Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Habari za weekend.....

Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.

Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana

Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana

Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna

Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.

Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu
na oriflame ina tofauti gani?
 
huu ujanja wa wizi umeenea pote duniani - wakatie tu kuwa huna nia na pia kumbuka hapa duniani hakuna cha bure, siku unahitaji hizi bidhaa au huduma ndio itafute
 
Yameingia kiroho[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
"If doent fool you, it doesnt teach you"-David Olainyi Oyedepo
kuna misconception nyingi kuhusu makanisa ya kiroho, fanya utafiti kidogo, jifanye mjinga nenda kanisani kama mtafiti ili uujue ukweli
natamani kila mtu aijue hii kweli
 
Okay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Yanlaaaaah
 
Habari za weekend.....

Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.

Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana

Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana

Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna

Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.

Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu

Wanafanya hivyo kwa sababu wanajinua hawakubariki
 
M naona ni nzur kwn mbali na mbinu hyo ni vigumu kuwateka wateja kw wingi na bila mbinu hyo somebody tusingeenda je tungejua faida ya matibabu yao kwetu,leo tumejua tunafaidika na product zao afya zetu zimekuwa njema miili yetu inang'aa,akiri zetu zinafanyaz kw ufanisi,msongo wa mawazo unapungua kwsbabu ya forever tuwashukuru sana japo tulipoteza mda kwa mda mchache
 
Mimi mwenyewe hawa watu wa forever walinikera. Kuna mdada kapewa namba yangu na rafiki yangu, akaanza kunishawishi nijiunge. Nikamuleza kuwa nina shughuli zangu sitaweza. Bado aliendelea kunifuatilia nikaona imekuwa kero, namba yake nikaiblock. Mwingine tena hata simjui naye alinijia na gia ya mazungumzo. Nilipomuuliza ni mazungumzo ya nini hataki kueleza anasisitiza niende. Nikamkatalia.
 
Da! Nilikasirika sana aisee, Wiki kama mbili napigiwa simu kuna jambo la muhimu sana Mbagala kwa mshikaji wangu nisikose Jumapili. Mzee nikajitosa nikaenda, tukaanza kunywa na kula halafu baadae jamaa akatuletea watu wanaanza kuongelea mambo ya Forever utafikiri anahubiri neno la Mungu, kwa kweli nilichukia hadi jamaa akajua na baadae akaniomba msamaha. Ni upuuzi sana huu.
Hao wadada sijui washikaji wanakera Sana Yan wanalazimisha upende kitu Fulani.
 
Ni kweli aisee, wanaboa sana.

Kuna siku wamenitoa Mbezi mpaka Makumbusho nikajua bonge la mchongo.

Mwisho wa siku nakuta ni ishu za forever Living, nili mind sana aisee, basi tu utu uzima nikaamua kupotezea.

Hawa jamaa wanaboa sana, usiombe wakapata namba yako ya simu, utakoma
Hahahaha ulilazimishwa kwani
 
Kweli jamanii, mm kuna mama kaniganda mpaka natamani nibadili laini ya simu kila cku njoo kwa semina mara mavideos kibao Whatsup jamanii,... Aaaghhg kweli wanaboa bhana
 
Haa haaa hii mbinu iliwahi kuninasa miaka 3 iliyopita,niliambiwa kuna semina nilipodadisi zaidi nikaambiwa ni masuala ya biashara kufika ni mipasho ya managers jinsi walivyofanikiwa kimaisha na blah blah kibao.

Baada ya muda nikagundua waliofanikiwa ni waanzilishi ndio wanapiga mifedha kupitia wanachama wapya.Bahati nzuri sikuingia nilinunua bidhaa chache kwaajili ya majaribio lakini sikuona kitu cha tofauti zaidi kuvuta wanachama kwa nguvu na ushawishi mkubwa.

Hii biashara si mshauri mtu mwenye akili zake ajiingize hata kidogo.Kwanza itakuwafanya uonekane mwehu kiasi fulani,pili itakuchukulia muda wako,fedha zako na nk.
 
Kweli jamanii, mm kuna mama kaniganda mpaka natamani nibadili laini ya simu kila cku njoo kwa semina mara mavideos kibao Whatsup jamanii,... Aaaghhg kweli wanaboa bhana
Mblock tu
 
Haa haaa hii mbinu iliwahi kuninasa miaka 3 iliyopita,niliambiwa kuna semina nilipodadisi zaidi nikaambiwa ni masuala ya biashara kufika ni mipasho ya managers jinsi walivyofanikiwa kimaisha na blah blah kibao.

Baada ya muda nikagundua waliofanikiwa ni waanzilishi ndio wanapiga mifedha kupitia wanachama wapya.Bahati nzuri sikuingia nilinunua bidhaa chache kwaajili ya majaribio lakini sikuona kitu cha tofauti zaidi kuvuta wanachama kwa nguvu na ushawishi mkubwa.

Hii biashara si mshauri mtu mwenye akili zake ajiingize hata kidogo.Kwanza itakuwafanya uonekane mwehu kiasi fulani,pili itakuchukulia muda wako,fedha zako na nk.
Ha ha ha kwakweli lazma ujitoe ufahamu ndo ufanye hii biashara
 
M naona ni nzur kwn mbali na mbinu hyo ni vigumu kuwateka wateja kw wingi na bila mbinu hyo somebody tusingeenda je tungejua faida ya matibabu yao kwetu,leo tumejua tunafaidika na product zao afya zetu zimekuwa njema miili yetu inang'aa,akiri zetu zinafanyaz kw ufanisi,msongo wa mawazo unapungua kwsbabu ya forever tuwashukuru sana japo tulipoteza mda kwa mda mchache
Kudandanga watu ndio mbinu nzuri? Lazma utakua unauza forever
 
Back
Top Bottom