Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

Mradi kama huo ni vizuri wakapewa watu kutoka ulaya, namaanisha Ulaya Magharibi au USA. Project kubwa kama hizi kumpa Mchina kwa kigezo cha low cost zina madhara makubwa sana siku za usoni, Mchina kwenye project kama hizi hususani kwenye nchi kama zetu hizi hutia hasara kubwa sana ambayo ni ngumu kuiona kwa jicho la kawaida..

Kuwapa watu wa Ulaya Magharibi na USA project kama hizi inaweza kuwa na gharama kubwa kifedha lakini faida yake ni kubwa kwa mapana zaidi, uhakika zaidi wa utendaji wa mradi kwa miaka mingi, ajira zenye malipo mazuri na usalama kwa watu wetu, Watu wetu ni rahisi kujifunza teknolojia na kuwa na msaada kwa Taifa siku za usoni, Muuingiliano kwenye jamii zetu ni rahisi kwa wazungu kuliko wachina, supplier wazawa watapata kazi kirahisi kuliko kwa wachina ambao uzoefu unaonyesha wanaagiza kila kitu kutoka kwao, Uboreshaji wa mazingira husika ambapo uzoefu unaonyesha wachina hujenga mabanda ambayo hubomoka baada ya ujenzi.. Hydro-plant zote ambazo tunazo ujenzi kwa kiasi kikubwa kama sio chote ulifanywa na makampuni kutoka ulaya..

Kwenye ujenzi wa barabara kwa kiasi kikubwa tumejionea kazi chafu kutoka kwa Wachina kuliko kazi ambazo zimefanywa na makampuni kutoka Ulaya kama BAM, SOGEA SATOM, na Green Accre LTA. Pia uzoefu kwenye ujenzi wa barabara nyingi zilizojengwa awamu ya pili na ya kwanza umeonyesha ugumu wa hizi barabara ambazo nyingine mpaka leo zinadunda ukifananisha na zile za awamu ya tatu na nne ambazo kwa kiasi kikubwa zimetekelezwa na mchina kwa kigezo cha Unafuu..

Tutoe mawazo mbadala kulikomboa Taifa letu...
Umeongea facts kabisa mkuu
 
Kusini gesi na makaa ya mawe yakumwaga kwa nchi changa yenye uhaba WA umeme.

Badala ya kutafuta source ambazo reliable all year round bado tunaangaika na umeme WA maporomoko ya maji. Sidhani kama Ethiopia wangekuwa na gesi wangeanza na umeme WA maji.

Huko kwa wazungu gharama hizo zinaingiwa kwa sababu ya sera tu za kupunguza carbon emission as yet makaa ya mawe is still the norm.

Ujaweza kutembea unawaza kukimbia, is this a cost effective investment and reliable as opposed to fossil fuel given our current electricity deficit.
 
Kusini gesi na makaa ya mawe yakumwaga kwa nchi changa yenye uhaba WA umeme.

Badala ya kutafuta source ambazo reliable all year round bado tunaangaika na umeme WA maporomoko ya maji. Sidhani kama Ethiopia wangekuwa na gesi wangeanza na umeme WA maji.

Huko kwa wazungu gharama hizo zinaingiwa kwa sababu ya sera tu za kupunguza carbon emission as yet makaa ya mawe is still the norm.

Ujaweza kutembea unawaza kukimbia, is this a cost effective investment and reliable as opposed to fossil fuel given our current electricity deficit.
Kwani kuna tatizo tukiwa na options zote zinazofanya kazi?
 
Kusini gesi na makaa ya mawe yakumwaga kwa nchi changa yenye uhaba WA umeme.

Badala ya kutafuta source ambazo reliable all year round bado tunaangaika na umeme WA maporomoko ya maji. Sidhani kama Ethiopia wangekuwa na gesi wangeanza na umeme WA maji.

Huko kwa wazungu gharama hizo zinaingiwa kwa sababu ya sera tu za kupunguza carbon emission as yet makaa ya mawe is still the norm.

Ujaweza kutembea unawaza kukimbia, is this a cost effective investment and reliable as opposed to fossil fuel given our current electricity deficit.
Baba, sio kila kitu unajua.. gharama za huo mradi ni kubwa ukilinganisha na kuweka mitambo ya gesi, lakini weshafanya study na wanajua kabisa huo mradi ni reliable na cheap in long run.. kwanza jiulize umeshawahi kuona mto Rufiji umekauka??
 
Mradi kama huo ni vizuri wakapewa watu kutoka ulaya, namaanisha Ulaya Magharibi au USA. Project kubwa kama hizi kumpa Mchina kwa kigezo cha low cost zina madhara makubwa sana siku za usoni, Mchina kwenye project kama hizi hususani kwenye nchi kama zetu hizi hutia hasara kubwa sana ambayo ni ngumu kuiona kwa jicho la kawaida..

Kuwapa watu wa Ulaya Magharibi na USA project kama hizi inaweza kuwa na gharama kubwa kifedha lakini faida yake ni kubwa kwa mapana zaidi, uhakika zaidi wa utendaji wa mradi kwa miaka mingi, ajira zenye malipo mazuri na usalama kwa watu wetu, Watu wetu ni rahisi kujifunza teknolojia na kuwa na msaada kwa Taifa siku za usoni, Muuingiliano kwenye jamii zetu ni rahisi kwa wazungu kuliko wachina, supplier wazawa watapata kazi kirahisi kuliko kwa wachina ambao uzoefu unaonyesha wanaagiza kila kitu kutoka kwao, Uboreshaji wa mazingira husika ambapo uzoefu unaonyesha wachina hujenga mabanda ambayo hubomoka baada ya ujenzi.. Hydro-plant zote ambazo tunazo ujenzi kwa kiasi kikubwa kama sio chote ulifanywa na makampuni kutoka ulaya..

Kwenye ujenzi wa barabara kwa kiasi kikubwa tumejionea kazi chafu kutoka kwa Wachina kuliko kazi ambazo zimefanywa na makampuni kutoka Ulaya kama BAM, SOGEA SATOM, na Green Accre LTA. Pia uzoefu kwenye ujenzi wa barabara nyingi zilizojengwa awamu ya pili na ya kwanza umeonyesha ugumu wa hizi barabara ambazo nyingine mpaka leo zinadunda ukifananisha na zile za awamu ya tatu na nne ambazo kwa kiasi kikubwa zimetekelezwa na mchina kwa kigezo cha Unafuu..

Tutoe mawazo mbadala kulikomboa Taifa letu...
Mkuu nakuunga Mkono hoja Apewe Mzungu Uurope au USA,Tusipende vitu vya gharama ya chini eti kisa Mchina anaweza kukutengenezea sawa sawa na Mzungu...nani kasema...viwanda vingi walivyotengeneza wachina tunajijua ni vibovu kuanzia machine equipments,yaani unajenga kwa bei ya chini halafu baadae unakuja kupata gharama ya kubadilisha vipuri karibia 60%,kuna kiwanda kimoja walijenga wachina kikubwa tuuu hapa Tz za cement,yaani baada ya ujenzi ule,60% za vipuri vilibadilishwa na wazungu wenye mali,coz Project manager aliekuwepo aliwapa wachina kisa bei ya chini...Mi nashauri hata plant zetu nyingine wapewe Wazungu sisi tubaki kwenye share....yaani say 60% share iwe yetu...Tutasonga mbele sana sana sana..hasa makampuni ya serikali.
 
Kusini gesi na makaa ya mawe yakumwaga kwa nchi changa yenye uhaba WA umeme.

Badala ya kutafuta source ambazo reliable all year round bado tunaangaika na umeme WA maporomoko ya maji. Sidhani kama Ethiopia wangekuwa na gesi wangeanza na umeme WA maji.

Huko kwa wazungu gharama hizo zinaingiwa kwa sababu ya sera tu za kupunguza carbon emission as yet makaa ya mawe is still the norm.

Ujaweza kutembea unawaza kukimbia, is this a cost effective investment and reliable as opposed to fossil fuel given our current electricity deficit.

Uko sahihi kabisa mkuu, tayari tuna gas Mtwara ambayo bado ni underutilized na tayari miundombinu yake ipo tayari kwa maana ya Uchimbaji,plant na pipeline, bado tulikuwa na mradi wa LNG pale Lindi.. Vyote hivi vingekuwa utilized to the maximum tungeweza kabisa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine tungeuza kwa majirani na faida yake ingekwenda kwenye miradi mingine..

Mradi wa LNG nao tayari umeshatelekezwa na hakuna tena anayeuzungumza wakati ungeweza kuleta faida kubwa kwa Taifa, umegusia makaa ya mawe ambayo tunareserve kubwa pale ngaka na bado ni underutilized kwa 90% kama tungeyatumia vizuri haya makaa tungeweza kuzalisha hata 500MW pale songea zikasuppy south Coridor kwa kusaidiana na ile plant ya mtwara baada nayo ya kuiongezea capacity say to hata 500MW..

Resources za bure kabisa Mungu katujalia lakini inaonekana kuna mahala tunashida na tunashindwa kuzitumia ipasavyo..
 
HIZI SIO NZUZI ZAO MKUU , UTAWAKUTA KWENYE MADA KAMA, LISU AONGEA MANENO 12,NDEGE IMESHIKILIWA, ACACIA WAMEENDA MAHAKAMANI, NA MAZUNGUMZO YAMEKWAMA N.K
Acheni ubinafsi, mawazo kinzani yapo tu toka enzi za jkn, hivyo kubalini kukosolewa. Ila mtapimwa kwa matendo sio maneno.
 
Uko sahihi kabisa mkuu, tayari tuna gas Mtwara ambayo bado ni underutilized na tayari miundombinu yake ipo tayari kwa maana ya Uchimbaji,plant na pipeline, bado tulikuwa na mradi wa LNG pale Lindi.. Vyote hivi vingekuwa utilized to the maximum tungeweza kabisa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine tungeuza kwa majirani na faida yake ingekwenda kwenye miradi mingine..

Mradi wa LNG nao tayari umeshatelekezwa na hakuna tena anayeuzungumza wakati ungeweza kuleta faida kubwa kwa Taifa, umegusia makaa ya mawe ambayo tunareserve kubwa pale ngaka na bado ni underutilized kwa 90% kama tungeyatumia vizuri haya makaa tungeweza kuzalisha hata 500MW pale songea zikasuppy south Coridor kwa kusaidiana na ile plant ya mtwara baada nayo ya kuiongezea capacity say to hata 500MW..

Resources za bure kabisa Mungu katujalia lakini inaonekana kuna mahala tunashida na tunashindwa kuzitumia ipasavyo..
Mradi wa LNG bado upo, nadhani wapo katika commercial agreement na serikali ila FEED walishamaliza. Ila huu sio kitu cha kutegemea kwa kuwa hadi ujenzi wa LNG uje uishe ni zaidi ya 2025 huko na hii ni kwa ajili ya kuuza gesi masafa ya mbali na sio kuzilisha umeme .
 
Mradi wa LNG bado upo, nadhani wapo katika commercial agreement na serikali ila FEED walishamaliza. Ila huu sio kitu cha kutegemea kwa kuwa hadi ujenzi wa LNG uje uishe ni zaidi ya 2025 huko na hii ni kwa ajili ya kuuza gesi masafa ya mbali na sio kuzilisha umeme .

Kwa hatua na speed waliyokuwa nayo zama za JK nafikiri wangekuwa wameshaanza ujenzi zamani..

Maana yangu sio LNG plant kwa ajili ya kuzalisha umeme lahasha ila kama biashara faida ambayo ingepatikana ingeweza kuboost up production maeneo mengine, hivyo ni vizuri tungeweka nguvu ambazo zingezaa return na faida kwa haraka..
 
Kwa hatua na speed waliyokuwa nayo zama za JK nafikiri wangekuwa wameshaanza ujenzi zamani..

Maana yangu sio LNG plant kwa ajili ya kuzalisha umeme lahasha ila kama biashara faida ambayo ingepatikana ingeweza kuboost up production maeneo mengine, hivyo ni vizuri tungeweka nguvu ambazo zingezaa return na faida kwa haraka..
samurai speed ni ile ile, ki uhalisia Magufuli amejitahidi sehemu yake kwa kuwa alivyo ingia tu alimaliza utata wa eneo la kujengea mradi, kitu ambacho JK ali ruhusu malumbano na kujivuta vuta. Huu ni mradi zaidi ya 30bn USD, karibia sawa na bajeti ya Tz ya miaka mitatu, usitegemee commercial agreement ichukue muda mfupi, hata wawekezaji wenyewe ratiba yao ni ujenzi wa LNG uanze 2019, na kila kitu mpaka sasa kipo ndani ya ratiba hiyo. Tusiteke mjadala wa Stigler Gorge, kama una duku duku na mradi wa LNG anzisha thread yake tutakuja kuchangia.
 
Kuna taarifa bombardier lingine limefia Mwanza!
Ndege ni kama vyombo vingine vya usafiri.kuharibika nako nikama gari so hiyo sio ishu. Kama unachuki na Maghufuli hiyo wewe.yeye ausiki na ubovu wa ndege.na wala usifikirie kuwa hasira zako kwake zitamchafua.Tanzania tunamuhitaji Maghufuli kwa miaka mia ijayo.ili tuweze fikia maendeleo yanayotakikana kutokana na rasilimali tulizonazo
 
Back
Top Bottom