hapo?