Wauzaji wa matofali badilikeni

Wauzaji wa matofali badilikeni

Umasikini wako....tu
Tofali zetu hazichachi
Endelea kupanga....kujenga wewe bado
Au ndo unajifunza...
Oook Samahani kumbe una migholofa

Karibu tena...
Tofali za kuchoma zipo tshs 30 moja
Hapa Msata
30 au miatatu?
 
Tatizo mmezoea kugalaliza kila kitu yaani unakuta mtu anaomba punguzo hadi kero akikataliwa anakuja huku kulia lia.
Ndomana wengi wenu mnaishia kuingizwa chaka.....njoo nikuuzie tofali kwa bei hiyo unayotaka ,
Ila mfuko mmoja wa cement unatoa tofali 75.
 
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga.

Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil.

Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Miaka ya 1900,Cement ilikuwa sh 5000@mfuko,mchanga ilikuwa 4000 kwa lory ton 4. tofali liliuzwa 800@.Leo ni 2020 Cement ni 14000,Mchanga ni 12000 kwa lory hilohilo ,Tofali 1100 @.Vibrator machine kipindi hicho ilikuwa 1.2M.Mixer ilikuwa 2.5.Leo Vibrator 2.3,Mixer 4.5 M.Hebu changanua,hapo sijakupigia Vibao vya kufyatulia,Maji,Umeme na Ufundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom