Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Naogopa nisije nikawa na yule member aliyesema nyerere kafanya nn TANZANIA Ukimlinganisha na JPM?Na mkutano wa nani haukuwa live
Itoshe kusema miradi alojenga huyo nyapara ilipigiwa chepuo sna mana hapakuwa na vyombo vya habari vya kuhoji? Unalikumbuka gazeti la rai? Unajua lilivyokuwa linamchimba mkapa kwanzia hotuba zake mpaka miradi kama ile ya RADA?