Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga.
Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.
Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil.
Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.
Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.
Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil.
Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.
Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?