Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
- Thread starter
- #141
Joh yeye tu ni soko tosha hana haja hiyo, yeye atoe jiwe soko lake lipo!wanafanya kulingana na soko mkuu
hipo hop watu wa rufiji, kyela na ngara wapi na wapi? nani alishakuwa mtumwa au activist?
hiphop imekuwa customized, u want hardcore hiphop...sio Tanzania, waliofanya wote enzi hizo hapa nchini ni maskini wakutupwa
relax
Sio kutoa ngoma mbaya msingizie eti anaendana na soko!