BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
1 Algeria
2 Morocco
3 Mafarao
4 DR Congo
5 Tunisia
6...
7...
8...
9...
10...
(Algeria and Morocco) wawili hawa sina pressure nao hukoo Qatar, i know that watatuwakilisha vyema kabisa. kwangu mimi nawatambuwa kuwa ndiyo (Giants of Africa).
Kwako mdau mwenzangu, nani unampa nafasi ya kusonga mbele kutokana na uwezo wao?
2 Morocco
3 Mafarao
4 DR Congo
5 Tunisia
6...
7...
8...
9...
10...
(Algeria and Morocco) wawili hawa sina pressure nao hukoo Qatar, i know that watatuwakilisha vyema kabisa. kwangu mimi nawatambuwa kuwa ndiyo (Giants of Africa).
Kwako mdau mwenzangu, nani unampa nafasi ya kusonga mbele kutokana na uwezo wao?