BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
mwaka 2010, Ghana walikiwasha balaa
2014 then Senegal 2018Algeria pia alikiwasha kama sikosei 2014 or 2018
Thanks kamanda wangu P2014 then Senegal 2018
Nafikri kutoka Africa Surprise package atakuwa Mali labda asivuke hatua ya play off.
Hawa walitakiwa kwenda wote sema ndo vile mfumo umelazimisha mmoja abaki mtazamajiIvory coast na. Cameroon leo atakayeshinda pia sina wasiwasi
Wamekutana kwenye kundi moja , Ila afadhali wao kuliko Congo iliyotutoaHawa walitakiwa kwenda wote sema ndo vile mfumo umelazimisha mmoja abaki mtazamaji
Mmoja wao ndo alitakiwa kua kwenye kundi la Congo DRC, maana ilibaki kidogo tu sie ndo twende kwenye playoffs,...ilikua ni dhihaka na fedheha kubwaWamekutana kwenye kundi moja , Ila afadhali wao kuliko Congo iliyotutoa
Sema kweli tulikuwa na kundi rahisi ila Tanzania ni wabovuMmoja wao ndo alitakiwa kua kwenye kundi la Congo DRC, maana ilibaki kidogo tu sie ndo twende kwenye playoffs,...ilikua ni dhihaka na fedheha kubwa
Na DRC Congo wanachukua ubingwa wa DuniaMmoja wao ndo alitakiwa kua kwenye kundi la Congo DRC, maana ilibaki kidogo tu sie ndo twende kwenye playoffs,...ilikua ni dhihaka na fedheha kubwa
Inawezekana, hata Ugiriki alichukua ule ubingwa wa Euro 2004 kisela sana mbele ya wababe kina Ureno, Ufaransa na wengine,...walipunguzana wao taratibu akabaki na mreno akamuotea akabeba ndooNa DRC Congo wanachukua ubingwa wa Dunia
Kabisa, Mali wapo vizuri sana.Nafikri kutoka Africa Surprise package atakuwa Mali labda asivuke hatua ya play off.
Wawakilishi wetu walikuwa ni Taifa Stars na wameshabanduliwa kwenye mashindano sasa hatuna tena wawakilishi, huo ndio ukweli, hayo mengine ni siasa tu za kinafiki ila haimzuii mtu kuchagua nchi ya kushangilia.1 Algeria
2 Morocco
3 Mafarao
4 DR Congo
5 Tunisia
6...
7...
8...
9...
10...
(Algeria and Morocco) wawili hawa sina pressure nao hukoo Qatar, i know that watatuwakilisha vyema kabisa. kwangu mimi nawatambuwa kuwa ndiyo (Giants of Africa).
Kwako mdau mwenzangu, nani unampa nafasi ya kusonga mbele kutokana na uwezo wao?