Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa jamaa wajinga kweli,nilipigiwa simu na mdada flani mshkaji wangu sana,eti kuna semina ppf house pale niskose kuhudhuria.duuh mchizi nikajitupia teh teh teh mida ya sa Nne kamili niko maeneo ya ppf house nampigia hyo dada akamtuma mtu aje anipokee looh naona jamaa ananipeleka kwenye kagofu flani ka gorofa moja kudadeki kuingia ndani hovyoo kumbe forever wakati nilijua naenda kupanda lift ppf house nika meet na ma CEO wa ukweli....... aaaagggggrrrrrrrHabari za weekend.....
Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.
Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana
Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana
Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna
Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.
Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu
Tuambie kisa cha kuachaMimi mwenyewe niliingia kwa hiyo biashara kwa kishawishiwa na rafiki zangu, duh! Niliacha mwenyewe
Hakuna biashara ngumu kama hiyo, kwanza unatakiwa kuwa muongo yaani kusema mafanikio makubwa uliyonayo au aliyonayo mwingine ili umvutie kujiunga. Marafiki zangu wote walinikwepa, kila nikikutana nao wanajua nawapa stori za forever. Nikaona huu upuuzi tu, nikaamua kuachana nayo na sitaki hata kuisikia.Tuambie kisa cha kuacha
Haaaaa duh hongera sana kwa kuachana na uongo wa kujitakiaHakuna biashara ngumu kama hiyo, kwanza unatakiwa kuwa muongo yaani kusema mafanikio makubwa uliyonayo au aliyonayo mwingine ili umvutie kujiunga. Marafiki zangu wote walinikwepa, kila nikikutana nao wanajua nawapa stori za forever. Nikaona huu upuuzi tu, nikaamua kuachana nayo na sitaki hata kuisikia.
Kuna mdada mmoja insta ndo ananipa sifa za iyo forever ni mzuri hatari ila mi nawaza tu jinsi ya kula tunda LakeHakuna biashara ngumu kama hiyo, kwanza unatakiwa kuwa muongo yaani kusema mafanikio makubwa uliyonayo au aliyonayo mwingine ili umvutie kujiunga. Marafiki zangu wote walinikwepa, kila nikikutana nao wanajua nawapa stori za forever. Nikaona huu upuuzi tu, nikaamua kuachana nayo na sitaki hata kuisikia.
We acha tu, mtu unakuwa muongo mpaka kwa wazazi, Mara ukijiunga utapata gari, utajenga nyumba, utazawadiwa safari ya kwenda marekani kumuona Mkurugenzi wa kampuni, utapewa tiketi ya ndege kwenda south nk yaan uongo mtupuHaaaaa duh hongera sana kwa kuachana na uongo wa kujitakia
Hakuna biashara ngumu kama hiyo, kwanza unatakiwa kuwa muongo yaani kusema mafanikio makubwa uliyonayo au aliyonayo mwingine ili umvutie kujiunga. Marafiki zangu wote walinikwepa, kila nikikutana nao wanajua nawapa stori za forever. Nikaona huu upuuzi tu, nikaamua kuachana nayo na sitaki hata kuisikia.[/QUOTE
Lol
LolWalinisumbua sana simu kila muda eti nijiunge.
Pole sana...Mimi mwenyewe niliingia kwa hiyo biashara kwa kishawishiwa na rafiki zangu, duh! Niliacha mwenyewe
Ulitoa kiingilio kujiungaWe acha tu, mtu unakuwa muongo mpaka kwa wazazi, Mara ukijiunga utapata gari, utajenga nyumba, utazawadiwa safari ya kwenda marekani kumuona Mkurugenzi wa kampuni, utapewa tiketi ya ndege kwenda south nk yaan uongo mtupu
lol!
Sio kwa vicheko hivi, lazma unahusika na forever living
Teh we ushajiandaa kivingine ye anakuja na habari za foreverniliwahi panda daladala kipindi flani na dada mmoja, alikua yuko vizuri sana.. kwa tafsiri ya msichana mzuri aisee alikua mzuri.. basi sina hili wala lile akaanza kunisalimia, na vicheko ata ishu haichekeshi sana anafurahia vibaya paka nikajiona comedian.. maswala, story kibao paka nikaona bora jam ya kwenda posta iendelee tu kuwepo tu.. tunakaribia posta akaniomba namba yangu... kutoka pale najiuliza mbona huyu dada yuko tofauti na wengine.. mawasiliano yakaanza ila mwisho wa siku ndo akaanza ishu izo, aliniudhi sana kwa kunionesha ananijali kumbe moyoni mwake ananiona kama "another deal to make".
ikifika mahali biashara inakosa utu, inakosa ubinadamu, inakosa aibu, inakufanya uone watu kama mizigo ya nyanya, inavuka mipaka.. hio sio biashara nzuri.
Wanakera sana huu uongo uongo wao semina semina afu unaishia kuoneshwa makopo ya forever, hawaangalii hata aina ya wateja mtu wa kawaida sana unamwambia anunue chupa ya laki tatu forever living ovyo sanahawa jamaa wajinga kweli,nilipigiwa simu na mdada flani mshkaji wangu sana,eti kuna semina ppf house pale niskose kuhudhuria.duuh mchizi nikajitupia teh teh teh mida ya sa Nne kamili niko maeneo ya ppf house nampigia hyo dada akamtuma mtu aje anipokee looh naona jamaa ananipeleka kwenye kagofu flani ka gorofa moja kudadeki kuingia ndani hovyoo kumbe forever wakati nilijua naenda kupanda lift ppf house nika meet na ma CEO wa ukweli....... aaaagggggrrrrrrr