Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
RIFARO AFRICA HAHAHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongezea....kuna wengine wameibuka wa rifelo sijui....tuma mb za kutosha mpaka simu inayeyuka betri, kutiana hasara tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIFARO AFRICA HAHAHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongezea....kuna wengine wameibuka wa rifelo sijui....tuma mb za kutosha mpaka simu inayeyuka betri, kutiana hasara tu!
Du kwa hyo pesa yako ilipotea hivihivi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mimi mwenyewe niliingia kwa hiyo biashara kwa kishawishiwa na rafiki zangu, duh! Niliacha mwenyewe
Ndio nini hiyoo[emoji52]Sasa hivi kuna onecoin sijui......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] BIG UPMimi nashukuru forever imeniingiza kwenye kumbi kubwa na hotel kubwa kama Nyerere conference centre, Diamond jubilee na Kempisk, hayo ni mafanikio kwangu
Mkuu sikuwa na mategemeo kabisa kama naweza ingia Kempisk au mwalimu Nyerere conference centre [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] BIG UP
Mie mungu ansamehe tu lakini nshawalamba sana mademu wa forever living,unakuta unachat naye unaona kabisa yuko desperate kuuza hizo vitu zake bas unamwambia aje navyo geto nichague.akiingia ameisha.Hii mbinu ya kuwaita watu na kuwapa vinywaji na chakula watawapata wengi kumbe..
mimi siku zote nikiona kitu sikielewi elewi huweni kunishawishi
eti semina halafu hujui semina inahusu nini....na unaenda?
Hizi mbinu wanazopewa hizi kama mkeo yuko huko na akili za kushikiwa 'watamlamba hadi basi'
manake wauzaji wote wa bidhaa za mtandao wako so desperate kushindana kuleta member wapya
na kuuza bidhaa....
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Walinitoa mbagala mpaka Millenium tower sina hata hamu nao wale jamaa.Hivi kwa mtazamo wa kawaida unaweza kuuza product ya laki 3 kwa mkaazi wa mbagala,
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ivi ile mifano ya presentation zao ni kweli? Yaan ukikutana na mwongeaji na akikutolea mifano km unapesa siku ileile unajiunga...
Nakumbuka mwaka 2014 lecture wangu wa chuo alitualika baadhi ya wanafunz km wa5 kwenye semina pale makumbusho kumbe na yy kaingzwa kwenye hii biashara ss kufika pale ndio kukuta mdada mkali hatariiiiii anaprezent hiyo na kutoa mifano kedekede ya waliofanikiwa safar zao za njee kwenye mashamba ya hzo dawa yaan kila sehemu kafka yule dada na magar yao ya dhaman enz hizo ilikuwakuingia ni lak7 nikafikiriaa kidogo nipeleke ada akil za kuambiwa nikachanganya na zakwangu nikasema hapana nw it's not a right time mpaka nimalize chuo ili niwauzie makazn huko maana wanafunz hawez kununu lipstik moja elf40
Kuna dogo mmoja akajiunga na yule aliye muunga akamwahid km unakonection za watu weng miez 6tu utakuja chuo na Harriya au Morano na tht tm Diamond alikuwa amemnunulia Wema Morano hahahahahaha dogo aliacha mpaka chuo kwajil ya kusaka wateja mtaan na masemina yao ila nw kaona ni utumwa karudia chuo sehemu nyngne
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...duh..hawa viumbe bado wapo?..staki hata kuwaskia aisee
[emoji23][emoji23]wanaliwa sanaMe mpenzi wangu alijiunga bila kunambia jion anarudi na hizo story ananishawish ninunue pafyum laki na nusu sijui na vinininini? Nikamwambia unahitaji mtaji ufanye biashara ya maana niambie ila sio huu upumbavu na kujivua akili
Na mimi huwa najiuliza hivyo maana kwa kwetu huku sisi mtu umuuzie lipstik ya elfu 40 na make elfu 70 mafuta ya nywele kwa elfu 30 nani utamuuzia watu wanapata softtouch ya bei chee na lipstik ya 1500 tuu uswazi ujinga wa forever hawataki kuusikia kbs sijui wanamuuzia nani aiseeKwan hizo bizaa huw zinasaidia kweli au manake naona gharama kubwa pia