Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Nakumbuka nikiwa chuo kuna dada alinikokota mpaka makumbusho na hakunambia ni semina ya kitu gani.
Bahati nzur tulifika kwa kuchelewa, nlikuwa na njaa sana nkala chips kavu nikatembea kwa mguu mpaka mwenge.

Siku nyingine yule dada kanijia na mavidonge nkamwambia ayanywe mwenyewe ila sio mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23]....lol mkuu umenichekasha sana.
 
na sasa kuna EDMARK,kadada kakali kinoma nakaajua kananisumbua kila siku nionane nako,eti kaniingize kwenye list yake yani haya mabiashara ya kimtandao kibongobongo nahis hayafanyiki kwa weledi mkubwa,ujanja mwingi sana na uongo ndo mana mwisho wa siku mtu analia,nafikiri mtu aelimishwe vya kutosha ili awe huru kujiunga siyo huachiwi pumzi afu wanataka laki7 yako kimasihara tu,na kuna magroup mengi whatsap huko wanajidai wajasiriamali wanawaunga,mnachati siku mbili tatu story zinahamia forever living au rifaro n.k ukiwachana wanakuremove haiishi hata dk.hili pia ni jipu kitumbuliwe haswaaaa
 
Okay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Mtaishia kutaja gari za wenzenu
 
Me miaka kadhaa walinipigia watu wa GLD like forever aseee, wakanipeleka uswazi sinza na kuanza story zao za kujinga etii ooh ukianza biashara hii utasafiri mara kwa mara na utakuwa na manikio haraka, kwa uongo hawajambo kwa kuonyesha picha za wazungu etii oooh huyu nae ni mwanachama wa biashara hii. Nonsense
 
Sikuhizi hata adv zao hawasemi kama meeting za forever,utaona tu sijui women empowerment blah blah blah kibaoo,afu wanamalizia kiingilio 10k au mara book your seat kwa email,seats are limited
Basi unajikoki unavaa official na CV + Certificates unabeba,unajua yess huko moto tu unaweza kupata kazi
Ukifika sasaaa unakuta walewaleeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
daaah hata mimi walinidanganya nikavaa vizuri nakumbuka na tai nikaazima vyeti nikabebelea kwenda huko nakuta stori za gnld mdada alienipa mchongo nilimtukana
 
hahahahah mmenichekesha sana jamani aiseee poleni mliokubwa na mambo hayo

wanashindwa kuelezea kwa uwazi bidhaa zao ndo maana wanaficha sana usikute ni mbinu ambayo wamefundishwa huko
 
Umejitetea weeee ooh simu nyingi mara ooh niliheshimu aliyenialika!sasa ungenufaika ungepondea au sababu umeita usumbufu??binafsi siwapendi hata kuwasikia!mtu akianza tu mie mtu wa forever namkatisha hapo hapo sina simile
 
Okay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
acha kudanganya watu! si kwa ajili ya hiyo biashara iliyo mtoa...kama unamfahamu, wewe wajua na mimi najua! tusiwadanganye watu wakaingia mkenge! barikiwa my friend
 
You guys mnachekesha sanaaaana, [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Walinitoa mbagala mpaka Millenium tower sina hata hamu nao wale jamaa.Hivi kwa mtazamo wa kawaida unaweza kuuza product ya laki 3 kwa mkaazi wa mbagala,
[emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3]
 
Umejitetea weeee ooh simu nyingi mara ooh niliheshimu aliyenialika!sasa ungenufaika ungepondea au sababu umeita usumbufu??binafsi siwapendi hata kuwasikia!mtu akianza tu mie mtu wa forever namkatisha hapo hapo sina simile
Unauza forever??? Kunufaika kutokunufaika hiyo haihusu ISHU NI KUDANGANYWA kwanini isiwe wazi tu "njooni muangalie bidhaa za forever"
 
Back
Top Bottom